Kauli hii ya Pastor Tony Kapola inachochea ukatili dhidi ya wanawake walioko kwenye ndoa! Wanawake msifuate ushauri huu

Kauli hii ya Pastor Tony Kapola inachochea ukatili dhidi ya wanawake walioko kwenye ndoa! Wanawake msifuate ushauri huu

Tukiachana na hadithi za kwenye bible tujikite kwenye hii kauli ya huyu baradhuli Tony.
Huyo unayemuita baradhuli kawa hivyo kwa sababu mfumo uliomfunza hivyo kutoka kwenye Bible ndio uliompa leseni ya kusema hivyo.

Watu wanafikiri haya maneno yanatoka hewani tu, yanatoka kwenye Biblia.

Kuna sehemu nyingi sana kwenye Biblia zimefundisha mwanamke ni kiumbe dhaifu tu, msaidizi tu wa mwanamme. Of course kwa falsafa hizo mwanamke anatakiwa kuvumilia tu anachofanyiwa na mwanamme.

There is a direct line from that Bible story to that baradhuli saying so.
 
Inasikitisha sana huu uchochezi kufanywa na huyu mtumishi wa Mungu.

Sikutegemea kabisa kuona maneno kama haya yakitolewa na mtu kama huyu

Ningekuwa na mamlaka makanisa kama haya ningeyafutilia mbali.

Hiki ndicho alichokisema:

"Mama zetu walivumilia kwa sababu baba zao hawakuwa tayari kuwaona wanarudi nyumbani. Wakienda kusemelea kwa mama yake, mama mimi John ananifanyia hivi na hivi. Ananitesa, ananinyanyasa, ananipiga. Mama yake anamwambia hivi Mbona mimi baba ako ananipiga, ni kawaida, vumiia tu mwanangu"

"Siku hizi mama ako mwenyewe, kaachika. Anakwambia hivi "akikunyanyulia mkono chumba chako bado kipo. Kwa hiyo binti anaingia kwenye ndoa anajua kabisa chumba chake bado kipo. Kijana jichanganye"


Ni kauli kama hizi zinazofanya wanawake wabaki kwenye ndoa ambazo zimejaa manyanyaso na ukatili uliokithiri.

Ripoti ya World Bank iliyotoka mwaka 2022 ilisema kabisa kuwa asilimia 40 ya wanawake wenye umri kuanzia miaka 19 hadi 40 wameshawahi kupigwa au kufanyiwa vitendo vya ukatili.

Kwa takwimu kama hizi, mtu mashuhuri kama huyu anajitokezaje kwenye halaiki ya watu na kutetea ukatili kwa wanawake.

Kwanini Pastor asingetumia muda huu wa kutetea ukatili kwa wanawake, kuwasema wanaume wanaopiga wanawake zao?

Inasikitisha sana!
Mbona hajamzidi Chalamila! Na bado anadunda.
 
Inasikitisha sana huu uchochezi kufanywa na huyu mtumishi wa Mungu.

Sikutegemea kabisa kuona maneno kama haya yakitolewa na mtu kama huyu

Ningekuwa na mamlaka makanisa kama haya ningeyafutilia mbali.

Hiki ndicho alichokisema:

"Mama zetu walivumilia kwa sababu baba zao hawakuwa tayari kuwaona wanarudi nyumbani. Wakienda kusemelea kwa mama yake, mama mimi John ananifanyia hivi na hivi. Ananitesa, ananinyanyasa, ananipiga. Mama yake anamwambia hivi Mbona mimi baba ako ananipiga, ni kawaida, vumiia tu mwanangu"

"Siku hizi mama ako mwenyewe, kaachika. Anakwambia hivi "akikunyanyulia mkono chumba chako bado kipo. Kwa hiyo binti anaingia kwenye ndoa anajua kabisa chumba chake bado kipo. Kijana jichanganye"


Ni kauli kama hizi zinazofanya wanawake wabaki kwenye ndoa ambazo zimejaa manyanyaso na ukatili uliokithiri.

Ripoti ya World Bank iliyotoka mwaka 2022 ilisema kabisa kuwa asilimia 40 ya wanawake wenye umri kuanzia miaka 19 hadi 40 wameshawahi kupigwa au kufanyiwa vitendo vya ukatili.

Kwa takwimu kama hizi, mtu mashuhuri kama huyu anajitokezaje kwenye halaiki ya watu na kutetea ukatili kwa wanawake.

Kwanini Pastor asingetumia muda huu wa kutetea ukatili kwa wanawake, kuwasema wanaume wanaopiga wanawake zao?

Inasikitisha sana!
ukweli mchungu hii ni kweli na itabaki kuwa kweli na hapo ndio shida kubwa ilipo
 
Finally nimepata mtu anayeongea lugha sawa na mimi. Kuwepo prenups, kuwepo urahisi wa talaka ili kusudi wanaokimbilia ndoa wajue kuwa wana wajibu wakuzijenga na kuziishi. Which watakuwa wachache na zitakuwa bora.


