Kauli ya Chongolo ni ufedhuli kwa wasomi wa vyuo vikuu. Ipingwe!

Kauli ya Chongolo ni ufedhuli kwa wasomi wa vyuo vikuu. Ipingwe!

Chongolo amewataka wasomi wa vyuo vikuu kwenda veta ili wakapate uwezo wa kujiajiri.

Kauli hii inatoa tafsiri hasi nyingi sana dhidi ya wasomi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu vyenyewe.

Mosi, inatoa tafsiri kwamba elimu ya vyuo vikuu ni dhaifu ukilinganisha na ile ya veta. Kama hivi ndivyo. Je, malengo ya utoaji wa elimu ya vyuo vikuu yamefikiwa? Ikiwa bado hayajafikiwa ni nani wa kulaumiwa, kama siyo CCM na wanaccm?

Pili, inatoa tafsiri kwamba waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuul. Binafsi naona kuwa haya ni madhara ya kusema kabla ya kufanya utafiti. Huku mitaani tunaona watu wengi waliojiri ni wale ambao hawajaenda veta wala vyuo vikuu.

Sasa Chongolo atuambie hawa waliupata wapi uwezo huu? Je, ni shule ya msingi? Kama ndivyo atoe kauli nyingine.

Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.

Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?

MSIKUBALI!
yeye alienda huko veta kuongeza ujuzi baada ya kumaliza elimu yake?
 
Bongo wengi wa wanaoitwa wasimo,ni comedian tu.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata wakiwa vyuoni wanasoma Kwa malengo ya kuajiriwa.

Hivi inaingia akilini kweli walimu wanawaza kuajiriwa na mtu aliyeanzisha shule ya nursery chini ya mwembe akiwa mama wa Nyumbani.

Kwa Nini walimu Saba wasiungane wakaanzisha Darasa lao kuanzia chekechea au kama ni sekondari wakaanza Kwa Bei nafuu Kisha jamii ikaona uwezo wao na kuwapelekea ada na kuandikisha mamia ya watoto baada ya miaka Kumi wakawa wanamiliki shule yao wenyewe.

Tatizo uwezo mdogo wa taaluma waliyoipata nao unachagia. Wengi you anataka kuajiriwa SERIKALINI eti ni uhakika wa ajira hata akiwa analala baa na kukesha kwenye pombe hafukuzwi kirahisi . Wanawaza uzembe uzembe TU na ufisadi.
 
Kwani wahitimu wa vyuo vikuu wanaomiliki first degree na masters wanaweza nini mtaani tofauti na waliotoka vetaa? Kwangu mimi tukija mtaani waliotoka vets ni bora kuliko waliotoka chuo kikuu maana kijana aliytoka veta anauza kazi alizosomea veta kama amesomea ufundi wa kuchomea vyuma anatengeneza milango na grill za madirisha anatengeneza pesa ndefu wa chuo kikuu ana tembea na briefcase kwenye maofisi kuomba kazi asipoajiriwa ndiyo anakuwa hivyo maisha yake
Bora veta Kwa kigezo gani cha ajira au kuna kingine?
 
Chongolo amewataka wasomi wa vyuo vikuu kwenda veta ili wakapate uwezo wa kujiajiri.

Kauli hii inatoa tafsiri hasi nyingi sana dhidi ya wasomi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu vyenyewe.

Mosi, inatoa tafsiri kwamba elimu ya vyuo vikuu ni dhaifu ukilinganisha na ile ya veta. Kama hivi ndivyo. Je, malengo ya utoaji wa elimu ya vyuo vikuu yamefikiwa? Ikiwa bado hayajafikiwa ni nani wa kulaumiwa, kama siyo CCM na wanaccm?

Pili, inatoa tafsiri kwamba waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuul. Binafsi naona kuwa haya ni madhara ya kusema kabla ya kufanya utafiti. Huku mitaani tunaona watu wengi waliojiri ni wale ambao hawajaenda veta wala vyuo vikuu.

Sasa Chongolo atuambie hawa waliupata wapi uwezo huu? Je, ni shule ya msingi? Kama ndivyo atoe kauli nyingine.

Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.

Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?

MSIKUBALI!
Ni rahisi kupinga hiyo kauli lakini ni kauli nzuri sana.VETA haipo kwa waliofeli kwenda chuo kikuu.Itakua ajabu kwa engineer kurudi veta kujifunza engineering.Lakini kwa mtu aliyehitimu Degree yoyote ile akitaka kuwa na Plan B kama vile ushonaji,usidikahi bidhaa,ufungashaji nk.. sio mbaya kupata ujuzi wa kile unachotaka kufanya.Ukiwa na ujuzi huo na ukachanganya na Degree Yako unakuaa mbali.Wenzetu hasa wachina hiyo ni kawaida sana
 
Chongolo amewataka wasomi wa vyuo vikuu kwenda veta ili wakapate uwezo wa kujiajiri.

Kauli hii inatoa tafsiri hasi nyingi sana dhidi ya wasomi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu vyenyewe.

Mosi, inatoa tafsiri kwamba elimu ya vyuo vikuu ni dhaifu ukilinganisha na ile ya veta. Kama hivi ndivyo. Je, malengo ya utoaji wa elimu ya vyuo vikuu yamefikiwa? Ikiwa bado hayajafikiwa ni nani wa kulaumiwa, kama siyo CCM na wanaccm?

