Kauli hii inaashiria madhara makubwa itakayokumbana nayo Urusi na dunia kwa ujumla endapo....

Wewe ni shabiki wa marekani na sio mchambuzi. Mara ngapi Putin ameonya kutumia nguvu zaidi na wewe haujaongea chochote hapa Jf?? Ila baada ya Biden tu kuongea, wewe huyooo Jf..
 
Ni jamaa mmoja mwenye nguvu zake za kutosha na akili madhubuti aliyefanyiwa mobilization hapo Russia, tutegemee kumuona frontline akiwapiga waukraine dhaifu, waliojichokea na wenye nguvu visoda hivi karibuni Jbst
Haya mkuu nimeshakuelewa. Jamaa alieuliza kama hajakuelewa vizuri hapa basi tena.
 
Niwakati SASA wa jeshi la Marekan kumwajibisha putin
Nakubaliana na wewe kabisa, haiwezekani dunia ya leo nchi moja iivamie jirani yake na kuchukua sehemu ya ardhi na kutangaza kuwa ni mali yake, halafu mbaya zaidi dunia nzima na UN wanatazama tuu. Nduli Iddi Amini alituvamia na kutangaza kwamba sehemu ya mkoa wa Kagera sasa ni sehemu ya Uganda,kilichompata hata huko kaburini huwa anakikumbuka na kuwewesuka..
 
Umeandika kishabiki, hata hivo hakuna lolote watalo mfanya zaidi ya vikwazo ambavo hata wasio kuwamo wanaumia, kifupi wanamwogopa, hivi rusia ingekua moja ya nchi za afrika bado tungeendelea kujibishana hapa ,
Sawa Mrusi wa kwa mtogole..
 
Nasikia Putin siku hizi analala na begi lake la nguo pembeni, maana anajua muda wowote Mmarekani anakinukisha katika milango ya kuingilia nchini kwake.
Acha uongo, atakumbuka begi saa ngapi huenda anasahau hata kuvaa boxee
 
Shambulio la Sept 11 liliwezekanaje.??

Muliosomea kwenye mawe mnakazi kubwa kujua Dunia.

Russia knows what will happen. Na Sasa wamebadili move. Maeneo waliyojitwalia Yale manner au matano kama sikosei wame sign tayari Bunge lao lime approve. Hii sio Putin Tena. Jamani urusi sio Libya au Iraq.

It's like wamesitisha vita na Wana msubiri ukrane na wale wakujipachika wasimame. He is done na mapigano. Kilichobaki ni wananchi kusubiri baada ya referendum na utekelezaji. So sio vita ya Putin tena ni Yale majimbo ambayo yameondoa Ukraine..

Guys fuatilieni badala ya kusifia nani anapigwa nani anakimbia. Actually USA amepata sehemu ya kutest vitu vyake. Russia is not stupid. Na kuomba poo Russia si mjinga.

Nirudi kwenye Sept eleven...Jaman pale Washington panapigika tu tuache ushabiki. Na wakati wote USA anajitahidi Kremlin asioneshe kutaka kufanya jambo kama ya pentagon Ile ..


Leo Israel alikuwa akiendelea kujaribu dome nna linavyoweza kumzuia silaha za aduikuingia. Ni kama bakuli la kioo ukirusha Chochote kinazuiwa.
 
Ukiangalia nani ana nuclear war heads nyingi duniani, anajulikana. Tatizo mmelishwa propaganda. Kama marekani anaweza kumpiga mrusi peke yake, kwanini aungane na nchi 30 kwaajili ya kumkabili mrusi peke yake? Mwenye akili atajua ninaongelea nini hapa
 
Vita uisikie kwa mwenzako mkuu, hakuna mtu aliekuwa anategemea kuwa kuna siku kiongozi kama Putin angekuwa analala na viatu huku begi lake liko pembeni 🤣🤣🤣
Ni hatari sana mkuu 🤣🤣🤣
 
Wewe ni shabiki wa marekani na sio mchambuzi. Mara ngapi Putin ameonya kutumia nguvu zaidi na wewe haujaongea chochote hapa Jf?? Ila baada ya Biden tu kuongea, wewe huyooo Jf..
Amna mkuu, mimi naangalia athari kubwa itakazopata Urusi pale Marekani itapojibu wazi wazi kile kitachofanywa na Russia huko Ukraine.
 
Ni jamaa mmoja mwenye nguvu zake za kutosha na akili madhubuti aliyefanyiwa mobilization hapo Russia, tutegemee kumuona frontline akiwapiga waukraine dhaifu, waliojichokea na wenye nguvu visoda hivi karibuni Jbst
Mpaka Russia ilipoamua kuchukua vijana wa mitaani wakalisadie jesho vitani, ina maana huyo mwamba walikuwa hawajamuona mkuu?
 
Dawa ya Russia tayari iko jikoni inachemka. Ni swala la muda tu dunia itashangaa jamaa anavyoadabishwa na kuadhibiwa vilivyo.
 
Umeshaangalia zako movie za Yavuz mturuki anaebonga kiswahili basi unahisi kila kitu ni rahisi kama movie za waturuki
 
Ila kwa taarifa Soo rasmi wanataka roho yake kwanza then vita itasimama na majadiliano yataendelea. Juz wamelipua sehem ya daraja Putin alisema likiguswa atatumia nuclear na wanazidi kumpush kwenye majimbo ameyaita ya Urusi. Na akasema mtu akigusa anampa nuke. Chakushangaa mpaka sasa hajarusha na jamaa wanapushi forward.
Kiufupi kauli ya mkuu wa usalama wa Taifa wa Russian sasa inatimia pale alimwambia tutumie zaid intelligence kuliko vita kamili. Upo uwezekano mkubwa CIA wakitumia watu wao ndani ya Urusi wamempa kama wrong information ili jamaa afikie ambition yake while akilirudisha nyuma Taifa miaka 100. Acha kabisa kitu kina itwa intelligence CIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…