GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ni kauli ambayo Makamu Rais wa Kenya Mheshimiwa William Rutto aliyoitoa muda si mrefu ambayo imeonekana kuwakera Wakenya wengi huku wengine sasa wakisikika kwamba wako tayari kwa Vita muda wowote kwani hiyo kauli ni Kiashirio tosha kwamba akina Kenyatta na Rutto wanataka Vita / Machafuko nchini Kenya.
Kauli yenyewe ni hii hapa nainukuu...." Tuliwaonya hawakutusikia sasa Chuma chenu Kiko motoni na muda si mrefu Kitaungua chote ili Kenya ibaki kuwa salama kwani tumechoka na tumewachoka " mwisho wa kuinukuu.
Kwa undani zaidi wa hiyo Kauli ingia katika Mtandao wa Standard Digital upate uhondo kamili. Labda nitoe tu Rai kwa Wakenya kwamba hapa East Africa hatutaki Vita au Machafuko hivyo wamalizane tu kwa amani na kwa kupiga Kura na siyo kwa mapigano.
Nawasilisha.
Kauli yenyewe ni hii hapa nainukuu...." Tuliwaonya hawakutusikia sasa Chuma chenu Kiko motoni na muda si mrefu Kitaungua chote ili Kenya ibaki kuwa salama kwani tumechoka na tumewachoka " mwisho wa kuinukuu.
Kwa undani zaidi wa hiyo Kauli ingia katika Mtandao wa Standard Digital upate uhondo kamili. Labda nitoe tu Rai kwa Wakenya kwamba hapa East Africa hatutaki Vita au Machafuko hivyo wamalizane tu kwa amani na kwa kupiga Kura na siyo kwa mapigano.
Nawasilisha.