Kauli, matamko ya Rais Samia yaliyoleta umoja na utulivu wa nchi

Kauli, matamko ya Rais Samia yaliyoleta umoja na utulivu wa nchi

muombe Mungu sana akupe nafsi ya kuridhika na kipato chako!

kuishi bila maadui wa kujitengenezea ni furaha zaidi ya mali!

jua liwake mvua inyeshe maadui wa kujitengenezea wata pambana na wewe tu!

Sio watu wote husamehe kudhulumiwa na kunyanyaswa!

Ndugu yako sabaya hataishi maisha ya raha milele kwa matezo aliyo fanyia watu!

huenda kuna ndugu zake wadamu pia alio wafanyia uhuni na unyama! Amuombe Mungu wake wa Sabato amuokowe ila sio binaadamu!!
 
Je ni corona pekee ndo uchanjwa, vipi ndui, pepopunda na chanjo zingine utoto ni chapa ya nn.

Umeahau na mengine homa ya ini, surua, kifadulo nk. Jiulize kwa nini coroba ndio iitwe chapa ya mpinga Kristo. Mwambieni Mama ajifunze kitu kwa Macron. Machapwa kibao na libarakoa lake. Mungu kamuonesha akiamua hata kupigwa kelebu hamna anayeza kuzuia. Nini corona na mibarakoa yenu Mungu akianua. Anayo Baraka na Heri yeyote aliye kata shauri kumtegemea Mungu wa Mbinguni.
 
Ukristo wetu wa kuletewa na mitumbwi tunauona ni bora na kujifanya wakristo kuliko wenye dini zao.

Ukristo ni Dini ya Mungu wa Mbinguni aliyekuja akishi kama mwadamu latika kati ya wanadamu ili awakomboe kwa kuimwaga damu yake ya
thamani kuu kama kafara na kuhitimisha kafara za damu za vitu vingine vilevyotumika kutoa kafara kama sdhemu ya ibada hapo kabla.

Shetani na wafuasi wske bado wanatoa kafara za vitu. Yaani ndege, wanyana kama mbusi na wanadamu.
 
Unaongelea Mungu wa mbinguni ni wewe mwenye imani hiyo. Kumbuka Tanzania ina wapagani, ma Budha, wa Hindu ambao imani yao haiko kwa Mungu tinayemuamini mimi na wewe.

Acha sayansi iendeshe maisha

Acha Mungu wa Mbinguni na Ukuu wake aje atuoneshe sayansi haiwezi kuchukua nafasi yake kamwe. Ni Mungu mwenye wivu na atashughulika na wanao taka kuwayumbisha watu wake walio simama na kupaza sauti ya kupiga mbiu ulimwengu mzima ukasikia kwamba katika corona wameamua kumtegemea yeye.

Sasa huyu anaye fikiria atamuabisha Mungu wa Mbinguni kuwa hana uwezo juu ya corona ila barakoa na chanjo ndizo zenye suluhisho , basi na tusubirini, ataaibika yeye bigtime ni jambo la muda tu.
 
bora umepigwa ban,huna akili[emoji38][emoji38].
 
Chanjo ni hiari sio lzm, corona ilikuja kuchukua watu wake ishaondoka na ondoa hofu chapa kazi
umasikini wa baadhi yenu unasababishwa na laana ya unafiki,wala sio kwamba hamfanyi kazi.
 
Acha Mungu wa Mbinguni na Ukuu wake aje atuoneshe sayansi haiwezi kuchukua nafasi yake kamwe. Ni Mungu mwenye wivu na atashughulika na wanao taka kuwayumbisha watu wake walio simama na kupaza sauti ya kupiga mbiu ulimwengu mzima ukasikia kwamba katika corona wameamua kumtegemea yeye.

Sasa huyu anaye fikiria atamuabisha Mungu wa Mbinguni kuwa hana uwezo juu ya corona ila barakoa na chanjo ndizo zenye suluhisho , basi na tusubirini, ataaibika yeye bigtime ni jambo la muda tu.
Hata Israel ambako Mimi na wewe tunaamini ndiyo nchi ambayo Abraham baba wa Isack na babu wa Yakobo aliahidiwa na Mungu, wanavaa barakoa kwa sababu wanajuwa corona ipo. Na Israel wamekwisha chanja kwa 100%. Ni ajabu Watanzania mnajifanya mnamjua Yesu kuliko kule alikozaliwa na mnako hiji.

Achaeni upumbavu mtakufa bure kwa kutichukua tahadhari kama alivyokufa DIKTETA Magufuli
 
Hata Israel ambako Mimi na wewe tunaamini ndiyo nchi ambayo Abraham baba wa Isack na babu wa Yakobo aliahidiwa na Mungu, wanavaa barakoa kwa sababu wanajuwa corona ipo. Na Israel wamekwisha chanja kwa 100%. Ni ajabu Watanzania mnajifanya mnamjua Yesu kuliko kule alikozaliwa na mnako hiji.

