Kauli mbili tata za Rais Samia

Kauli mbili tata za Rais Samia

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Shalom, Kuna umuhimu sana wa Rais Samia kuchuja baadhi ya kauli zake, nimesikia kauli mbili zenye madhara Yale Yale huku kauli Moja ikikosa nguvu.

Anasema kwamba, ukitaja hadharani kuwa umewaongezea salary Wafanyakazi basi wafanyabiashara watapandisha Bei ya vitu holela na kufanya Hali kuwa mbaya (sikatai Wala Sina pingamizi).

Mtu huyo huyo anatamka tena hadharani, Mafuta yataendelea kupanda Bei ( hapa anasahau kuwa kwa yeye kutamka hivi atafanya wafanyabiashara kupandisha Bei kiholela kwa madai ya Mafuta kupanda Bei)

Kwa level ya Rais alitakiwa kuhakikisha anachukua hatua na sio kutangaza kitu ambacho MADHARA yake ni makubwa zaidi kuliko hata Ile kauli yake ya mwanzo. Anyway, Wacha maisha yaendelee.

IMG-20220505-WA0078.jpg


IMG-20220504-WA0203.jpg

IMG-20220504-WA0115.jpg
 
Huyu mama alianza kulazamisha ili swala muda mrefu utasikia vitu vitapanda bei nauli na kila kitu. Badala ya yeye kukemea upandishwaji hovyo wa bidhaa yeye ndio anabariki.

Serikali wanataka kutumia mwanya huu wa kupanda bei kwa mafuta kuongeza kodi na tozo kimya kimya ili wavune pesa
 
Shalom, Kuna umuhimu sana wa Rais Samia kuchuja baadhi ya kauli zake, nimesikia kauli mbili zenye madhara Yale Yale huku kauli Moja ikikosa nguvu.

Anasema kwamba, ukitaja hadharani kuwa umewaongezea salary Wafanyakazi basi wafanyabiashara watapandisha Bei ya vitu holela na kufanya Hali kuwa mbaya (sikatai Wala Sina pingamizi).

Mtu huyo huyo anatamka tena hadharani, Mafuta yataendelea kupanda Bei ( hapa anasahau kuwa kwa yeye kutamka hivi atafanya wafanyabiashara kupandisha Bei kiholela kwa madai ya Mafuta kupanda Bei)

Kwa level ya Rais alitakiwa kuhakikisha anachukua hatua na sio kutangaza kitu ambacho MADHARA yake ni makubwa zaidi kuliko hata Ile kauli yake ya mwanzo. Anyway, Wacha maisha yaendelee.


View attachment 2212256

Gasoline prices, litre, 02-May-2022​

Gasoline prices, Octane-95, 02-May-2022: The average price of gasoline around the world is 1.33 U.S. Dollar per litre. However, there is substantial difference in these prices among countries. As a general rule, richer countries have higher prices while poorer countries and the countries that produce and export oil have significantly lower prices. One notable exception is the U.S. which is an economically advanced country but has low gas prices. The differences in prices across countries are due to the various taxes and subsidies for gasoline. All countries have access to the same petroleum prices of international markets but then decide to impose different taxes. As a result, the retail price of gasoline is different. Use the drop menu to see the prices in gallons.

 
Shalom, Kuna umuhimu sana wa Rais Samia kuchuja baadhi ya kauli zake, nimesikia kauli mbili zenye madhara Yale Yale huku kauli Moja ikikosa nguvu.

Anasema kwamba, ukitaja hadharani kuwa umewaongezea salary Wafanyakazi basi wafanyabiashara watapandisha Bei ya vitu holela na kufanya Hali kuwa mbaya (sikatai Wala Sina pingamizi).

Mtu huyo huyo anatamka tena hadharani, Mafuta yataendelea kupanda Bei ( hapa anasahau kuwa kwa yeye kutamka hivi atafanya wafanyabiashara kupandisha Bei kiholela kwa madai ya Mafuta kupanda Bei)

Kwa level ya Rais alitakiwa kuhakikisha anachukua hatua na sio kutangaza kitu ambacho MADHARA yake ni makubwa zaidi kuliko hata Ile kauli yake ya mwanzo. Anyway, Wacha maisha yaendelee.


View attachment 2212256
Bei ya mafuta nchini ni nzuri kuliko Marekani!!!🙏🏿
1651742577532.png
 
Huyu mama alianza kulazamisha ili swala muda mrefu utasikia vitu vitapanda bei nauli na kila kitu. Badala ya yeye kukemea upandishwaji hovyo wa bidhaa yeye ndio anabariki.

Serikali wanataka kutumia mwanya huu wa kupanda bei kwa mafuta kuongeza kodi na tozo kimya kimya ili wavune pesa
Imf waliosema hayo mwezi umepita,na kwamba tutakopa ili tuweke ruzuku,haijapita muda Kenya washakopa ruzuku imf..muwe mnafuatilia mambo!
 
Mama anaupiga mwingi mpaka unatoka nje ya uwanja, bado anaendelea kufungua nchi, mwendazake alituharibia sana nchi yetu amesababisha kila kitu kipande bei [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Tuendeleeni tu kuwasaidia kumlaumu Magufuli mitandaoni maana pia ndio njia rahisi inayowarahisishia wao kupiga hela bila bughuza.
 
Back
Top Bottom