Kauli, matamko ya Rais Samia yaliyoleta umoja na utulivu wa nchi

Kauli, matamko ya Rais Samia yaliyoleta umoja na utulivu wa nchi

Huyo aliye waaminisha kumtegemea mungu yeye yuko wapi na mategemeo yake!? Za kuambiwa changanya na zako.

Mcha Mungu yeyote huangalia na kutamani maisha ya umilele. Ndio maana alikuwa akisema siku mmoja na mimi nipewe angalau kacheo huko mbinguni nitumike na malaika. Mjinga tu ndiye abaye wekeza jwenye maisha haya ya kupita na yenye mwisho sana sana kwenda chooni ndio fahari yake inayo wahangaisha wengi.
 
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.

Ccm itaendelea kupeta.

Chadema wote wanashangilia ccm sasa hivi
 
Mavi yanaangukaga ovyo ovyo. Sasa wewe uko kwa Mwendazake au vipi? Huna jinsi lazima uanguke ovyo ovyo
 
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.

Ccm itaendelea kupeta.

Chadema wote wanashangilia ccm sasa hivi
Chadema wanampenda mama ila cha kushangaza MATAGA hawamuelewi mama. Wao bado wanaamini jamaa atafufuka
 
Kutoka kumtegemea Mungu wa Mbinguni mpaka kutegemea barakoa na chanjo, ndipo alipotufikisha kama Taifa. Hachanjwi mtu hapa! Ndio.!!

Kama ambavyo tulifanikiwa kuhepa sharti la chanjo ya Homa ya Manjano mbinu hizi hizi zitatumika kwenye corona. Mawakala wampinga Kristo kazini.
Mpuzi Wacha kuandika uharoo
 
Mataga mbna mnateseka hv?????
Amani iwe nanyi,

Kuna kauli mbalimbali ambazo zilitolewa na rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan zilizopelekea Watanzania kuwa wamoja zaidi na kuifanya nchi kutulia mara baada ya msiba mzito wa kuondokewa na rais Magufuli.

Binafsi ninazo kauli mbili ,kama na wewe unazo weka hapa.

1. Mimi na Magufuli ni kitu kimoja

Ikumbukwe mara baada ya kufariki rais Magufuli liliibuka kundi likiongozwa na Tundu Lissu na Lema likawa linashangilia kifo hicho, hali hiyo ilienea hadi kwa baadhi ya wabunge kama Nape na Makamba, badala ya kujadili bajeti wakawa wanajadili nani ni zaidi kati ya Magufuli na Samia!

Hali hiyo iliwakera sana wazalendo wa nchi yetu na rasmi likaibuka kundi jingine lililobatizwa jina la walinda legacy ya Magufuli, moja ya watu wa kundi hili waliojitokeza hadharani kukemea ni mbunge Lusinde, pia Lazaro Nyalandu aliyekuwa kada wa Chadema alikemea hadharani na kutangaza kuachana na Chadema kwa kitendo chao cha kumtukana alipohudhuria msiba Chato.

Katikati ya mvurugano huo aliibuka rais Samia na kuwachana live Wabunge na Chadema kwa ujumla kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja na serikali yake ya awamu ya sita haijatokana na uchaguzi mbali imetokana yeye Samia kuaminiwa na hayati Magufuli na kufanywa kuwa makamu wa rais.

Kauli hii ya Samia ililifanya kundi la walinda Legacy kuibuka kidedea dhidi ya kundi la washangilia kifo hivyo nchi kutulia.

2. Wala rushwa, wazembe majambazi na mafisadi kuendelea kubanwa
Rais Samia alitangaza hadharani kwamba katika masuala ya rushwa atasimama imara na akamtumbua mkurugenzi wa bandari na kuagiza Takukuru wafanye uchunguzi BOT na wizara ya fedha. Pia kuwajibisha wote waliojaribu kuchezea mifumo ya Tanesco, TRA na bandari.

Hatua hizi zilifanya nchi kutulia kwa sababu watanzania wengi waliona rasilimali zao bado ziko salama kama ilivyokuwa wakati wa awamu ya tano chini ya hayati Magufuli.
 
