Kauli, matamko ya Rais Samia yaliyoleta umoja na utulivu wa nchi

Huyo aliye waaminisha kumtegemea mungu yeye yuko wapi na mategemeo yake!? Za kuambiwa changanya na zako.

Mcha Mungu yeyote huangalia na kutamani maisha ya umilele. Ndio maana alikuwa akisema siku mmoja na mimi nipewe angalau kacheo huko mbinguni nitumike na malaika. Mjinga tu ndiye abaye wekeza jwenye maisha haya ya kupita na yenye mwisho sana sana kwenda chooni ndio fahari yake inayo wahangaisha wengi.
 
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.

Ccm itaendelea kupeta.

Chadema wote wanashangilia ccm sasa hivi
 
Mavi yanaangukaga ovyo ovyo. Sasa wewe uko kwa Mwendazake au vipi? Huna jinsi lazima uanguke ovyo ovyo
 
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.

Ccm itaendelea kupeta.

Chadema wote wanashangilia ccm sasa hivi
Chadema wanampenda mama ila cha kushangaza MATAGA hawamuelewi mama. Wao bado wanaamini jamaa atafufuka
 
Mpuzi Wacha kuandika uharoo
 
Mataga mbna mnateseka hv?????
 
Chadema wanampenda mama ila cha kushangaza MATAGA hawamuelewi mama. Wao bado wanaamini jamaa atafufuka
MATAGA walikuambia hawamtaki mama?
Hiyo ni mbinu ya kuwaingiza mkenge nyumbu wote mhamie ccm alafu mwishoni mfyatuliwe wote
 
Mavi yanaangukaga ovyo ovyo. Sasa wewe uko kwa Mwendazake au vipi? Huna jinsi lazima uanguke ovyo ovyo
Ni mwendo wa kusifu na kuabudu ccm tu sasa hivi mmesahau chadema yenu
 
Kauli siku zote huwa ni kauli tu za kusikiliza na kusahau au kupuuza kabisa na na lolote lisiharibike wala kutengemaa maana huweza kutamkwa na mtu yeyote. Mwendazake ni amekwenda zake hatarudi tena kwa hiyo hawezi kuwa kitu kimoja na aliye hai maana haiwezekani hata walio hai wawili wanaoishi pamoja wakawa kitu kimoja hata wakiwa wamezaliwa tumbo moja. Make na mume
 
Kazi inaendelea kwa kasi
 
Watu kama wewe Mungu huyo huyo huwa anawapa mapigo mazito sana.

Ayubu msome vizuri kwenye Biblia. Mungu anajivunia Mtu wangu Ayubu. Wengine wa aina yako majini na shetani anajivunia, wakala wake. Kazi ni kufanya miamala ya shetani. Leo mlingotini, kesho gamboshi, keshokutwa zenjibari mtondogoo ujiji.
 
Lumumba FC mataga football team check namba imefutika hakuna matumaini tena ya payroll.Hadi zimewarudi toka likizo Chato
Rvwv
 
Gt
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…