Okrap
JF-Expert Member
- Jul 13, 2022
- 1,112
- 2,311
Unakuta mwanaume kimoja chali ukimuomba hela anafoka nakuacha mda uho uho sijui kubembeleza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuta mwanaume kimoja chali ukimuomba hela anafoka nakuacha mda uho uho sijui kubembeleza
Sasa kama mnaumia mbona mnapenda??Na ninyi mtambue mnapo tukunja tunaumia sema tunavumilia kuwafurahisha na bado mnatuacha
Sijawah ila nawaskia sifa zao [emoji2][emoji2]Umewai kuwa na rafiki mgogo?? Mimi niliwai kuwa na demu mgogo aseeh ili kabila watu wanaomba yaani kuanzia yeye demu,mama mkwe, dada zake na wadogo zake ni balaa tupu
Kuna watoto mengine sivyema kuongea hapaSasa kama mnaumia mbona mnapenda??
Na pesa inatolewa kwa ajili ya kitu cha thamani, sasa nikupe pesa wakati nakutongoza bado hata sijakuelewa vizuri??
Sasa wewe tatizo ugomvi wenu wanaume wengine wanaingiaje tena hapo. Tafsiri yake ni kwamba unamwambia kuwa u can get any man at any time.Alinisamehe. Alafu kuna kauli aliongea mbaya yeye ndio alinipush mimi kusema yale sitakaa nirudie mana moto uliniwakia kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni bomu[emoji23]Kuna watoto mengine sivyema kuongea hapa
Siku unanitongoza jua unatakiwa kuanza majukumu yako mara moja
Wanakuwaga watamu sana hao,maana mpaka kukupa ni amekuelewa sana.Wao ubize wao ni Simu,muziki na kupendeza,Yaani ana kazi yake au amejiajiri na ana moyo safii.Hawa wapo wachache sana lakini.
Ulijiona umemshika kumbe mwenzako alikuwa anakuchora tu!!
Siku nyingine ukwia na mtu Kaa kimachale usijiachie sana ukaona unaweza kumtisha Kwa lolote...Wanaume tunaweza kuwa na wewe kumbe tunakuchora tu,upendo hata haupo kwako..
Nilikosea ndio ilikua hasira tu.Sasa wewe tatizo ugomvi wenu wanaume wengine wanaingiaje tena hapo. Tafsiri yake ni kwamba unamwambia kuwa u can get any man at any time.
Mgekuwa mnaumia msingetupa acha uwongo🤣🤣🤣🤣Na ninyi mtambue mnapo tukunja tunaumia sema tunavumilia kuwafurahisha na bado mnatuacha
Aya umejifunza sasa akirudi mpenuno la kufa mtu ata chaga mvunje
[emoji23][emoji23][emoji23] sawaAya umejifunza sasa akirudi mpenuno la kufa mtu ata chaga mvunje
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Nmemwambia lini unakuja geto ananiambia eti mwakani apo nd kwanza mwwzi wa pili[emoji16][emoji16] nkajua apa amna changu
Sent using Jamii Forums mobile app
mtu akija pm aje na 10000 ndio tutaongea 😂😂Wewe ni bomu[emoji23]
Tunaumia bhna af ukutane na kombola gumu sitaki ata kukumbukaMgekuwa mnaumia msingetupa acha uwongo🤣🤣🤣🤣
Na mwanaume akikuomba hela inakuaje sasa....Sana
mtu akija pm aje na 10000 ndio tutaongea [emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16]Acha tu ila dah nakapenda sana kale kadada mpka kesho simchoki nakupenda [emoji257] wangu
Sasa kwa nini nawe hukukimbia baada ya kuona kombora hutaliweza🤣🤣🤣🤣Tunaumia bhna af ukutane na kombola gumu sitaki ata kukumbuka