Kauli gani ukiambiwa na mpenzi wako unaanza kuhisi hili penzi halina muda mrefu linakwisha?

Kauli gani ukiambiwa na mpenzi wako unaanza kuhisi hili penzi halina muda mrefu linakwisha?

Pamoja na shida zangu hakuna kitu nachukia kama kuendekeza shida zangu kwa mwanaume mna dharau sana nyie viumbe. Kuna situation nilishapitia ilinifundisha sana toka pale najisemeaga maisha ni yangu nijitafutie cha kwangu ukiamua kunipa sawa usipotaka sitakuomba. Mna dharau sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
......pole mamii! tudokeze kidogo ilikuwaje, ulihitaji nini na akakutenda kipi kibaya......
 
Mimi tuligombana hiyo siku nikamuambia "yaan najitahid kushinda vishawishi huko nje, nakuheshimu natulia na wewe nakataa wanaume wengine kwa ajili yako alafu wewe unaniletea mambo meusi" akanijibu "sasa unangoja nini si uende kwa hao wanaume wengine" nikaanza kulia nikajua kishawaka ila alikuja akanisamehe baada ya mvurugano mkubwa [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti nashinda vishawishi vingi huko nje, vishawishi gani hivyo? Hivi unajua maana ya neno ushawishi? Unawishiwa na nini? Matapeli mnaouficha umalaya wenu kiaina.
 
Eti nashinda vishawishi vingi huko nje, vishawishi gani hivyo? Hivi unajua maana ya neno ushawishi? Unawishiwa na nini? Matapeli mnaouficha umalaya wenu kiaina.
Naomba kuwa na adabu, kama huwezi kucomment kiustaarabu unaweza pita kimya. Huo umalaya nimekufanyia wewe??? Hivi ni kwa nini kuna mijitu mnatokaga huko mbio mnajiskia tu kutupanikisha wengine? Mna shida gani?? Jiheshimu tafadhali [emoji57]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom