Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkSubscribed
Chizi ww ile katiba ilikua na maana gn tn kumtaja makamo wa rais sio kila jambo mkalibeba kisiasa mengne niakili tu kutumiaAt the end hao watu walikuwa sahihi
Mhhh nalo hili neno ila wpo kwa busara za viongozi walo kuwepo lkn wenye taaluma zao baadae wataonekana wakionesha ubobevu wa taaluma zao ni swala la muda tuMbona Bado wapo na Wana Vyeo vingi tuu?
Mm na shangaa na wtu km nyiny mnaoshbikia kutokufuatwa kwa katiba ya nchi ulotaka kufanywa na hao waovu mnakua na malengo gani ya nchi hiiSure mkuu Mabeyo alitumika bila kujua na alipojua ndipo alipoamua akae pembeni kwahiyo bila shaka atakuwa na Majuto tu
Viongozi wangekuwa wanafuata katiba nchi isingekuwa hapaMm na shangaa na wtu km nyiny mnaoshbikia kutokufuatwa kwa katiba ya nchi ulotaka kufanywa na hao waovu mnakua na malengo gani ya nchi hii
Mnatetea uovo ambao unge iweka nchi pabaya bila ya kuona aibu
Ndio hivyo mkuu.
Umemjibu vizuri na ki akili sana.Chizi ww ile katiba ilikua na maana gn tn kumtaja makamo wa rais sio kila jambo mkalibeba kisiasa mengne niakili tu kutumia