Hapo pa mustakabali wa wanandoa hapo… Jamii inatia pressure watu kuoana ila haisemi kitu kuhusu wanandoa kujitahidi kuishi misingi na kutendeana kwa wema… It’s like watu wanatiana pressure ya kwenda kuteseka 😀 Nadhani focus ilitakiwa kupelekwa katika “existing ones” ambapo zikiwa nzuri za mfano automatically kila mtu atatamani.

Sheria za ndoa zimejengwa katika misingi ya ukandamizaji, Zote za kidini, kiserikali na kitamaduni.

Wamebaki wachache sana waliocustumize ndoa zao kwa mahitaji yao ndio wanaishi vizuri, kwingine kote kasheshe.

Absolutely right, ndoa kama zilivyo imani za kidini mara nyingi dhana yake imekua misunderstood kwa kiasi kikubwa.. Ndoa ni mkataba wa kushea Mapenzi. Kama Mapenzi hayapo tena maana yake huo mkataba unapoteza sifa.. kwahiyo swala la msingi sio kulazimisha Ndoa zisivunjike ila ni kutafuta mbinu za kuboresha Mapenzi ili Ndoa ziendelee kudumu.

People dont know how to distinguish between a lover and a sex mate.. Marriage must come out as a product of a profound love between two individuals and it has to remain that way for its legitimacy
 
Inasikitisha sana huu uchochezi kufanywa na huyu mtumishi wa Mungu.

Sikutegemea kabisa kuona maneno kama haya yakitolewa na mtu kama huyu

Ningekuwa na mamlaka makanisa kama haya ningeyafutilia mbali.

Hiki ndicho alichokisema:

"Mama zetu walivumilia kwa sababu baba zao hawakuwa tayari kuwaona wanarudi nyumbani. Wakienda kusemelea kwa mama yake, mama mimi John ananifanyia hivi na hivi. Ananitesa, ananinyanyasa, ananipiga. Mama yake anamwambia hivi Mbona mimi baba ako ananipiga, ni kawaida, vumiia tu mwanangu"

"Siku hizi mama ako mwenyewe, kaachika. Anakwambia hivi "akikunyanyulia mkono chumba chako bado kipo. Kwa hiyo binti anaingia kwenye ndoa anajua kabisa chumba chake bado kipo. Kijana jichanganye"


Ni kauli kama hizi zinazofanya wanawake wabaki kwenye ndoa ambazo zimejaa manyanyaso na ukatili uliokithiri.

Ripoti ya World Bank iliyotoka mwaka 2022 ilisema kabisa kuwa asilimia 40 ya wanawake wenye umri kuanzia miaka 19 hadi 40 wameshawahi kupigwa au kufanyiwa vitendo vya ukatili.

Kwa takwimu kama hizi, mtu mashuhuri kama huyu anajitokezaje kwenye halaiki ya watu na kutetea ukatili kwa wanawake.

Kwanini Pastor asingetumia muda huu wa kutetea ukatili kwa wanawake, kuwasema wanaume wanaopiga wanawake zao?

Inasikitisha sana!

Rubbish huyu Mjinga
 
Hayupo sahihi kwenye mifano yake na ndio ilipo hoja ya mleta uzi, uvumilivu sio wa kupigana, kuvumiliana kwenye mengine sawa, lakini domestic violence inapaswa kukemewa pakubwa sana, anasema binti anashtaki kapigwa na mumewe, mama ake nae anamjibu mbona baba ako ananipiga ila navumilia wth!

Mimi binafsi wazazi wangu wana karibu miaka 60 pamoja lakini sikuwahi wala kuwahi kuona wakipigana wala kufokeana na hao wamezeeka pamoja lakini najua wamevumiliana kwa mengi na wanaheshimiana pia,

Also hakuna kitu kibaya mzazi kumwambia mwanae ukishindwa rudi nyumbani, kwenye malezi ya mtoto mzazi anatakiwa amfanye mtoto wake ajisikie huru kua kwao na sio kuishi kama mkimbizi kwa kigezo cha ndoa
Siyo kila mtu yupo kama wazazi wako. Ungesisitiza waache kukosa, siyo kutetea ujinga kwa jina la domestic violence. Feminism inaua taasisi ya familia.
 
Hayupo sahihi kwenye mifano yake na ndio ilipo hoja ya mleta uzi, uvumilivu sio wa kupigana, kuvumiliana kwenye mengine sawa, lakini domestic violence inapaswa kukemewa pakubwa sana, anasema binti anashtaki kapigwa na mumewe, mama ake nae anamjibu mbona baba ako ananipiga ila navumilia wth!

