Kauli hii ya mke wangu imenishtua kidogo

Kauli hii ya mke wangu imenishtua kidogo

Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu

"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"

Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Ni kweli kama mimi pia basi naupweke .
Tunatofautiana mie sipendi kuwa single forever
 
Mkuu usiogope alikuwa anakutishia nyau uyo shemeji yetu we endelea kumpiga mpini tu
 
Nimecheka kama mazuri vile..... Pole sana hakuna mapenzi hapo
 
Kosa kubwa jamii ilifanya ni sisi wanaume na wazazi kuunga mkono mkono kuwa ukimuelimisha mtoto wa kike umeiokoa jamii. Kumbe ukweli ni kwamba ukimuelimisha mtoto wa kike na kumuwezesha unaingamiza jamii....
Mmeanza wazimu sasa eti eeeeh??????
 
Mambo ya kufanya mke rafiki yatawakost vijana wa kileo...umeona sasa mke amekuweka kiganjan...yaan amekutawala

Mke ni amri tuu..hahahhahaha

(Usiamin nilichoandika)
Bora umejiami mapemaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu

"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"

Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Jibu umelipata, mwanaume unadadisi mambo ya watu ya nini
 
Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu

"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"

Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Umepata ulichokuwa unakitafuta!!
 
Back
Top Bottom