Achaeni upumbavu mtakufa bure kwa kutichukua tahadhari kama alivyokufa DIKTETA Magufuli
Hamna nchi iliyochanja kwa 100% acha uongo
 
Ile ya 7ya ,, kakuru,, slowslow na task force zimeleta utulivu wa ukweli.
 
Nevertheless, By June 1st walikuwa wame vaccinate 80% ya adult population. Kwa hiyo nikafanya arithmetic interpolation nikahisi itakuwa almost over. Hata hivyo 80%+ siyo kitoto
Israel taifa zima wako 8milion lakini wamechanja 10% ya population mpaka sasa.
 
Amani iwe nanyi,

Kuna kauli mbalimbali ambazo zilitolewa na rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan zilizopelekea Watanzania kuwa wamoja zaidi na kuifanya nchi kutulia mara baada ya msiba mzito wa kuondokewa na rais Magufuli.

Binafsi ninazo kauli mbili ,kama na wewe unazo weka hapa.

1. Mimi na Magufuli ni kitu kimoja
Ikumbukwe mara baada ya kufariki rais Magufuli liliibuka kundi likiongozwa na Tundu Lissu na Lema likawa linashangilia kifo hicho, hali hiyo ilienea hadi kwa baadhi ya wabunge kama Nape na Makamba, badala ya kujadili bajeti wakawa wanajadili nani ni zaidi kati ya Magufuli na Samia!

Hali hiyo iliwakera sana wazalendo wa nchi yetu na rasmi likaibuka kundi jingine lililobatizwa jina la walinda legacy ya Magufuli, moja ya watu wa kundi hili waliojitokeza hadharani kukemea ni mbunge Lusinde, pia Lazaro Nyalandu aliyekuwa kada wa Chadema alikemea hadharani na kutangaza kuachana na Chadema kwa kitendo chao cha kumtukana alipohudhuria msiba Chato.

Katikati ya mvurugano huo aliibuka rais Samia na kuwachana live Wabunge na Chadema kwa ujumla kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja na serikali yake ya awamu ya sita haijatokana na uchaguzi mbali imetokana yeye Samia kuaminiwa na hayati Magufuli na kufanywa kuwa makamu wa rais.

Kauli hii ya Samia ililifanya kundi la walinda Legacy kuibuka kidedea dhidi ya kundi la washangilia kifo hivyo nchi kutulia.

2. Wala rushwa, wazembe majambazi na mafisadi kuendelea kubanwa
Rais Samia alitangaza hadharani kwamba katika masuala ya rushwa atasimama imara na akamtumbua mkurugenzi wa bandari na kuagiza Takukuru wafanye uchunguzi BOT na wizara ya fedha. Pia kuwajibisha wote waliojaribu kuchezea mifumo ya Tanesco, TRA na bandari.

Hatua hizi zilifanya nchi kutulia kwa sababu watanzania wengi waliona rasilimali zao bado ziko salama kama ilivyokuwa wakati wa awamu ya tano
MATAGA mnaanza kujifariji? Mwendazake ndo ntolee, harudi tena. Anapambana na akina Akwilina huko
chini ya hayati Magufuli.
 
Amani iwe nanyi,

Kuna kauli mbalimbali ambazo zilitolewa na rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan zilizopelekea Watanzania kuwa wamoja zaidi na kuifanya nchi kutulia mara baada ya msiba mzito wa kuondokewa na rais Magufuli.

Binafsi ninazo kauli mbili ,kama na wewe unazo weka hapa.

1. Mimi na Magufuli ni kitu kimoja
Ikumbukwe mara baada ya kufariki rais Magufuli liliibuka kundi likiongozwa na Tundu Lissu na Lema likawa linashangilia kifo hicho, hali hiyo ilienea hadi kwa baadhi ya wabunge kama Nape na Makamba, badala ya kujadili bajeti wakawa wanajadili nani ni zaidi kati ya Magufuli na Samia!

Hali hiyo iliwakera sana wazalendo wa nchi yetu na rasmi likaibuka kundi jingine lililobatizwa jina la walinda legacy ya Magufuli, moja ya watu wa kundi hili waliojitokeza hadharani kukemea ni mbunge Lusinde, pia Lazaro Nyalandu aliyekuwa kada wa Chadema alikemea hadharani na kutangaza kuachana na Chadema kwa kitendo chao cha kumtukana alipohudhuria msiba Chato.

Katikati ya mvurugano huo aliibuka rais Samia na kuwachana live Wabunge na Chadema kwa ujumla kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja na serikali yake ya awamu ya sita haijatokana na uchaguzi mbali imetokana yeye Samia kuaminiwa na hayati Magufuli na kufanywa kuwa makamu wa rais.

Kauli hii ya Samia ililifanya kundi la walinda Legacy kuibuka kidedea dhidi ya kundi la washangilia kifo hivyo nchi kutulia.

2. Wala rushwa, wazembe majambazi na mafisadi kuendelea kubanwa
Rais Samia alitangaza hadharani kwamba katika masuala ya rushwa atasimama imara na akamtumbua mkurugenzi wa bandari na kuagiza Takukuru wafanye uchunguzi BOT na wizara ya fedha. Pia kuwajibisha wote waliojaribu kuchezea mifumo ya Tanesco, TRA na bandari.

