Huyo unayemuita baradhuli kawa hivyo kwa sababu mfumo uliomfunza hivyo kutoka kwenye Bible ndio uliompa leseni ya kusema hivyo.Tukiachana na hadithi za kwenye bible tujikite kwenye hii kauli ya huyu baradhuli Tony.
Mbona hajamzidi Chalamila! Na bado anadunda.Inasikitisha sana huu uchochezi kufanywa na huyu mtumishi wa Mungu.
Sikutegemea kabisa kuona maneno kama haya yakitolewa na mtu kama huyu
Ningekuwa na mamlaka makanisa kama haya ningeyafutilia mbali.
Hiki ndicho alichokisema:
"Mama zetu walivumilia kwa sababu baba zao hawakuwa tayari kuwaona wanarudi nyumbani. Wakienda kusemelea kwa mama yake, mama mimi John ananifanyia hivi na hivi. Ananitesa, ananinyanyasa, ananipiga. Mama yake anamwambia hivi Mbona mimi baba ako ananipiga, ni kawaida, vumiia tu mwanangu"
"Siku hizi mama ako mwenyewe, kaachika. Anakwambia hivi "akikunyanyulia mkono chumba chako bado kipo. Kwa hiyo binti anaingia kwenye ndoa anajua kabisa chumba chake bado kipo. Kijana jichanganye"
Ni kauli kama hizi zinazofanya wanawake wabaki kwenye ndoa ambazo zimejaa manyanyaso na ukatili uliokithiri.
Ripoti ya World Bank iliyotoka mwaka 2022 ilisema kabisa kuwa asilimia 40 ya wanawake wenye umri kuanzia miaka 19 hadi 40 wameshawahi kupigwa au kufanyiwa vitendo vya ukatili.
Kwa takwimu kama hizi, mtu mashuhuri kama huyu anajitokezaje kwenye halaiki ya watu na kutetea ukatili kwa wanawake.
Kwanini Pastor asingetumia muda huu wa kutetea ukatili kwa wanawake, kuwasema wanaume wanaopiga wanawake zao?
Inasikitisha sana!
Why wanawake hatupendani lakin?Yuko sahihi kwa mabaradhuli kama wewe
Jamaa kukupa za uso unawayawaya tu.Huyu ni miongoni mwa wachungaji feki wa kizazi hiki.
ukweli mchungu hii ni kweli na itabaki kuwa kweli na hapo ndio shida kubwa ilipoInasikitisha sana huu uchochezi kufanywa na huyu mtumishi wa Mungu.
Sikutegemea kabisa kuona maneno kama haya yakitolewa na mtu kama huyu
Ningekuwa na mamlaka makanisa kama haya ningeyafutilia mbali.
Hiki ndicho alichokisema:
"Mama zetu walivumilia kwa sababu baba zao hawakuwa tayari kuwaona wanarudi nyumbani. Wakienda kusemelea kwa mama yake, mama mimi John ananifanyia hivi na hivi. Ananitesa, ananinyanyasa, ananipiga. Mama yake anamwambia hivi Mbona mimi baba ako ananipiga, ni kawaida, vumiia tu mwanangu"
"Siku hizi mama ako mwenyewe, kaachika. Anakwambia hivi "akikunyanyulia mkono chumba chako bado kipo. Kwa hiyo binti anaingia kwenye ndoa anajua kabisa chumba chake bado kipo. Kijana jichanganye"
Ni kauli kama hizi zinazofanya wanawake wabaki kwenye ndoa ambazo zimejaa manyanyaso na ukatili uliokithiri.
Ripoti ya World Bank iliyotoka mwaka 2022 ilisema kabisa kuwa asilimia 40 ya wanawake wenye umri kuanzia miaka 19 hadi 40 wameshawahi kupigwa au kufanyiwa vitendo vya ukatili.
Kwa takwimu kama hizi, mtu mashuhuri kama huyu anajitokezaje kwenye halaiki ya watu na kutetea ukatili kwa wanawake.
Kwanini Pastor asingetumia muda huu wa kutetea ukatili kwa wanawake, kuwasema wanaume wanaopiga wanawake zao?
Inasikitisha sana!
Finally nimepata mtu anayeongea lugha sawa na mimi. Kuwepo prenups, kuwepo urahisi wa talaka ili kusudi wanaokimbilia ndoa wajue kuwa wana wajibu wakuzijenga na kuziishi. Which watakuwa wachache na zitakuwa bora.
Hapo pa mustakabali wa wanandoa hapo… Jamii inatia pressure watu kuoana ila haisemi kitu kuhusu wanandoa kujitahidi kuishi misingi na kutendeana kwa wema… It’s like watu wanatiana pressure ya kwenda kuteseka 😀 Nadhani focus ilitakiwa kupelekwa katika “existing ones” ambapo zikiwa nzuri za mfano automatically kila mtu atatamani.
Sheria za ndoa zimejengwa katika misingi ya ukandamizaji, Zote za kidini, kiserikali na kitamaduni.
Wamebaki wachache sana waliocustumize ndoa zao kwa mahitaji yao ndio wanaishi vizuri, kwingine kote kasheshe.
Inasikitisha sana huu uchochezi kufanywa na huyu mtumishi wa Mungu.
Sikutegemea kabisa kuona maneno kama haya yakitolewa na mtu kama huyu
Ningekuwa na mamlaka makanisa kama haya ningeyafutilia mbali.
