Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,529
Usifikili kila mtu anakulupuka unasomwa mpaka ajiridhishe ukiwekwa kwenye kona hutoki ata kwa gleda.Hahaaaa. Inategemea ntu na ntu hapo bwana.
Na pia mnatutisha sasa jamaani. Ila wapo wengine wana heshima zao yaani hawana hata hayo mawazo aiseee kabisa yaaani hayo mawazo ya kututokea hawana.
Hivyo kaka sio wote wana mawazo hayo.
Ila kwa wa owaji ndo hupita njia ndefu