Kauli hii inaashiria madhara makubwa itakayokumbana nayo Urusi na dunia kwa ujumla endapo....

Kauli hii inaashiria madhara makubwa itakayokumbana nayo Urusi na dunia kwa ujumla endapo....

Shambulio la Sept 11 liliwezekanaje.??

Muliosomea kwenye mawe mnakazi kubwa kujua Dunia.

Russia knows what will happen. Na Sasa wamebadili move. Maeneo waliyojitwalia Yale manner au matano kama sikosei wame sign tayari Bunge lao lime approve. Hii sio Putin Tena. Jamani urusi sio Libya au Iraq.

It's like wamesitisha vita na Wana msubiri ukrane na wale wakujipachika wasimame. He is done na mapigano. Kilichobaki ni wananchi kusubiri baada ya referendum na utekelezaji. So sio vita ya Putin tena ni Yale majimbo ambayo yameondoa Ukraine..

Guys fuatilieni badala ya kusifia nani anapigwa nani anakimbia. Actually USA amepata sehemu ya kutest vitu vyake. Russia is not stupid. Na kuomba poo Russia si mjinga.

Nirudi kwenye Sept eleven...Jaman pale Washington panapigika tu tuache ushabiki. Na wakati wote USA anajitahidi Kremlin asioneshe kutaka kufanya jambo kama ya pentagon Ile ..


Leo Israel alikuwa akiendelea kujaribu dome nna linavyoweza kumzuia silaha za aduikuingia. Ni kama bakuli la kioo ukirusha Chochote kinazuiwa.
Mwaka 2001 ulikuwa na umri gani mkuu? Inamaana wewe mpaka leo haujui kwamba shambulio la sep 11 lilipangwa na CIA yenyewe wakishirikiana na FBI pamoja na yule agent wao Osama ili wapate njia ya kuzivamia nchi walizotaka kuvamia.

Unajua ni kwanini Marekani iliivamia Afghanistan kwa kisingizio cha kwenda kumsaka Osama, pia wakatumia sababu zinazofanana na hizo hizo katika miaka ile ile kuivamia Iraq. Ni kwamba ule ni mkakati uliopangwa kwa lengo la kwenda kuchota mafuta Iraq na kuiba rasilimali za Afghanistan ambapo hapo kabla Russia iliwahi kujaribu kuivamia nchi hiyo ili iweze kuiba rasilimali hizo ikashindikana.

Huu ni mpango uliopangwa mahususi na FBI, CIA na Osama wao. Ndio maana mpaka leo hakuna mtu aliebahatika kuona maiti ya Osama, mazishi yake wala kaburi lake, kinyume na tulivyoona maiti, mazishi na makaburi ya Sadam Hussein na Ghadafi.
 
Ukiangalia nani ana nuclear war heads nyingi duniani, anajulikana. Tatizo mmelishwa propaganda. Kama marekani anaweza kumpiga mrusi peke yake, kwanini aungane na nchi 30 kwaajili ya kumkabili mrusi peke yake? Mwenye akili atajua ninaongelea nini hapa
Mmarekani haogopi kuiangamiza Urusi peke yake, bali anachokataa ni uchumi wake kuanguka kutoka kuwa nchi yenye uchumi wa kwanza duniani hadi kufikia kuwa nchi yenye uchumi wa pili au watatu duniani.

Ila kuhusu nguvu za kijeshi aisee Marekan iko far ahead zaidi ya Russia.
We fikiria msaada wa visilaha vidogo tu vya himars kwa Ukraine vimesababisha warusi waangamizwe vibaya katika maeneo waliyokuwa wanashikilia hadi kupelekea Putin kuwalazimisha vijana wajiunge na jeshi lake kwenda kuongeza nguvu Ukraine. Sasa Mmarekani atapoamua kuingia mwenyew mzigoni si ndo hali itakuwa mbaya zaidi.
 
Mmarekani haogopi kuiangamiza Urusi peke yake, bali anachokataa ni uchumi wake kuanguka kutoka kuwa nchi yenye uchumi wa kwanza duniani hadi kufikia kuwa nchi yenye uchumi wa pili au watatu duniani.

