Kauli, matamko ya Rais Samia yaliyoleta umoja na utulivu wa nchi

Kauli, matamko ya Rais Samia yaliyoleta umoja na utulivu wa nchi

Kumbe nae ni miongoni mwao?
Mbona hajasema na matendo ya mama yanazidi kufanya nchi itulie kwa sheria kufuata mkondo wake... maana wale waliokuwa juu ya sheria na hawakugusika... wakijikweza na kuumiza raia wasio na hatia msumeno sasa unaanza kukata...
Akina nani hao wasiogusika?
 
Unasahau kuwa hata huyo Kristo ni hawa hawa wanaotuletea chanjo ndio walituletea. Unajua kama kina Pope Francis na ma don wote wa ukristu wameshachanjwa?

Pope Francis aliye kimbia Kanisa kwa kuogopa corona ama yuko mwengine? Maana kama ni huyu kuchanjwa ndio kinga yake.

Mkutano wa leo wa wamama wamejipamba kwa barakoa. Tanzania imegeuka kuwa kichekesho cha dunia. Kutoka kuwa jasiri wa kupigiwa mfano duniani kuhusu corona mpaka kufikia taifa la world wide laughing stock.
 
Mambo ya Kiroho haya. Ndui ilikuwepo miaka maelfu ulisikia wapi Mkristu yeyote akisema chanjo ya ndui ni chapa ya mpinga Kristo. Hujui kuwa ili usafiri safari za kimataifa lazima uwe na cheti cha chanjo ya homa ya manjano? Ulishasikia chanjo hiyo ikitwa ni chapa ya mpingi Kristo. Kwa nini corona?
Kwani ukiwa hujachanjwa "homa ua manjano" ukisafiri inakuwaje mkuu?
 
Waisrael waliomzaa Yesu Kristo wamechanja nchi nzima. Mtanzania aliyeletewa dini ndani ya mtumbwi anaikejeli chanjo.

Mjinga wewe hao hao walimkataa na kumsulubisha Bwana Yesu. Waambie Tanzania ya sasa wamempata mfuasi wao kindaki ndaki wa kueneza upinga Kristu waje wasaidiane naye
 
Chapa ni alama ya kiroho zaidi na sio kimwili

Soma ufunuo hiyo ni namba ya kibinadamu na kwa akili ya kibinadamu mwenye maarifa na afumbue hilo fumbo. Kaenda Kenya karudi na ushauri wa kutuchanja. Kazi iko na ndio imeanza.

Wewe unasema wachanjwe watu wa vyombo vya ulilinzi na usalama halafu unarudi kusema ni hiari. Danganyeni wajinga huko jeshini hamna uhiari kwenye amri ya amiri jeshi mkuu ni kutii tu.
 
Soma ufunuo hiyo ni namba ya kibinadamu na kwa akili ya kibinadamu mwenye maarifa na afumbue hilo fumbo. Kaenda Kenya karudi na ushauri wa kutuchanja. Kazi iko na ndio imeanza...
Je ni corona pekee ndo uchanjwa, vipi ndui, pepopunda na chanjo zingine utoto ni chapa ya nn.
 
Mjinga wewe hao hao walimkataa na kumsulubisha Bwana Yesu. Waambie Tanzania ya sasa wamempata mfuasi wao kindaki ndaki wa kueneza upinga Kristu waje wasaidiane naye
Ukristo wetu wa kuletewa na mitumbwi tunauona ni bora na kujifanya wakristo kuliko wenye dini zao.
 
Kutoka kumtegemea Mungu wa Mbinguni mpaka kutegemea barakoa na chanjo, ndipo alipotufikisha kama Taifa. Hachanjwi mtu hapa! Ndio.!!

Kama ambavyo tulifanikiwa kuhepa sharti la chanjo ya Homa ya Manjano mbinu hizi hizi zitatumika kwenye corona. Mawakala wampinga Kristo kazini.
Unaongelea Mungu wa mbinguni ni wewe mwenye imani hiyo. Kumbuka Tanzania ina wapagani, ma Budha, wa Hindu ambao imani yao haiko kwa Mungu tinayemuamini mimi na wewe.

Acha sayansi iendeshe maisha
 
Amani iwe nanyi,

Kuna kauli mbalimbali ambazo zilitolewa na rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan zilizopelekea Watanzania kuwa wamoja zaidi na kuifanya nchi kutulia mara baada ya msiba mzito wa kuondokewa na rais Magufuli
Kutumia kwa nchi, watu wanasikilizia matokeo ya kauli zake. Moja inayo toa matumaini ni msisitizo kwa wateule wake kutenda kwa kutumia sheria. Ikumbukwe enzi za Magufuli utawala wa kisheria uliwekwa kandi, matokeo watu wakaishi kwa hofu.
 
Safi,kuna moja anamiliki genge la majambazi huko kaskazini..naona ameanza naye
 
Timu watekaji imesinyaa dadadeq !! kazi hamna payroll imefungwa , njaa kali... kweli Dunia duara.
eti walikuwa wana jiita kikosi maalumu!! kwembe majambazi na wabakaji!!
 
Back
Top Bottom