Chadema wanampenda mama ila cha kushangaza MATAGA hawamuelewi mama. Wao bado wanaamini jamaa atafufuka
MATAGA walikuambia hawamtaki mama?
Hiyo ni mbinu ya kuwaingiza mkenge nyumbu wote mhamie ccm alafu mwishoni mfyatuliwe wote
 
Mavi yanaangukaga ovyo ovyo. Sasa wewe uko kwa Mwendazake au vipi? Huna jinsi lazima uanguke ovyo ovyo
Ni mwendo wa kusifu na kuabudu ccm tu sasa hivi mmesahau chadema yenu
 
Amani iwe nanyi,

Kuna kauli mbalimbali ambazo zilitolewa na rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan zilizopelekea Watanzania kuwa wamoja zaidi na kuifanya nchi kutulia mara baada ya msiba mzito wa kuondokewa na rais Magufuli.

Binafsi ninazo kauli mbili ,kama na wewe unazo weka hapa.

1. Mimi na Magufuli ni kitu kimoja
Ikumbukwe mara baada ya kufariki rais Magufuli liliibuka kundi likiongozwa na Tundu Lissu na Lema likawa linashangilia kifo hicho, hali hiyo ilienea hadi kwa baadhi ya wabunge kama Nape na Makamba, badala ya kujadili bajeti wakawa wanajadili nani ni zaidi kati ya Magufuli na Samia!

Hali hiyo iliwakera sana wazalendo wa nchi yetu na rasmi likaibuka kundi jingine lililobatizwa jina la walinda legacy ya Magufuli, moja ya watu wa kundi hili waliojitokeza hadharani kukemea ni mbunge Lusinde, pia Lazaro Nyalandu aliyekuwa kada wa Chadema alikemea hadharani na kutangaza kuachana na Chadema kwa kitendo chao cha kumtukana alipohudhuria msiba Chato.

Katikati ya mvurugano huo aliibuka rais Samia na kuwachana live Wabunge na Chadema kwa ujumla kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja na serikali yake ya awamu ya sita haijatokana na uchaguzi mbali imetokana yeye Samia kuaminiwa na hayati Magufuli na kufanywa kuwa makamu wa rais.

Kauli hii ya Samia ililifanya kundi la walinda Legacy kuibuka kidedea dhidi ya kundi la washangilia kifo hivyo nchi kutulia.

2. Wala rushwa, wazembe majambazi na mafisadi kuendelea kubanwa
Rais Samia alitangaza hadharani kwamba katika masuala ya rushwa atasimama imara na akamtumbua mkurugenzi wa bandari na kuagiza Takukuru wafanye uchunguzi BOT na wizara ya fedha. Pia kuwajibisha wote waliojaribu kuchezea mifumo ya Tanesco, TRA na bandari.

Hatua hizi zilifanya nchi kutulia kwa sababu watanzania wengi waliona rasilimali zao bado ziko salama kama ilivyokuwa wakati wa awamu ya tano chini ya hayati Magufuli.
Kauli siku zote huwa ni kauli tu za kusikiliza na kusahau au kupuuza kabisa na na lolote lisiharibike wala kutengemaa maana huweza kutamkwa na mtu yeyote. Mwendazake ni amekwenda zake hatarudi tena kwa hiyo hawezi kuwa kitu kimoja na aliye hai maana haiwezekani hata walio hai wawili wanaoishi pamoja wakawa kitu kimoja hata wakiwa wamezaliwa tumbo moja. Make na mume
 
Kauli siku zote huwa ni kauli tu za kusikiliza na kusahau au kupuuza kabisa na na lolote lisiharibike wala kutengemaa maana huweza kutamkwa na mtu yeyote. Mwendazake ni amekwenda zake hatarudi tena kwa hiyo hawezi kuwa kitu kimoja na aliye hai maana haiwezekani hata walio hai wawili wanaoishi pamoja wakawa kitu kimoja hata wakiwa wamezaliwa tumbo moja. Make na mume
Kazi inaendelea kwa kasi
 
Watu kama wewe Mungu huyo huyo huwa anawapa mapigo mazito sana.

Ayubu msome vizuri kwenye Biblia. Mungu anajivunia Mtu wangu Ayubu. Wengine wa aina yako majini na shetani anajivunia, wakala wake. Kazi ni kufanya miamala ya shetani. Leo mlingotini, kesho gamboshi, keshokutwa zenjibari mtondogoo ujiji.
 
Lumumba FC mataga football team check namba imefutika hakuna matumaini tena ya payroll.Hadi zimewarudi toka likizo Chato
Amani iwe nanyi,

Kuna kauli mbalimbali ambazo zilitolewa na rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan zilizopelekea Watanzania kuwa wamoja zaidi na kuifanya nchi kutulia mara baada ya msiba mzito wa kuondokewa na rais Magufuli.

