Kauli hii ya mke wangu imenishtua kidogo

Kauli hii ya mke wangu imenishtua kidogo

Kosa kubwa jamii ilifanya ni sisi wanaume na wazazi kuunga mkono mkono kuwa ukimuelimisha mtoto wa kike umeiokoa jamii. Kumbe ukweli ni kwamba ukimuelimisha mtoto wa kike na kumuwezesha unaingamiza jamii....
Kama Kuna ukweli mkuu
 
Nmekuuliza hilo ili nikuone , na naona ni mbwembwe tu wala hamna lolote la maana ..

Kwaiyo ningesema mgongeee, mpige muwaaa ..yangekua sahihi??? Ila kwakua nmeandika mtombe..? Sio sahihi ..... hizi ndo mbwembwe zenyewe Mkuu.


Ndio, sasa yann nifiche fiche na kutumia Tafsida na Lengo langu ni mtoa mada aelewe nachomanisha, kama ningetumia Lugha asoielewa ,siangeuliza Unamanisha nn?????.


As long as watu wanatombana daily, Acheni kua wanafiki bana.
Inaelekea ndio mazoea yako kutumia maneno ya namna hiyo.

Mtu ambaye maneno hayo unayotoa wewe hayajamtawala hasilan asingeweze kuyaandika
 
Nmekuuliza hilo ili nikuone , na naona ni mbwembwe tu wala hamna lolote la maana ..

Kwaiyo ningeenda mgongeee, mpige muwaaa ..yangekua sahihi??? Ila kwakua nmeandika mtombe..? Sio sahihi ..... hizi ndo mbwembwe zenyewe Mkuu.


Ndio, sasa yann nifiche fiche na kutumia Tafsida na Lengo langu ni mtoa mada aelewe nachomanisha, kama ningetumia Lugha asoielewa ,siangeuliza Unamanisha nn?????.


As long as watu wanatombana daily, Acheni kua wanafiki bana.
🥂🥂🍾
 
Tatizo limeanzia kwako,inakuhusu nini mpaka uulizie eti rafiki yake kwanini hajaolewa? hilo jibu amelitoa coz amekudharau,ungekua upo serious na mambo yako asingethubutu kukutolea hiyo kauli,alijihisi kama anaongea na mtu mbea anayefuatilia maisha ya watu ndio maana akawa na confidence ya kukujibu hivyo.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] umemaliza
 
  • Thanks
Reactions: amu
Maneno ya kawaida kabisaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wanawake ukiweka kichwani kila anachoongea utakuwa chizii mkuu

Ulishawahi Kula tunda kimasihara?

Wewe jamaa ile mada yako kiboko
 
Mtu hujampandisha vilima alafu waanzisha topic ya kijinga kabisa.. Na K ipo peupe hapo..

Jinga.
 
Ukimruhusu afikie uchumi wa juu zaidi yako umekwisha, ukitafuta pesa ukawa nazo nyingi na usiwe mkora kwake umekwisha vile vile..kuanzia hapo ishi nae kwa akili tena mchane live ile kauli yake kua imekustua na vaa uso wa mbuzi mpaka ajute
Huyu hana mke, unless mwanamke aliongea tu bila kumaanisha.
 
Mambo ya kufanya mke rafiki yatawakost vijana wa kileo...umeona sasa mke amekuweka kiganjan...yaan amekutawala

Mke ni amri tuu..hahahhahaha

(Usiamin nilichoandika)
 
Hiyo ni hulka ya asili kwa wanawake wote. Mwanamke akijimudu kifedha kabla ya kuolewa atachagua sana wanaume na atachelewa sana kuolewa. Usihofu, haimaanishi kuwa hakupendi, anaongea tu hali halisi ilivyo.
 
Back
Top Bottom