Kauli hii ya mke wangu imenishtua kidogo

Kauli hii ya mke wangu imenishtua kidogo

Hakuna watu wambea zaidi kama mke na mume wakielewana sasa bora umekula za uso mpunguze umbeya kidogo😂😂😂
 
Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu

"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"

Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Mwambie kutokana na kauli yake umetafakari ukaona kuwa huna mke hivyo itabidi akapumzike kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumekuchaa. Nyonyoma mmoja kaoa kisa ana pesa, hahahaha na kuna kijana mmoja anamnyosha anayekosha roho yake.
 
Mwanamke akiongea kauli yeyote ile mbele yako KAMWE usimchane live wala kupanic

ukitaka umjue mwanamke walau kwa uchache usimjudge kwa lolote lile kuwa kam humsikii hivi ikiwezekana msupoti otherwise atakufekia maisha mpk ushangae na kamwe hutajua ujinga uliomjaa kichwani kwake km una mjudge
Umenikumbusha k2
 
Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu

"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"

Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Ilaa tuache unafiki hivi wanaume mnaamini kabisa kwamba mdada mkipendana atakubali muoane eti kisa upendo na pesa hakuna????
Acheni matani bwanaa ndoa tunazitaka ila sio za kuachiwa 3000 asubuhi...hasa kama mke hana kazi.
 
Huwa nikiwa nimechoka sipendi sana kuongea-ongea maana mwishoni huwa tunaishia kuzozana,huo ndio muda ambao wanandoa wengi huutumia kuulizana maswali ya mitego...
 
Ukimruhusu afikie uchumi wa juu zaidi yako umekwisha, ukitafuta pesa ukawa nazo nyingi na usiwe mkora kwake umekwisha vile vile..kuanzia hapo ishi nae kwa akili tena mchane live ile kauli yake kua imekustua na vaa uso wa mbuzi mpaka ajute
Huyu atakuwa Mwanachama Wa chama Fulani cha siasa, ukiingia uchumi Wa kati utabezwa mpaka basi.
Atasema hujafanya jitihada yoyote na uchumi wenyewe ni Wa makaratasi.
 
Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu

"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"

Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Ndio wanawake wengi walivyo . Mwanamke mwenye pesa huwezi kumuoa
 
Sasa mke wako umuulize swali kama hilo kuhusu rafiki yake alafu anakujua kabisa kwamba hujatulia ni kiwembe ulitegemea atakujibu nini.

Hayo ndiyo majibu ya wanawake wenye akili wote kwa maswali ya kipumbavu kama haya.
Umemjibu vema,,,
 
Ilaa tuache unafiki hivi wanaume mnaamini kabisa kwamba mdada mkipendana atakubali muoane eti kisa upendo na pesa hakuna????
Acheni matani bwanaa ndoa tunazitaka ila sio za kuachiwa 3000 asubuhi...hasa kama mke hana kazi.
Duh kumbe za kuachiwa 3000 asubuhi hazifai??
 
Anza mazoezi ya kumuacha ukishaona unaweza Sasa kuachana naye mchane live juu ya alichosema kisha mpe mtaji akamilishe lengo la kupata uchumu kupitia ndoa
 
Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu

"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"

Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Embu filisika mkuu uje utupe mrejesho wa hali mpya ya maisha
 
We mwenyewe kilaza tu umekalia umbea ulitaka mkeo akujibu vipi,,
 
Tokea niangalie movie ya CASINO 1993 ya Martin Scorsese, nimekuwa nikifikiria sana hili swala la kuoa, yani unaweza oa mwanamke ukaishi naye miaka mingi ila bado akaja kukufanyia kitu hutokaa uamini... [emoji29][emoji29]
 
Duh!!! Sio mchezo Hilo jibu linatosha kabisa kumpigia mtu kampeni na akashinda ubunge
Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu

"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"

Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
 
Back
Top Bottom