Mhhh nalo hili neno ila wpo kwa busara za viongozi walo kuwepo lkn wenye taaluma zao baadae wataonekana wakionesha ubobevu wa taaluma zao ni swala la muda tu
Hili sio jambo la kufumbumbiwa macho kwa mstakabali wa nchi ytu hususan kwa vizazi vijavo vnatakiw vijifunze linapo tokea jambo km hili kila mmoja anapaswa aheshim katiba ya nchi.