Kauli hii ya mke wangu imenishtua kidogo

Kauli hii ya mke wangu imenishtua kidogo

Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu

"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"

Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Daaaaaahhh hii kauli nzito sanaaa mkuu inaashiria hata shemeji kakubali kuingia kwenye ndoa kwa sababu fulani tuu anazozijua yeye ila bila hivyo asingekubali umuoe mkuu
 
Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu

"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"

Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Umevuna ulichopanda

Mshahara wa usengenyaji Ni sonona
 
Siku za hatari hazina suluhisho eeh?
Suluhisho zuri ni kutokufanya tu,kitu unaweza mshawishi mkafanya...kondomu kwa wapenzi wanatumia wachache,hivyo vidonge sijui P2 hata wanawake wenyewe hawavipendi kuvitumia washaambiana vina madhara
 
Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu

"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"

Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Badala ya kugegedana na kupanga mambo ya msingii, unaanza kuwa mmbea, huo ni umama na jibu lilikufaa. Au ulitaka kumuoa huyo rafiki yake mkuu?
 
Acha kumtisha mwenzio [emoji23]
Sema ukweli lakini madame ..mbona wataka kumfariji wakati waona kabisa kuwa kijana wawatu ameoa Bomu ..wakati wowote ule litamlipukia .haahah
 
Sema ukweli lakini madame ..mbona wataka kumfariji wakati waona kabisa kuwa kijana wawatu ameoa Bomu ..wakati wowote ule litamlipukia .haahah
😂😂😂hamna wala wanawake wanamaneno mengi tu
 
Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu

"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"

Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Huyo ni mjasiliandoa.
Kaja kwenye ndoa kutatua matatizo yake na familia yao. Usomeshe wadogo zake. Uwatibu wazazi wake wakiugua na vitu kama. Akitaka mtanange anaupata kwa mwendesha bodaboda.
Huna mke hapo.
 
Wanawake wana kauli za kuuzi Sana...na mwanamke anaweza akachepuka hata Kama anaridhishwa ..Hawa watu na shetan Ni Kama mtu na ndugu yake
Sema tumeambiwa tuishi nao kwa akili sana, mwanaume usipo kuwa na akili basiii huwezi kuishi na mwanamke
 
Nmekuuliza hilo ili nikuone , na naona ni mbwembwe tu wala hamna lolote la maana ..

Kwaiyo ningesema mgongeee, mpige muwaaa ..yangekua sahihi??? Ila kwakua nmeandika mtombe..? Sio sahihi ..... hizi ndo mbwembwe zenyewe Mkuu.


Ndio, sasa yann nifiche fiche na kutumia Tafsida na Lengo langu ni mtoa mada aelewe nachomanisha, kama ningetumia Lugha asoielewa ,siangeuliza Unamanisha nn?????.


As long as watu wanatombana daily, Acheni kua wanafiki bana.
Hahahah!! Mkuu kiupande fulani uko sahihi. Muda mwingine soft language inapunguza utamu wa lugha.
 
Ndo ukweli na uhalisia wenyewe. Kawa muwazi kabisaaaaah
 
Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu

"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"

Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
kawaida sana hiyo,alikuwa ana balance story tu
 
Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu

"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"

Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Hahahaaa hakuna tafakari hapo
Umeelewa ila unajitia hujaelewa
Ahahaaaa
Kutafakari huko vepeee
 
Back
Top Bottom