Kauli, matamko ya Rais Samia yaliyoleta umoja na utulivu wa nchi

muombe Mungu sana akupe nafsi ya kuridhika na kipato chako!

kuishi bila maadui wa kujitengenezea ni furaha zaidi ya mali!

jua liwake mvua inyeshe maadui wa kujitengenezea wata pambana na wewe tu!

Sio watu wote husamehe kudhulumiwa na kunyanyaswa!

Ndugu yako sabaya hataishi maisha ya raha milele kwa matezo aliyo fanyia watu!

huenda kuna ndugu zake wadamu pia alio wafanyia uhuni na unyama! Amuombe Mungu wake wa Sabato amuokowe ila sio binaadamu!!
 
Je ni corona pekee ndo uchanjwa, vipi ndui, pepopunda na chanjo zingine utoto ni chapa ya nn.

Umeahau na mengine homa ya ini, surua, kifadulo nk. Jiulize kwa nini coroba ndio iitwe chapa ya mpinga Kristo. Mwambieni Mama ajifunze kitu kwa Macron. Machapwa kibao na libarakoa lake. Mungu kamuonesha akiamua hata kupigwa kelebu hamna anayeza kuzuia. Nini corona na mibarakoa yenu Mungu akianua. Anayo Baraka na Heri yeyote aliye kata shauri kumtegemea Mungu wa Mbinguni.
 
Ukristo wetu wa kuletewa na mitumbwi tunauona ni bora na kujifanya wakristo kuliko wenye dini zao.

Ukristo ni Dini ya Mungu wa Mbinguni aliyekuja akishi kama mwadamu latika kati ya wanadamu ili awakomboe kwa kuimwaga damu yake ya
thamani kuu kama kafara na kuhitimisha kafara za damu za vitu vingine vilevyotumika kutoa kafara kama sdhemu ya ibada hapo kabla.

Shetani na wafuasi wske bado wanatoa kafara za vitu. Yaani ndege, wanyana kama mbusi na wanadamu.
 
Unaongelea Mungu wa mbinguni ni wewe mwenye imani hiyo. Kumbuka Tanzania ina wapagani, ma Budha, wa Hindu ambao imani yao haiko kwa Mungu tinayemuamini mimi na wewe.

Acha sayansi iendeshe maisha

Acha Mungu wa Mbinguni na Ukuu wake aje atuoneshe sayansi haiwezi kuchukua nafasi yake kamwe. Ni Mungu mwenye wivu na atashughulika na wanao taka kuwayumbisha watu wake walio simama na kupaza sauti ya kupiga mbiu ulimwengu mzima ukasikia kwamba katika corona wameamua kumtegemea yeye.

Sasa huyu anaye fikiria atamuabisha Mungu wa Mbinguni kuwa hana uwezo juu ya corona ila barakoa na chanjo ndizo zenye suluhisho , basi na tusubirini, ataaibika yeye bigtime ni jambo la muda tu.
 
bora umepigwa ban,huna akili[emoji38][emoji38].
 
Chanjo ni hiari sio lzm, corona ilikuja kuchukua watu wake ishaondoka na ondoa hofu chapa kazi
umasikini wa baadhi yenu unasababishwa na laana ya unafiki,wala sio kwamba hamfanyi kazi.
 
Hata Israel ambako Mimi na wewe tunaamini ndiyo nchi ambayo Abraham baba wa Isack na babu wa Yakobo aliahidiwa na Mungu, wanavaa barakoa kwa sababu wanajuwa corona ipo. Na Israel wamekwisha chanja kwa 100%. Ni ajabu Watanzania mnajifanya mnamjua Yesu kuliko kule alikozaliwa na mnako hiji.

Achaeni upumbavu mtakufa bure kwa kutichukua tahadhari kama alivyokufa DIKTETA Magufuli
 
Hamna nchi iliyochanja kwa 100% acha uongo
 
Hamna nchi iliyochanja kwa 100% acha uongo
Nevertheless, By June 1st walikuwa wame vaccinate 80% ya adult population. Kwa hiyo nikafanya arithmetic interpolation nikahisi itakuwa almost over. Hata hivyo 80%+ siyo kitoto
 
Ile ya 7ya ,, kakuru,, slowslow na task force zimeleta utulivu wa ukweli.
 
Nevertheless, By June 1st walikuwa wame vaccinate 80% ya adult population. Kwa hiyo nikafanya arithmetic interpolation nikahisi itakuwa almost over. Hata hivyo 80%+ siyo kitoto
Israel taifa zima wako 8milion lakini wamechanja 10% ya population mpaka sasa.
 
MATAGA mnaanza kujifariji? Mwendazake ndo ntolee, harudi tena. Anapambana na akina Akwilina huko
chini ya hayati Magufuli.
 
 
Mbona unafunga mlango kuogopa wezi, why usiache mlango wazi Mungu yupo atalinda
 
Huyo aliye waaminisha kumtegemea mungu yeye yuko wapi na mategemeo yake!? Za kuambiwa changanya na zako.
 
Mama Samia ni zawadi toka kwa Mungu
 
Hakuna cha tahadhari hapa wanatulazimiashia kutupiga chapa ya mpinga Kristo sisi Wakristo ili tuishie jehanamu kama wengine.
Bwanako mwendazake mbona alikuwa ni "mpinga Kristo" na hukuwahi kumpinga!!???
 

Upumbafu ni kufikiria barakoa na chanjo zitamtehemeza mwanadami na kumpa ulinzi kuliko ule wa Mungu wa Mbinguni. Kila mtu hawezi kufanywa puppet wa msoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…