Kauli hii ya Pastor Tony Kapola inachochea ukatili dhidi ya wanawake walioko kwenye ndoa! Wanawake msifuate ushauri huu

Kauli hii ya Pastor Tony Kapola inachochea ukatili dhidi ya wanawake walioko kwenye ndoa! Wanawake msifuate ushauri huu

Kua na familia imara ni bahati, hata uwe mjanja vipi au uwe makini vipi kwenye kuchagua kama bahati haipo upande wako talaka zitakuhusu.
Ila ukweli añayedumisha ndoa ni mwanamke. Mke akiwa na busara akampenda mume wake, sisi wanaume tukiridhika tuu basi, hàta kuchepuka kunakuwa hakupo kivile maana unawazà usije ukàmkosea mkeo.
Ila hayana mwongozo pia.
 
Nimecheka kwa nguvuuu sana Wewe jamaa phala sana,
Eti mwanaume anajiitaje
Mama samia!!

Hahahah jamaa hua hahudhurii vikao mbona wenzake
kina Maghayo The Mongolian Savage I'd zao zina majina ya Kibabe sana?

😂😂😂
Huyu jamaa ni ndina sana kwa kujifanya mtetezi wa wanawake humu jf.
Angejua wanawake wanavyo tuchukulia wala hasingepoteza muda kujifanya mtetezi wao.
Kiufupi ningekuwa na mamlaka hivi vijitaasisi vinavyo eneza itikadi za kifeminist kwa mgongo wa kutetea haki za wanawake ninge vifyekelea mbali maana vimejaa ushetani mtupu.
 
Inasikitisha sana huu uchochezi kufanywa na huyu mtumishi wa Mungu.

Sikutegemea kabisa kuona maneno kama haya yakitolewa na mtu kama huyu

Ningekuwa na mamlaka makanisa kama haya ningeyafutilia mbali.

Hiki ndicho alichokisema:

"Mama zetu walivumilia kwa sababu baba zao hawakuwa tayari kuwaona wanarudi nyumbani. Wakienda kusemelea kwa mama yake, mama mimi John ananifanyia hivi na hivi. Ananitesa, ananinyanyasa, ananipiga. Mama yake anamwambia hivi Mbona mimi baba ako ananipiga, ni kawaida, vumiia tu mwanangu"

"Siku hizi mama ako mwenyewe, kaachika. Anakwambia hivi "akikunyanyulia mkono chumba chako bado kipo. Kwa hiyo binti anaingia kwenye ndoa anajua kabisa chumba chake bado kipo. Kijana jichanganye"


Ni kauli kama hizi zinazofanya wanawake wabaki kwenye ndoa ambazo zimejaa manyanyaso na ukatili uliokithiri.

Ripoti ya World Bank iliyotoka mwaka 2022 ilisema kabisa kuwa asilimia 40 ya wanawake wenye umri kuanzia miaka 19 hadi 40 wameshawahi kupigwa au kufanyiwa vitendo vya ukatili.

Kwa takwimu kama hizi, mtu mashuhuri kama huyu anajitokezaje kwenye halaiki ya watu na kutetea ukatili kwa wanawake.

Kwanini Pastor asingetumia muda huu wa kutetea ukatili kwa wanawake, kuwasema wanaume wanaopiga wanawake zao?

Inasikitisha sana!
Wewe ndio hujamwelewa.

Mama yako tu kaachika anadanga kwa beach boys atakushauri nini?
 
Inasikitisha sana huu uchochezi kufanywa na huyu mtumishi wa Mungu.

Sikutegemea kabisa kuona maneno kama haya yakitolewa na mtu kama huyu

Ningekuwa na mamlaka makanisa kama haya ningeyafutilia mbali.

Hiki ndicho alichokisema:

"Mama zetu walivumilia kwa sababu baba zao hawakuwa tayari kuwaona wanarudi nyumbani. Wakienda kusemelea kwa mama yake, mama mimi John ananifanyia hivi na hivi. Ananitesa, ananinyanyasa, ananipiga. Mama yake anamwambia hivi Mbona mimi baba ako ananipiga, ni kawaida, vumiia tu mwanangu"

"Siku hizi mama ako mwenyewe, kaachika. Anakwambia hivi "akikunyanyulia mkono chumba chako bado kipo. Kwa hiyo binti anaingia kwenye ndoa anajua kabisa chumba chake bado kipo. Kijana jichanganye"


Ni kauli kama hizi zinazofanya wanawake wabaki kwenye ndoa ambazo zimejaa manyanyaso na ukatili uliokithiri.

Ripoti ya World Bank iliyotoka mwaka 2022 ilisema kabisa kuwa asilimia 40 ya wanawake wenye umri kuanzia miaka 19 hadi 40 wameshawahi kupigwa au kufanyiwa vitendo vya ukatili.

Kwa takwimu kama hizi, mtu mashuhuri kama huyu anajitokezaje kwenye halaiki ya watu na kutetea ukatili kwa wanawake.

Kwanini Pastor asingetumia muda huu wa kutetea ukatili kwa wanawake, kuwasema wanaume wanaopiga wanawake zao?

Inasikitisha sana!
Sijaona kosa lolote la huyu Pastor sana sana naona kaongea Ukweli mtupu ambao kwa bahati mbaya Watanzania wengi (hasa Wapumbavu na Wanafiki) huwa hawapendi Kuusikia / Kuambiwa.

Imeisha hiyo......!!!
 
Huyu jamaa ni ndina sana kwa kujifanya mtetezi wa wanawake humu jf.
Angejua wanawake wanavyo tuchukulia wala hasingepoteza muda kujifanya mtetezi wao.
Kiufupi ningekuwa na mamlaka hivi vijitaasisi vinavyo eneza itikadi za kifeminist kwa mgongo wa kutetea haki za wanawake ninge vifyekelea mbali maana vimejaa ushetani mtupu.
Imeandika kwa his Kali Sana mkuu
 
Mbona pastor yuko vema kusema hivyo! Pasta anajenga maadili kwenye ndoa pawepo na uvumilivu ili ndoa zidumu. Sasa kama mwanamke wa ndoa akikimbilia kwao nani atamfuata kwa miaka hii? Ukiondoka tu ukarudi kwenu, imetoka hiyo hutafuatwa, badala yake anaingia mwanamke mpya na maisha yanaendelea. Ndoa na iheshimiwe na watu wote
 
Mbona ujumbe wa jamaa na malalamiko ya mtoa uzi ni vitu viwili tofauti. Tony hapo kaonesha namna wazazi wanamchango kwenye ndoa za mabinti zao.

Na kaangalia pande zote mama akiwa anamfanya binti kuwa mvumilivu na namna pia baba anaweza kumharibu binti yake kwa kumpa kila kitu na kukataa kumuachia awe chini ya mwanaume mwengine hasa hapo aliposema ''dad's daughter'' .
Acha kutetea upumbavu
 
Sijaona kosa lolote la huyu Pastor sana sana naona kaongea Ukweli mtupu ambao kwa bahati mbaya Watanzania wengi (hasa Wapumbavu na Wanafiki) huwa hawapendi Kuusikia / Kuambiwa.

Imeisha hiyo......!!!
Popoma haya mambo huwezi elewa.
 
Back
Top Bottom