Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 7,207
- 17,674
- Thread starter
- #21
Akina nani hao wasiogusika?Kumbe nae ni miongoni mwao?
Mbona hajasema na matendo ya mama yanazidi kufanya nchi itulie kwa sheria kufuata mkondo wake... maana wale waliokuwa juu ya sheria na hawakugusika... wakijikweza na kuumiza raia wasio na hatia msumeno sasa unaanza kukata...