Binafsi ninazo kauli mbili ,kama na wewe unazo weka hapa.

1. Mimi na Magufuli ni kitu kimoja

Ikumbukwe mara baada ya kufariki rais Magufuli liliibuka kundi likiongozwa na Tundu Lissu na Lema likawa linashangilia kifo hicho, hali hiyo ilienea hadi kwa baadhi ya wabunge kama Nape na Makamba, badala ya kujadili bajeti wakawa wanajadili nani ni zaidi kati ya Magufuli na Samia!

Hali hiyo iliwakera sana wazalendo wa nchi yetu na rasmi likaibuka kundi jingine lililobatizwa jina la walinda legacy ya Magufuli, moja ya watu wa kundi hili waliojitokeza hadharani kukemea ni mbunge Lusinde, pia Lazaro Nyalandu aliyekuwa kada wa Chadema alikemea hadharani na kutangaza kuachana na Chadema kwa kitendo chao cha kumtukana alipohudhuria msiba Chato.

Katikati ya mvurugano huo aliibuka rais Samia na kuwachana live Wabunge na Chadema kwa ujumla kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja na serikali yake ya awamu ya sita haijatokana na uchaguzi mbali imetokana yeye Samia kuaminiwa na hayati Magufuli na kufanywa kuwa makamu wa rais.

Kauli hii ya Samia ililifanya kundi la walinda Legacy kuibuka kidedea dhidi ya kundi la washangilia kifo hivyo nchi kutulia.

2. Wala rushwa, wazembe majambazi na mafisadi kuendelea kubanwa
Rais Samia alitangaza hadharani kwamba katika masuala ya rushwa atasimama imara na akamtumbua mkurugenzi wa bandari na kuagiza Takukuru wafanye uchunguzi BOT na wizara ya fedha. Pia kuwajibisha wote waliojaribu kuchezea mifumo ya Tanesco, TRA na bandari.

Hatua hizi zilifanya nchi kutulia kwa sababu watanzania wengi waliona rasilimali zao bado ziko salama kama ilivyokuwa wakati wa awamu ya tano chini ya hayati Magufuli.
Rvwv
 
Amani iwe nanyi,

Kuna kauli mbalimbali ambazo zilitolewa na rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan zilizopelekea Watanzania kuwa wamoja zaidi na kuifanya nchi kutulia mara baada ya msiba mzito wa kuondokewa na rais Magufuli.

Binafsi ninazo kauli mbili ,kama na wewe unazo weka hapa.

1. Mimi na Magufuli ni kitu kimoja

Ikumbukwe mara baada ya kufariki rais Magufuli liliibuka kundi likiongozwa na Tundu Lissu na Lema likawa linashangilia kifo hicho, hali hiyo ilienea hadi kwa baadhi ya wabunge kama Nape na Makamba, badala ya kujadili bajeti wakawa wanajadili nani ni zaidi kati ya Magufuli na Samia!

Hali hiyo iliwakera sana wazalendo wa nchi yetu na rasmi likaibuka kundi jingine lililobatizwa jina la walinda legacy ya Magufuli, moja ya watu wa kundi hili waliojitokeza hadharani kukemea ni mbunge Lusinde, pia Lazaro Nyalandu aliyekuwa kada wa Chadema alikemea hadharani na kutangaza kuachana na Chadema kwa kitendo chao cha kumtukana alipohudhuria msiba Chato.

Katikati ya mvurugano huo aliibuka rais Samia na kuwachana live Wabunge na Chadema kwa ujumla kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja na serikali yake ya awamu ya sita haijatokana na uchaguzi mbali imetokana yeye Samia kuaminiwa na hayati Magufuli na kufanywa kuwa makamu wa rais.

Kauli hii ya Samia ililifanya kundi la walinda Legacy kuibuka kidedea dhidi ya kundi la washangilia kifo hivyo nchi kutulia.

2. Wala rushwa, wazembe majambazi na mafisadi kuendelea kubanwa
Rais Samia alitangaza hadharani kwamba katika masuala ya rushwa atasimama imara na akamtumbua mkurugenzi wa bandari na kuagiza Takukuru wafanye uchunguzi BOT na wizara ya fedha. Pia kuwajibisha wote waliojaribu kuchezea mifumo ya Tanesco, TRA na bandari.

Hatua hizi zilifanya nchi kutulia kwa sababu watanzania wengi waliona rasilimali zao bado ziko salama kama ilivyokuwa wakati wa awamu ya tano chini ya hayati Magufuli.
Gt
 
Back
Top Bottom