Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nami nitamuongezea.
Kwa kweli tumpe zawadi mwanamke mwenzetu kwa kuwa muwazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nami nitamuongezea.
Ni kweli kama mimi pia basi naupweke .Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu
"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"
Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Unampa jibu unamwacha apambane nalo mwenyewe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kweli tumpe zawadi mwanamke mwenzetu kwa kuwa muwazi
Kabisa kabisaHyo akiingia uchumi wa kati ndo utaelewa
Nakunywa savanna mamy niagize????Mke wako anakunywa kinywaji gani
Mmeanza wazimu sasa eti eeeeh??????Kosa kubwa jamii ilifanya ni sisi wanaume na wazazi kuunga mkono mkono kuwa ukimuelimisha mtoto wa kike umeiokoa jamii. Kumbe ukweli ni kwamba ukimuelimisha mtoto wa kike na kumuwezesha unaingamiza jamii....
Bora umejiami mapemaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mambo ya kufanya mke rafiki yatawakost vijana wa kileo...umeona sasa mke amekuweka kiganjan...yaan amekutawala
Mke ni amri tuu..hahahhahaha
(Usiamin nilichoandika)
Malaikaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msifie mkeo, mwambie wewe ni malaikaaa... tena malaika gabriel...
Tena 100%kuna kaukweli hapa
Jibu umelipata, mwanaume unadadisi mambo ya watu ya niniSiku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu
"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"
Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Umepata ulichokuwa unakitafuta!!Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu
"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"
Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Maneno ya kawaida kabisaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wanawake ukiweka kichwani kila anachoongea utakuwa chizii mkuu