Kauli hii ya mke wangu imenishtua kidogo

Kauli hii ya mke wangu imenishtua kidogo

Usipende kuweka maneno ya wanawake kichwan wala moyoni.. utaumia bure
.....
 
Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu

"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"

Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Umepigwa pole
 
Pana wanawake wa aina mbili pana aliyekuja kama mke na Pana aliyefata kivuli apumzike au mtafuta ufadhili wa maisha yake au mwekezaji.
Mke hawezi kukusaliti,au kukuacha wakati wa shida, tofauti na msaka kivuli au mwekezaji
 
Back
Top Bottom