Mimi binafsi wazazi wangu wana karibu miaka 60 pamoja lakini sikuwahi wala kuwahi kuona wakipigana wala kufokeana na hao wamezeeka pamoja lakini najua wamevumiliana kwa mengi na wanaheshimiana pia,

Also hakuna kitu kibaya mzazi kumwambia mwanae ukishindwa rudi nyumbani, kwenye malezi ya mtoto mzazi anatakiwa amfanye mtoto wake ajisikie huru kua kwao na sio kuishi kama mkimbizi kwa kigezo cha ndoa
Wazazi wenye Akili hawawezi kugombana na mbele ya watoto hao wazazi wako walikuwa wanahitirafiana sana tu sema walikuwa wana jitahidi kuhakikisha hampati athari yeyote ya kisaikolojia.
Wazazi wa zamani walikuwa na busara, lakini wa siku hizi sio kupigana tu mbele ya watoto mpaka kwenye kufanya mapenzi huwa wana fanya kwa sauti mpaka watoto wanasikia.
 
Watu wamekuwa wapumbavu mno kiasi cha kutetea ukatili ili kulinda ndoa. Mimi nimekulia familia ambayo mama kupigwa mbele ya watoto ilikuwa kitu cha kawaida. Imesababisha hadi huku ukubwani niwe na maelewano madogo mno na baba yangu. Nadhani bado sijamsamehe kwa kumbukumbu mbaya alizonitengenezea kwenye ubongo wangu. Kimsingi ni ngumu mtoto wa kiume kuvumilia kuona mama yake analia baada ya kipigo. Baba yangu nitamuiga mambo mengi ila sio ukatili kwa mke wangu. Hata kama alikuwa ana makosa bado haihalalishi kumshushia kipigo mbele ya sisi watoto wake. Huwa ninafurahi sana kulalamikiwa kuwa nampendelea mama.
Kumbe umeathirika kisaikolojia tangu mtoto basi nimekuelewa.
Baba yako hakuwa sawa, wazazi wenye akili timamu sio kupigana tu mbele ya watoto hata kurushia cheche yeyote ya maneno mbele yao haitakiwi kabisa, ugomvi wa mke na mme huwa unaishia chumbani.
Hata hivyo kama baba yako alikuwa alikuwa anatimiza majukumu yake kama baba wa familia hutakiwi kuwa na chuki naye wala hutakiwi kuingilia ugomvi wa wazazi wako haukuhusu.
 
Mimi yangu ni mawili tu 1)tuache kuwasikiliza mafala akina kapola 2)Nashauri watu wasiwanyime wanawake makofi
 
Wewe nenda kwa topics za wale wanaochukia wanawake akina Natafuta Ajira , ndio mada zinazokuna mtima wako wa kuwa wounded from your mother, ukiona mada zinazosupport wanawake pita kushoto usiwe hurt your big ego.
Dah tumeanza kuchaguliana mpaka na mada za kuchangia, sasa mbona na nyinyi huwa mnaenda kuchangia hizo mada za natafuta ajira ambazo hazi wafai?
Hivi tukisema kila wana ndoa watakapo gombana waachane hii dunia itakuwa na ndoa hata moja kweli, maana hapa duniani huwezi kuisha na mtu miaka alafu msihitirafiane hata kidogo.
Nyinyi ukweli mnauita chuki, lakini ukweli ni kuwa nyinyi mafemenist mmekuwa tatizo kubwa sana ndani ya dunia hii hasa kwenye taasisi ya ndoa.
Mnadai 50 kwa 50 kwenye kutumia tu lakini linapo kuja kutimiza wajibu na majukumu ya kifamilia hapo 50 kwa 50 hamuitaki bali mzigo wote wanaangushiwa wanaume.

Uturuki mwaka juzi ilizipiga marufuku taasisi zote zinazo eneza itikadi za kifemenist ndani ya nchi hiyo maana waligundua ni itikadi iliyo jaa uovu na ushetani ndani yake na nyinyi mtafikiwa tu miaka sio mingi.
 
Kosa lolote suluhisho lake ni adhabu,yupo sahihi mwanamke akileta ujinga azibuliwe kisawa sawa akili imrudi.
 
Anaweza kuwa kaongea pumba kweli kulingana na uwelewa wako na jinsi ulivyochukulia hicho kipengere.

Ingawa uhalisia wa maisha ya kizazi hiki yana hicho alichosema.

Ndoa hazidumu, haki sawa inavunja gender na mamlaka, hao wanaojiita wachungaji/nabii wanahusika kuharibu na kuvunja Ndoa, wazazi wa kizazi kipya nao hawaelewi wafanye nini!.
 
Kua na familia imara ni bahati, hata uwe mjanja vipi au uwe makini vipi kwenye kuchagua kama bahati haipo upande wako talaka zitakuhusu.
Huwezi kuchagua mume au mke kwa sababu tabia za mtu haziandikwi kwenye paji la uso useme utazisoma ili ujue anakufaa au hakufai muhimu ni ninyi ndani ya nyumba yenu kila mmoja aijue mipaka yake.
 
Back
Top Bottom