Hatua hizi zilifanya nchi kutulia kwa sababu watanzania wengi waliona rasilimali zao bado ziko salama kama ilivyokuwa wakati wa awamu ya tano chini ya hayati Magufuli.
20210609_163901.jpg
 
Umeahau na mengine homa ya ini, surua, kifadulo nk. Jiulize kwa nini coroba ndio iitwe chapa ya mpinga Kristo. Mwambieni Mama ajifunze kitu kwa Macron. Machapwa kibao na libarakoa lake. Mungu kamuonesha akiamua hata kupigwa kelebu hamna anayeza kuzuia. Nini corona na mibarakoa yenu Mungu akianua. Anayo Baraka na Heri yeyote aliye kata shauri kumtegemea Mungu wa Mbinguni.
Mbona unafunga mlango kuogopa wezi, why usiache mlango wazi Mungu yupo atalinda
 
Kutoka kumtegemea Mungu wa Mbinguni mpaka kutegemea barakoa na chanjo, ndipo alipotufikisha kama Taifa. Hachanjwi mtu hapa! Ndio.!!

Kama ambavyo tulifanikiwa kuhepa sharti la chanjo ya Homa ya Manjano mbinu hizi hizi zitatumika kwenye corona. Mawakala wampinga Kristo kazini.
Huyo aliye waaminisha kumtegemea mungu yeye yuko wapi na mategemeo yake!? Za kuambiwa changanya na zako.
 
Amani iwe nanyi,

Kuna kauli mbalimbali ambazo zilitolewa na rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan zilizopelekea Watanzania kuwa wamoja zaidi na kuifanya nchi kutulia mara baada ya msiba mzito wa kuondokewa na rais Magufuli.

Binafsi ninazo kauli mbili ,kama na wewe unazo weka hapa.

1. Mimi na Magufuli ni kitu kimoja

Ikumbukwe mara baada ya kufariki rais Magufuli liliibuka kundi likiongozwa na Tundu Lissu na Lema likawa linashangilia kifo hicho, hali hiyo ilienea hadi kwa baadhi ya wabunge kama Nape na Makamba, badala ya kujadili bajeti wakawa wanajadili nani ni zaidi kati ya Magufuli na Samia!

Hali hiyo iliwakera sana wazalendo wa nchi yetu na rasmi likaibuka kundi jingine lililobatizwa jina la walinda legacy ya Magufuli, moja ya watu wa kundi hili waliojitokeza hadharani kukemea ni mbunge Lusinde, pia Lazaro Nyalandu aliyekuwa kada wa Chadema alikemea hadharani na kutangaza kuachana na Chadema kwa kitendo chao cha kumtukana alipohudhuria msiba Chato.

Katikati ya mvurugano huo aliibuka rais Samia na kuwachana live Wabunge na Chadema kwa ujumla kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja na serikali yake ya awamu ya sita haijatokana na uchaguzi mbali imetokana yeye Samia kuaminiwa na hayati Magufuli na kufanywa kuwa makamu wa rais.

Kauli hii ya Samia ililifanya kundi la walinda Legacy kuibuka kidedea dhidi ya kundi la washangilia kifo hivyo nchi kutulia.

2. Wala rushwa, wazembe majambazi na mafisadi kuendelea kubanwa
Rais Samia alitangaza hadharani kwamba katika masuala ya rushwa atasimama imara na akamtumbua mkurugenzi wa bandari na kuagiza Takukuru wafanye uchunguzi BOT na wizara ya fedha. Pia kuwajibisha wote waliojaribu kuchezea mifumo ya Tanesco, TRA na bandari.

Hatua hizi zilifanya nchi kutulia kwa sababu watanzania wengi waliona rasilimali zao bado ziko salama kama ilivyokuwa wakati wa awamu ya tano chini ya hayati Magufuli.
Mama Samia ni zawadi toka kwa Mungu
 
Hakuna cha tahadhari hapa wanatulazimiashia kutupiga chapa ya mpinga Kristo sisi Wakristo ili tuishie jehanamu kama wengine.
Bwanako mwendazake mbona alikuwa ni "mpinga Kristo" na hukuwahi kumpinga!!???
 
Hata Israel ambako Mimi na wewe tunaamini ndiyo nchi ambayo Abraham baba wa Isack na babu wa Yakobo aliahidiwa na Mungu, wanavaa barakoa kwa sababu wanajuwa corona ipo. Na Israel wamekwisha chanja kwa 100%. Ni ajabu Watanzania mnajifanya mnamjua Yesu kuliko kule alikozaliwa na mnako hiji.

Achaeni upumbavu mtakufa bure kwa kutichukua tahadhari kama alivyokufa DIKTETA Magufuli

Upumbafu ni kufikiria barakoa na chanjo zitamtehemeza mwanadami na kumpa ulinzi kuliko ule wa Mungu wa Mbinguni. Kila mtu hawezi kufanywa puppet wa msoga.
 
Back
Top Bottom