Kauli hii ya mke wangu imenishtua kidogo

Kauli hii ya mke wangu imenishtua kidogo

Kosa kubwa jamii ilifanya ni sisi wanaume na wazazi kuunga mkono mkono kuwa ukimuelimisha mtoto wa kike umeiokoa jamii. Kumbe ukweli ni kwamba ukimuelimisha mtoto wa kike na kumuwezesha unaingamiza jamii....
Mke kasema ukweli (ukweli mchungu) nyie mnasema jamii inaangamia
 
Hiyo ni hulka ya asili kwa wanawake wote. Mwanamke akijimudu kifedha kabla ya kuolewa atachagua sana wanaume na atachelewa sana kuolewa. Usihofu, haimaanishi kuwa hakupendi, anaongea tu hali halisi ilivyo.
Kma vijana wenye pesa hivi unawaonaga wana muda na mapambio ya ndoa mapema?.
 
Mie nilimtwanga kofi moja [emoji3] tu,

Alipoteza faham,, nilianza kujuta kwa nn nimemtwanga lile kofi,, alivokuja kuzinduka ananiuliza kimetokea nn? Nikamjibu Twende tukalale ntakwambia kesho,

Aiseeh alideka sijapata ona,, ikabidi kesho yake niende shop kumnunulia zawadi,,


Siku hizi muoga kweli,, akinichefua anakaa mbali mita 2,

Wenzie huwa wanamcheka wanamwambia "SI ULISEMA 1 KUSH NI MPOLE?"

Kumbe aliwasimulia mashosti,
Usije mbonda huyo ana mwili mwepesi..utapata kesi ya mauaji buree
 
Huwa sipuuzi jambo lolote asemalo mwanamke,na pia yasikufanye ukaumiza kichwa sana japo kuwa nae makini
Najaribu kufikiri kama angekua kakuzidi kipato pamoja na elimu pia,
Binafsi siwaamini kabisa na sidhan kama naweza kuamini lolote kuwahusu
 
Kama hujaielewa subiri ufilisike ndo utaielewa vizuri utakimbiwa yupo na we kwasababu ya faida flanflan tu hakuna mapenzi haapo
 
Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu

"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"

Kauli mpaka leo bado naitafakari sana

Mke ana point lakini. Maana ata mie naona kuoa ni kama huna mihela kama namihela kuoa ya nini...najibadilishia pisi mpya kila wiki kwa raha zangu
 
Lazima ukweli usemwe, hata kama ni mchungu kiasi gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787] kumbe ndiyo wewe uliyetuwakilisha vyema aisee
 
Afadhali yako wewe,.mimi Kuna siku tunaangalia muvi,..Basi mwanamke akapigwa Kofi na mumewe..yeye akaropoka kuwa nikiolewa Mimi mume akinipiga hivyo narudi kwetu..nikasema huyu kajisahau kuwa kaolewa au anajua anaishi na Jini..
Vimbwanga hivyo nimecheka sana, anataka aolewe mara ya pili nini? Labda haumtoshelezi ndiyo maana
 
Nimegundua kuwa wanawake wengi wapo kwenye ndoa wanatamani kutoka kwenye hizo ndoa, either ni amekosea njia kuishi na wewe or anataka tu kuishi kama zamani kuwa na uhuru nk akisahau ukiolewa everything changed
 
Wanawake wana kauli za kuuzi Sana...na mwanamke anaweza akachepuka hata Kama anaridhishwa ..Hawa watu na shetan Ni Kama mtu na ndugu yake
Vimbwanga hivyo nimecheka sana, anataka aolewe mara ya pili nini? Labda haumtoshelezi ndiyo maana
 
Lazima ukweli usemwe, hata kama ni mchungu kiasi gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa kweli
 
Ukimruhusu afikie uchumi wa juu zaidi yako umekwisha, ukitafuta pesa ukawa nazo nyingi na usiwe mkora kwake umekwisha vile vile..kuanzia hapo ishi nae kwa akili tena mchane live ile kauli yake kua imekustua na vaa uso wa mbuzi mpaka ajute
Kwahiyo bora abakie uchumi wa kati siyo?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Back
Top Bottom