Ila kuhusu nguvu za kijeshi aisee Marekan iko far ahead zaidi ya Russia.
We fikiria msaada wa visilaha vidogo tu vya himars kwa Ukraine vimesababisha warusi waangamizwe vibaya katika maeneo waliyokuwa wanashikilia hadi kupelekea Putin kuwalazimisha vijana wajiunge na jeshi lake kwenda kuongeza nguvu Ukraine. Sasa Mmarekani atapoamua kuingia mwenyew mzigoni si ndo hali itakuwa mbaya zaidi.
Kwa taarifa yako, mpaka sasa hakuna mwanajeshi wa urusi anapigana huko. Ni mamluki tu wa kukodiwa (Wagner Group)
 
Ila kwa taarifa Soo rasmi wanataka roho yake kwanza then vita itasimama na majadiliano yataendelea. Juz wamelipua sehem ya daraja Putin alisema likiguswa atatumia nuclear na wanazidi kumpush kwenye majimbo ameyaita ya Urusi. Na akasema mtu akigusa anampa nuke. Chakushangaa mpaka sasa hajarusha na jamaa wanapushi forward.
Kiufupi kauli ya mkuu wa usalama wa Taifa wa Russian sasa inatimia pale alimwambia tutumie zaid intelligence kuliko vita kamili. Upo uwezekano mkubwa CIA wakitumia watu wao ndani ya Urusi wamempa kama wrong information ili jamaa afikie ambition yake while akilirudisha nyuma Taifa miaka 100. Acha kabisa kitu kina itwa intelligence CIA
Asante mkuu kwa comment hii bora na yenye uchambuzi mzuri, japo warusi wa kisiju na gongo la mboto watakuja kukupinga bila fact yoyote.
 
Kwa taarifa yako, mpaka sasa hakuna mwanajeshi wa urusi anapigana huko. Ni mamluki tu wa kukodiwa (Wagner Group)
Haya mkuu, sisi tuendelee kufuatilia kinachojiri katika uwanja wa mapambano huko vitani.
 
huu ushabiki wa kipumbavu sana... unajua kati ya US na Russia ni nani mwenye nuclear warhead ngingi?
 
Vita ni last option kwa mataifa makubwa
Africa tumezoea vita na tutauziwa silaha na wajanja kila mwaka ili tuendelee kupigana huku wakianzisha rebels na kuwapatia silaha ili waendelee kuvuna rasilimali zetu

Nani anataka taifa lake wafe wote ulaya? [emoji631]? Hell No
Wanapenda maisha dhidi ya kifo na hayo maneno ya Biden sio yake bali ni NATO ndio walisema kwanza kwa woga

Hakuna vita mazee chill [emoji41]
Kula Bata kama wao na endelea na kusikiliza propaganda zao tu
Piga kazi baba
Jaribu kubuni kitu cha kutengeneza
 
Mwaka 2001 ulikuwa na umri gani mkuu? Inamaana wewe mpaka leo haujui kwamba shambulio la sep 11 lilipangwa na CIA yenyewe wakishirikiana na FBI pamoja na yule agent wao Osama ili wapate njia ya kuzivamia nchi walizotaka kuvamia.

Unajua ni kwanini Marekani iliivamia Afghanistan kwa kisingizio cha kwenda kumsaka Osama, pia wakatumia sababu zinazofanana na hizo hizo katika miaka ile ile kuivamia Iraq. Ni kwamba ule ni mkakati uliopangwa kwa lengo la kwenda kuchota mafuta Iraq na kuiba rasilimali za Afghanistan ambapo hapo kabla Russia iliwahi kujaribu kuivamia nchi hiyo ili iweze kuiba rasilimali hizo ikashindikana.