Pili, inatoa tafsiri kwamba waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuul. Binafsi naona kuwa haya ni madhara ya kusema kabla ya kufanya utafiti. Huku mitaani tunaona watu wengi waliojiri ni wale ambao hawajaenda veta wala vyuo vikuu.

Sasa Chongolo atuambie hawa waliupata wapi uwezo huu? Je, ni shule ya msingi? Kama ndivyo atoe kauli nyingine.

Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.

Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?

MSIKUBALI!
Wanaogopa kuonekana ! Watajulikana kumbe sio wenzetu !
 
Ndio Maana wameambiwa wakasome VETA Ili wajifunze mbinu za uzalishaji.
Kuna mafunzo ya kusindika vyakula. Ufundi Wa Simu, Kushona viatu, Kushona nguo. Hiví msomi akiamua Kushona suti Kwa kiwango Cha kushindana na suti Toka China hawezi kuendesha MAISHA yake na akatoka. Suti zinauzwa mpaka laki Saba.

Kuna Kozi nyingi za uzalishaji hazifundishwi vyuo vikuu.
Vyuo vikuu vinatengeneza wataalam waelekezaji au wasimamizi hivyo wakikosa Ajira inabidi wajifunze kujiajiri na kujiongoza na kujisimamia katika uzalishaji.
Kama watatoa na pesa kidogo za kujikimu pale VETA itapendeza sana !!
 
Chongolo ailekeze CCM ianze kubadilisha mfumo wa elimu baada ya kidato cha nne vijana waelekee VETA badala ya Advance level na vyuo vikuu na atoe hizi sababu zenu.
Hakuna haja ya kusubiria waende katika mlolongo mrefu wa zaidi ya miaka mitano ambapo wanakuwa wamepoteza muda na fedha wakati VETA na kuwa fundi bomba, ujenzi, gari, seremala n.k ndio mpango mzima
Kwakweli !!
 
Chongolo amewataka wasomi wa vyuo vikuu kwenda veta ili wakapate uwezo wa kujiajiri.

Kauli hii inatoa tafsiri hasi nyingi sana dhidi ya wasomi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu vyenyewe.

Mosi, inatoa tafsiri kwamba elimu ya vyuo vikuu ni dhaifu ukilinganisha na ile ya veta. Kama hivi ndivyo. Je, malengo ya utoaji wa elimu ya vyuo vikuu yamefikiwa? Ikiwa bado hayajafikiwa ni nani wa kulaumiwa, kama siyo CCM na wanaccm?

Pili, inatoa tafsiri kwamba waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuul. Binafsi naona kuwa haya ni madhara ya kusema kabla ya kufanya utafiti. Huku mitaani tunaona watu wengi waliojiri ni wale ambao hawajaenda veta wala vyuo vikuu.

Sasa Chongolo atuambie hawa waliupata wapi uwezo huu? Je, ni shule ya msingi? Kama ndivyo atoe kauli nyingine.

Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.

Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?

MSIKUBALI!
Ni upumbavu kuukataa ukweli.
Vyuo vikuu wanafundisha ujinga mwingi na ndio sababu tuna wahitimu wajinga wajinga tu.Kama mmeshindwa kuonesha uwezo wenu hata mkiandamana haisaidii.
Kazi yenu imebaki kutengeneza sheria za kuwabagua mnaodhani ni tishio kwenu mkidhani sheria ndiyo itawapa hadhi.

Heshima ya mtu hutokana na huduma anayoitoa kwa jamii na si sheria za kijisifu bure kwa maneno matupu
 
Heshima ya mtu hutokana na huduma anayoitoa kwa jamii na si sheria za kijisifu bure kwa maneno matupu
Veta mkaanaga vitumbua awe na heshima kuliko mhiyimu wa chuo kikuu? Unaijua heshima wewe? Yaani ufundi cherehani ukupe heshima!!?
 
Mjadala kama hii ingependeza wakutane wataalamu wajadili Kwa hoja na maelewano ili jibu lipatikane. Ningeomba mkuu Maxence Melo awe na platform maalum za kukutana wataalamu kujadili vitu vya kitaalmu. Watu wengine wawe wanaona tu na washindwe kuchangia ili mjadala uwe wa kujenga na si kupotosha /kubishana tu.
Mijadala hii watu waambatanishe na CV zao au vyeti ili wapewe nafasi ya kuruhusiwa kujadili. Hiv mm Sir Midabwada atachangia Nn kwenye masuala ya umeme?. Lakini atachangia na nyuzi itajaa koments ambazo hazijengi.
Cc. JamiiTalks
Moderator
YinYang
 
Huyo chongolo anajua malengo ya elimu ya chuo kikuu na malengo ya VETA? au ndo aina ya wanasiasa wakurupukaji waliopo hapa bongolala..........kwa thinking za namna hii haishangazi daktari wa mchongo Msukuma kuomba mdahalo na maprofessa wa chuo kikuu kuongelea mada za kiuchumi.
 
Basi usijivike kitu ambacho hata hukijui. Eti mkaanga vitumbua uheshimike kuliko mhitimu wa chuo kikuu!!. Nyoo! Unajua chuo kikuu wewe!!?
Chuo kikuu kuna nini kinacho kufanya uheshimike kuliko watu wote wasio fika chuo?
 
Back
Top Bottom