Kauli ipi yenye uzito kati ya Adeni Rage na Haji Manara?

Kauli ipi yenye uzito kati ya Adeni Rage na Haji Manara?

Manara ni Afisa Habari wa Yanga na atakachosema ni msimamo wa klabu yake, labda viongozi waje waseme hatukumuagiza aongee, na pengine wampe adhabu. Lakini hakuna kiongozi wa Yanga aliyekuja kutengua au kukanusha kauli ya Afisa Habari wa Klabu, jambo linaloashiria kuwa alitumwa akaseme kuwa Yanga wote hamnazo isipokuwa wawili aliowataja
Alitumwa na Simba? Maana tunajua Manara alisema akiwa afisa habari wa simba
 
Alitumwa na Simba? Maana tunajua Manara alisema akiwa afisa habari wa simba
Amewahi kutengua au kulazimishwa na uongozi wa Yanga kutengua alichosema? Kuhama kwake kunafutaje kauli yake zaidi ya yeye kurudi tena?
 
Mkuu we huoni izo kauli zote mbili zilitolewa na watu wa upande mmoja? Mmoja alikuwa akirusha kijembe kwa wapinzani wa timu yake kipindi hicho na mwingine alikuwa anawapa makavu live wanachama wenzake?
Kuna kocha alisema nyie ni nyani kazi yenu kubwekabweka tu, alikuwa kocha wa timu gani?
 
Luc Eymael akiwa kocha wa Yanga; Mashabiki wa Yanga ni kama manyani .wanabweka kama majibwa

lnjinia Heris akiwa rais wa Yanga ; Mashabiki wa Yanga ni wapiga makelele hata hawajui gharama za kuendesha timu ni kubwa kwa kifupi ni wala MIHOGO tu.
 
Mkuu huna hoja, Maana ukitafuta mantiki ya kauli ya Haji Manara haipo, ni sawa na wewe ambaye tunakujua ni shabiki wa Simba useme Yanga wote hawana akili, Hapo hii kauli inakuwa ni ya kishabiki tu na Lengo ni ku wa provoke Yanga
Haiondowi ukweli kwamba nyie ni hamnazo . Mambo mnayotafanya na kuropoka hovyo hadi sasa yanaonesha Manara na Luc Eymael walikuwa sahihi.
Huwa hamjifichi . Kwenye kundi la Mashabiki wa timu 100 tofauti shabiki wa Yanga atajulikana tu kutokana na akili zao za kuropoka hovyo kama mazuzu vile
 
Haiondowi ukweli kwamba nyie ni hamnazo . Mambo mnayotafanya na kuropoka hovyo hadi sasa yanaonesha Manara na Luc Eymael walikuwa sahihi.
Huwa hamjifichi . Kwenye kundi la Mashabiki wa timu 100 tofauti shabiki wa Yanga atajulikana tu kutokana na akili zao za kuropoka hovyo kama mazuzu vile
Ewaaaaaaaaaaahhhj
FB_IMG_1680614951255.jpg
 
Kauli ya Rage ina uzito, Simba wengi ni mbumbumbu, mfano tu we angalia mtu km Mangungu ndio mwenyekiti wao
Halafu siku ya kampeni eti amsafirisha Caesar Manzoki kitoka China, ili aje tu Kuwasalimia mashabiki!

Baada ya salam, kura zote zikaenda kwa Murtaza Mangungu 😃
 
Punguzeni uongo
Rage alisema baadhi ya mashabiki
 
Back
Top Bottom