Hiki ndicho alichokisema:
"Mama zetu walivumilia kwa sababu baba zao hawakuwa tayari kuwaona wanarudi nyumbani. Wakienda kusemelea kwa mama yake, mama mimi John ananifanyia hivi na hivi. Ananitesa, ananinyanyasa, ananipiga. Mama yake anamwambia hivi Mbona mimi baba ako ananipiga, ni kawaida, vumiia tu mwanangu"
"Siku hizi mama ako mwenyewe, kaachika. Anakwambia hivi "akikunyanyulia mkono chumba chako bado kipo. Kwa hiyo binti anaingia kwenye ndoa anajua kabisa chumba chake bado kipo. Kijana jichanganye"
Ni kauli kama hizi zinazofanya wanawake wabaki kwenye ndoa ambazo zimejaa manyanyaso na ukatili uliokithiri.
Ripoti ya World Bank iliyotoka mwaka 2022 ilisema kabisa kuwa asilimia 40 ya wanawake wenye umri kuanzia miaka 19 hadi 40 wameshawahi kupigwa au kufanyiwa vitendo vya ukatili.
Kwa takwimu kama hizi, mtu mashuhuri kama huyu anajitokezaje kwenye halaiki ya watu na kutetea ukatili kwa wanawake.
Kwanini Pastor asingetumia muda huu wa kutetea ukatili kwa wanawake, kuwasema wanaume wanaopiga wanawake zao?
Inasikitisha sana!
Siyo kila mtu yupo kama wazazi wako. Ungesisitiza waache kukosa, siyo kutetea ujinga kwa jina la domestic violence. Feminism inaua taasisi ya familia.Hayupo sahihi kwenye mifano yake na ndio ilipo hoja ya mleta uzi, uvumilivu sio wa kupigana, kuvumiliana kwenye mengine sawa, lakini domestic violence inapaswa kukemewa pakubwa sana, anasema binti anashtaki kapigwa na mumewe, mama ake nae anamjibu mbona baba ako ananipiga ila navumilia wth!
Mimi binafsi wazazi wangu wana karibu miaka 60 pamoja lakini sikuwahi wala kuwahi kuona wakipigana wala kufokeana na hao wamezeeka pamoja lakini najua wamevumiliana kwa mengi na wanaheshimiana pia,
Also hakuna kitu kibaya mzazi kumwambia mwanae ukishindwa rudi nyumbani, kwenye malezi ya mtoto mzazi anatakiwa amfanye mtoto wake ajisikie huru kua kwao na sio kuishi kama mkimbizi kwa kigezo cha ndoa
Wazazi wenye Akili hawawezi kugombana na mbele ya watoto hao wazazi wako walikuwa wanahitirafiana sana tu sema walikuwa wana jitahidi kuhakikisha hampati athari yeyote ya kisaikolojia.Hayupo sahihi kwenye mifano yake na ndio ilipo hoja ya mleta uzi, uvumilivu sio wa kupigana, kuvumiliana kwenye mengine sawa, lakini domestic violence inapaswa kukemewa pakubwa sana, anasema binti anashtaki kapigwa na mumewe, mama ake nae anamjibu mbona baba ako ananipiga ila navumilia wth!
Mimi binafsi wazazi wangu wana karibu miaka 60 pamoja lakini sikuwahi wala kuwahi kuona wakipigana wala kufokeana na hao wamezeeka pamoja lakini najua wamevumiliana kwa mengi na wanaheshimiana pia,
Also hakuna kitu kibaya mzazi kumwambia mwanae ukishindwa rudi nyumbani, kwenye malezi ya mtoto mzazi anatakiwa amfanye mtoto wake ajisikie huru kua kwao na sio kuishi kama mkimbizi kwa kigezo cha ndoa
Maandiko yake huwa anajitambulisha kama wanaume.Sasa wwe umelijuwaje kama ni dume hilo wakati jina lina soma mama Samia!!??
Kumbe umeathirika kisaikolojia tangu mtoto basi nimekuelewa.Watu wamekuwa wapumbavu mno kiasi cha kutetea ukatili ili kulinda ndoa. Mimi nimekulia familia ambayo mama kupigwa mbele ya watoto ilikuwa kitu cha kawaida. Imesababisha hadi huku ukubwani niwe na maelewano madogo mno na baba yangu. Nadhani bado sijamsamehe kwa kumbukumbu mbaya alizonitengenezea kwenye ubongo wangu. Kimsingi ni ngumu mtoto wa kiume kuvumilia kuona mama yake analia baada ya kipigo. Baba yangu nitamuiga mambo mengi ila sio ukatili kwa mke wangu. Hata kama alikuwa ana makosa bado haihalalishi kumshushia kipigo mbele ya sisi watoto wake. Huwa ninafurahi sana kulalamikiwa kuwa nampendelea mama.
Dah tumeanza kuchaguliana mpaka na mada za kuchangia, sasa mbona na nyinyi huwa mnaenda kuchangia hizo mada za natafuta ajira ambazo hazi wafai?Wewe nenda kwa topics za wale wanaochukia wanawake akina Natafuta Ajira , ndio mada zinazokuna mtima wako wa kuwa wounded from your mother, ukiona mada zinazosupport wanawake pita kushoto usiwe hurt your big ego.
Duh!Kua na familia imara ni bahati, hata uwe mjanja vipi au uwe makini vipi kwenye kuchagua kama bahati haipo upande wako talaka zitakuhusu.
VipiDuh!
Unaamini mno kwenye bahati .Vipi
Huwezi kuchagua mume au mke kwa sababu tabia za mtu haziandikwi kwenye paji la uso useme utazisoma ili ujue anakufaa au hakufai muhimu ni ninyi ndani ya nyumba yenu kila mmoja aijue mipaka yake.Kua na familia imara ni bahati, hata uwe mjanja vipi au uwe makini vipi kwenye kuchagua kama bahati haipo upande wako talaka zitakuhusu.