Kauli hii ya mke wangu imenishtua kidogo

Kauli hii ya mke wangu imenishtua kidogo

Afadhali yako wewe,.mimi Kuna siku tunaangalia muvi,..Basi mwanamke akapigwa Kofi na mumewe..yeye akaropoka kuwa nikiolewa Mimi mume akinipiga hivyo narudi kwetu..nikasema huyu kajisahau kuwa kaolewa au anajua anaishi na Jini..
Hahahaha
 
Afadhali yako wewe,.mimi Kuna siku tunaangalia muvi,..Basi mwanamke akapigwa Kofi na mumewe..yeye akaropoka kuwa nikiolewa Mimi mume akinipiga hivyo narudi kwetu..nikasema huyu kajisahau kuwa kaolewa au anajua anaishi na Jini..
Mie nilimtwanga kofi moja [emoji3] tu,

Alipoteza faham,, nilianza kujuta kwa nn nimemtwanga lile kofi,, alivokuja kuzinduka ananiuliza kimetokea nn? Nikamjibu Twende tukalale ntakwambia kesho,

Aiseeh alideka sijapata ona,, ikabidi kesho yake niende shop kumnunulia zawadi,,


Siku hizi muoga kweli,, akinichefua anakaa mbali mita 2,

Wenzie huwa wanamcheka wanamwambia "SI ULISEMA 1 KUSH NI MPOLE?"

Kumbe aliwasimulia mashosti,
 
Tatizo limeanzia kwako,inakuhusu nini mpaka uulizie eti rafiki yake kwanini hajaolewa? hilo jibu amelitoa coz amekudharau,ungekua upo serious na mambo yako asingethubutu kukutolea hiyo kauli,alijihisi kama anaongea na mtu mbea anayefuatilia maisha ya watu ndio maana akawa na confidence ya kukujibu hivyo.
Mwanakulitafuta mwanakulipta
 
Afadhali yako wewe,.mimi Kuna siku tunaangalia muvi,..Basi mwanamke akapigwa Kofi na mumewe..yeye akaropoka kuwa nikiolewa Mimi mume akinipiga hivyo narudi kwetu..nikasema huyu kajisahau kuwa kaolewa au anajua anaishi na Jini..
Mhhhhhhhhhhhhhhhh?¿?????¿¿¿
 
Ha ha ha Safi Sana,.Kuna muda wanawake wanatujaribu kuona tutawachukulia hatua gani..
Mie nilimtwanga kofi moja [emoji3] tu,

Alipoteza faham,, nilianza kujuta kwa nn nimemtwanga lile kofi,, alivokuja kuzinduka ananiuliza kimetokea nn? Nikamjibu Twende tukalale ntakwambia kesho,

Aiseeh alideka sijapata ona,, ikabidi kesho yake niende shop kumnunulia zawadi,,


Siku hizi muoga kweli,, akinichefua anakaa mbali mita 2,

Wenzie huwa wanamcheka wanamwambia "SI ULISEMA 1 KUSH NI MPOLE?"

Kumbe aliwasimulia mashosti,
 
Unampa jibu unamwacha apambane nalo mwenyewe.
Mwana kulifind, mwanakulipata.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli
 
Kwan ni uongo ni bas tu hakuna alichokosea ndoa kwa asilimia kadhaa ni utmwa huru
 
Afadhali yako wewe,.mimi Kuna siku tunaangalia muvi,..Basi mwanamke akapigwa Kofi na mumewe..yeye akaropoka kuwa nikiolewa Mimi mume akinipiga hivyo narudi kwetu..nikasema huyu kajisahau kuwa kaolewa au anajua anaishi na Jini..
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyo anajua mazaifu yako ndio maana kakukata stimu
 
Afadhali yako wewe,.mimi Kuna siku tunaangalia muvi,..Basi mwanamke akapigwa Kofi na mumewe..yeye akaropoka kuwa nikiolewa Mimi mume akinipiga hivyo narudi kwetu..nikasema huyu kajisahau kuwa kaolewa au anajua anaishi na Jini..

Hahahahaha mnanichekesha mimi
 
Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu

"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"

Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Kwa Sauti ya kisukuma " msiwege mnaoa"
 
Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu

"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"

Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Kesho ataongea mengine,ukiyaweka kichwani maneno ya wanawake utakuwa chizi.
 
Wanawake wengi wanaolewa sababu tu ya ugumu wa maisha na kuchoka kukaa nyumbani
 
Afadhali yako wewe,.mimi Kuna siku tunaangalia muvi,..Basi mwanamke akapigwa Kofi na mumewe..yeye akaropoka kuwa nikiolewa Mimi mume akinipiga hivyo narudi kwetu..nikasema huyu kajisahau kuwa kaolewa au anajua anaishi na Jini..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] anamaanisha bado hajaolewa
 
Shukuru amekuambia wazi,hakikisha anaendelea kuwa tegemezi kwako kama bado unataka kuwa naye.
 
Nimesoma comments zooote hadi hapa, nikajikuta naishia kucheka tu...[emoji4][emoji4]
 
Back
Top Bottom