Huu ni mpango uliopangwa mahususi na FBI, CIA na Osama wao. Ndio maana mpaka leo hakuna mtu aliebahatika kuona maiti ya Osama, mazishi yake wala kaburi lake, kinyume na tulivyoona maiti, mazishi na makaburi ya Sadam Hussein na Ghadafi.
Screenshot_20221009-131912.jpg
Ujumbe wa serikali ya Israeli haueleweki kwa makusudi; Bennett kwa ujumla huepuka lawama zozote za Putin au Urusi, wakati Waziri wa Mambo ya Nje Yair Lapid anazungumza kwa uwazi zaidi na ndiye njia kuu ya ukosoaji wa Moscow. Wakati wa uvamizi wa awali, Israel ilitoa msaada wa kibinadamu kwa Ukraine lakini ikaacha kutuma msaada wa kijeshi au kujiunga na vikwazo vya Magharibi. "Kadhaa" oligarchs wa Kirusi, ama raia wa nchi mbili au Wayahudi wasio wa Israeli, wametafuta kimbilio katika Israeli. (Oligarch mmoja mashuhuri wa Israeli wa Urusi ni Roman Abramovich, ambaye amekuwa sehemu isiyo rasmi ya mazungumzo ya amani.) Jimbo limejitahidi kudumisha hadhi yake kama kimbilio salama kwa Wayahudi bila kudhoofisha vikwazo vya washirika na washirika wake. Mwezi Machi, Israel ilijiunga na nchi nyingine 140 katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa katika azimio la kulaani rasmi Urusi. Mwezi uliofuata, ilijiunga na nchi 93 katika kupiga kura ili kuiondoa Urusi katika Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa
.

Ukiniuliza swali Hilo, 'miaka mingapi' disrespectful lkn @no swet(2001 ni juzi) na kwamba hiyo ni theory tena ni kwako mwenyewe. Na hayo ni maoni yako juu ya mpango ule.

Dunia na yanayoendelea ina nadharia nyingi tu(several theories). Mwingine atakuja akupe dhana yake juu ya sept 11. Mwingine atahusisha kinachoendelea na 'cold war' baada ya vita ya II ya dunia second world war. Hata waliokaa kutengemeza huo mpango walibuni mbinu(theory) wakachagua nzuri(suala la hegemon lina mambo mengi. Who is stronger will want to stay at the top. And Israel will maintain the status.

Israel has walked a diplomatic tightrope as it tries to present itself as a potential mediator between Russia and Ukraine. Prime Minister Naftali Bennett is one of only a few Western-aligned leaders to have open channels with Moscow and Kyiv, and he regularly speaks with both Russian President Vladimir Putin and Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy. Israel has a strong cultural connection to both countries; nearly 15 percent of its population are immigrants or descendants of immigrants from the former Soviet Union, with most coming from Russia and Ukraine.

Kwa swahili.
Israel imetembea katika mkondo mgumu wa kidiplomasia wakati ikijaribu kujionyesha kama mpatanishi wa mataifa ya Urusi na Ukraine. Waziri Mkuu Naftali Bennett ni mmoja wa viongozi wachache wanaoegemea nchi za Magharibi kuwa na njia wazi kupatanisha Moscow na Kyiv, na anazungumza mara kwa mara na Rais wa Urusi Vladimir Putin na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy. Israeli ina uhusiano mkubwa wa kitamaduni kwa nchi zote mbili; karibu asilimia 15 ya wakazi wake ni wahamiaji au wazawa wa wahamiaji kutoka uliokuwa Muungano wa Sovieti, huku wengi wao wakitoka Urusi na Ukrainia.


Hata mie huu ni mtazamo wangu
 
huu ushabiki wa kipumbavu sana... unajua kati ya US na Russia ni nani mwenye nuclear warhead ngingi?
Kwahiyo mrusi ameshamaliza silaha zake zote muhimu ambazo aliona zingeweza kumsaidia kushinda vita, na sasa silaha alizobaki nazo pekee kumpa ushindi ni hizo za nuclear?

Kama msaada wa viji silaha vya Marekani kwa Ukraine HIMARS vimeifanya Russia iamue kutumia nuclear kama suluhisho lake la mwisho kivita, vipi kama Marekan ikiingia vitani yenyewe ana kwa ana na silaha zake japo nusu tu zilizopo katika jimbo la Texas?
 
Back
Top Bottom