Atlantic Star
JF-Expert Member
- Feb 22, 2023
- 539
- 1,696
......pole mamii! tudokeze kidogo ilikuwaje, ulihitaji nini na akakutenda kipi kibaya......Pamoja na shida zangu hakuna kitu nachukia kama kuendekeza shida zangu kwa mwanaume mna dharau sana nyie viumbe. Kuna situation nilishapitia ilinifundisha sana toka pale najisemeaga maisha ni yangu nijitafutie cha kwangu ukiamua kunipa sawa usipotaka sitakuomba. Mna dharau sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mambo ya kawaida tu rafiki nisamehe nashindwa kuweka hapa.......pole mamii! tudokeze kidogo ilikuwaje, ulihitaji nini na akakutenda kipi kibaya......
Duhh! Pole sana. Mliachana au bado mpo wote?Hilo neno nilishawahi litoa pia ila ke mna kisasi kibaya, hiyo kauli iliniponza kumbe mwenzangu alikua anajipanga kisaikolojia. Mda ulipofika ndio vimbwanga na kauli za hovyo with reference ya kauli yangu.
π€£π€£π€£π€£ Njoo kwangu mie nina kibamiaHapana mimi napenda ila mtu awe na saizi sasa mimi kila nae kutana nae nasema bora fulani mpaka naogopa sasa
Sikutak na uzee wakoπ€£π€£π€£π€£ Njoo kwangu mie nina kibamia
Tulishaachana, mwanamke akishaniacha sirudiani nae kabisa.
figo76 ni mkongwe humu? Username hii hii?Sikutak na uzee wako
Omba ela...yaan omba ela yaan wew omba hela...Kauli gani ukiambiwa na mpenzi wako unaanza kuhisi hili penzi halina muda mrefu linakwisha?
Sawa sawaNdio
Eti nashinda vishawishi vingi huko nje, vishawishi gani hivyo? Hivi unajua maana ya neno ushawishi? Unawishiwa na nini? Matapeli mnaouficha umalaya wenu kiaina.Mimi tuligombana hiyo siku nikamuambia "yaan najitahid kushinda vishawishi huko nje, nakuheshimu natulia na wewe nakataa wanaume wengine kwa ajili yako alafu wewe unaniletea mambo meusi" akanijibu "sasa unangoja nini si uende kwa hao wanaume wengine" nikaanza kulia nikajua kishawaka ila alikuja akanisamehe baada ya mvurugano mkubwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndo ukweli mtupuSema wanawake wengi hawajui tu,Hela mwanaume akupe mwenyewe ukiomba wengi wetu huwa tunajisikia vibaya sana kuombwa Hela.
πππMwingine anakwambia baby usinipe hela unakua kama unaninunua hivi siipendi unipe hela awa wa hivi wajengewe sanamu Chato stand
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
π―π€Kuomba omba hela wakat mwngne naona ni hulka. Kuna watu wana kazi zao tena nzuri lkn ni ombaomba.
π€£π€£π€£π€£si afadhal huyo ht kakaa wik mbili kuna pisi moja nzur sana alaf age 20 kana sura ya upole yan nimeomba numb leo kesho ananiambia "my nina njaa hatar"
Naomba kuwa na adabu, kama huwezi kucomment kiustaarabu unaweza pita kimya. Huo umalaya nimekufanyia wewe??? Hivi ni kwa nini kuna mijitu mnatokaga huko mbio mnajiskia tu kutupanikisha wengine? Mna shida gani?? Jiheshimu tafadhali [emoji57]Eti nashinda vishawishi vingi huko nje, vishawishi gani hivyo? Hivi unajua maana ya neno ushawishi? Unawishiwa na nini? Matapeli mnaouficha umalaya wenu kiaina.
π―π€,ukiona unatongoza mwanmk alaf anakuambia utaeza kunihudumia jua hapo unaingia makubaliano na malaya