Kauli gani ukiambiwa na mpenzi wako unaanza kuhisi hili penzi halina muda mrefu linakwisha?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaah
Kweli bhana hila wanawake embu mjitahidi kujitegemea kwani Mimi binafsi naamini mapenzi ni 50/50 Yani hii ya kuombana hela inakata stimu Sana Sana Yani mpaka unaisi huyu kanipindea hela au kuna Hilo lingine Yani yupo straight kabisa Eti naomba hela [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uwa namuangalia tu

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si umpe hela mwenzio.
 
Hao ni wakugegeda tuu
 
Kuomba omba hela wakat mwngne naona ni hulka. Kuna watu wana kazi zao tena nzuri lkn ni ombaomba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi na yeye baada ya kujuana wiki mbili tu

Yeye:Mambo my
MimiπŸ˜›oa mzima?
Yeye: Siko Poa
MimiπŸ˜›ole Nini shida?
Yeye:Tumbo linauma
MimiπŸ˜›ole,Tumbo la MP au la kawaida?
Yeye:MP
MimiπŸ˜›ole sana Jamani!
Yeye:Asante,naomba nitumie Hela nikanue Pedi
 
kujitafutia za kwako
 
Kuomba omba hela wakat mwngne naona ni hulka. Kuna watu wana kazi zao tena nzuri lkn ni ombaomba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona kama huyu anaomba hela tena direct kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi Bora mtu aniombe indirect naweza kumpa uwa namchezea Tu akiniomba nacheka mzigo nabutua afu limke la mtu si amuombe Bwana Ake

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 

kwel ulikosea hiyo sio kauli ya kumwambia mtu ni km vile unamtishia kuwa "natongozwa sana kwahy afanye kukucare ili usije ukakubali"

hata km inngekuw ni mm ningekupa majibu ya ovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…