Uchaguzi 2020 Kauli ya Jaji Kaijage na yanayopangwa kufanywa na NEC kwa wagombea Urais

Uchaguzi 2020 Kauli ya Jaji Kaijage na yanayopangwa kufanywa na NEC kwa wagombea Urais

Uraisi siyo ubunge. One mistake you perish. Watu kama Nyalandu na Lisu hawawezi kuvaa viatu vya Uraisi hata wakipata kura 100%
Hawana sifa kuu zifuatazo
1. Uzalendo (wanajiuza kwa maadui wa nchi mfano MIGA etc)
2. Misimamo ( wepesi kununulika na kuhamishwa )
3. Wasaliti wa maadili na mila za mtanzania (mfano Ushoga)
4. Hawana economic plan zaidi ya kujaza watu huruma
5. Record zao ni mbaya.
Hatutaki rais asiye na akili timamu ndio maana tunamtaka nabii Tundu Lissu sio huyo mharibu nchi
 
Uraisi siyo ubunge. One mistake you perish. Watu kama Nyalandu na Lisu hawawezi kuvaa viatu vya Uraisi hata wakipata kura 100%
Hawana sifa kuu zifuatazo
1. Uzalendo (wanajiuza kwa maadui wa nchi mfano MIGA etc)
2. Misimamo ( wepesi kununulika na kuhamishwa )
3. Wasaliti wa maadili na mila za mtanzania (mfano Ushoga)
4. Hawana economic plan zaidi ya kujaza watu huruma
5. Record zao ni mbaya.
Kama ni ivo hata uyo ccm ndo hafai kabisa kwani amevunja katiba mara nyingi mno
 
Kauli iliyotolewa jana na Jaji Kaijage ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ya kuvitaka vyama kuteua Wagombea makini ili baadaye Tume isilaumiwe siyo ya bahati mbaya.

Taarifa za uhakika nilizopata toka ndani ya NEC ni kuwaengua Lissu na Membe kwa technicalities. CHADEMA NA ACT waangalie hizo technicalities mapema wajiandae kisaikolojia.

Uongozi wa juu uliopo hautaki kabisa kampeni hasa kwenye nafasi ya juu ya uongozi. Wangependa kubaki na akina shibuda na lipumba ili kampeni zisiwe na msisimko.

LISSU ana hoja ya maadili ya kuvuliwa ubunge, NYALANDU na MEMBE wana hoja za kufukuzwa uanachama wa chama chao. Wanasheria wanahaha kutafsiri hoja hizo katika misingi ya kikatiba ili kuwaengua ulingoni na malaika mkuu apite kimya.

Tahadhari kubwa ifanyike na sauti zipazwe.
Hawa NEC watambue kuwa kitendo cha kumwuengua Tundu Lissu kwa hicho wanachokiita Technicalities, kitaleta machafuko makubwa hapa nchini.

Kwa hiyo tunawatahadharisha wasithubutu kufanya kitendo hicho kwa maelekezo ya watawala wetu wa CCM
 
Kwa Nyalandu umechemka Hajafukuzwa na Chama
Kuwa na kumbukumbu sahihi, Nyalandu aliandikiwa barua ya kufukuzwa uanachama the same day ambayo na yeye aligundua na kuamua kujiuzulu. Hoja ya mtoa mada ina mantiki kubwa , both nyalandu na membe walifukuzwa uanachama hive tume inataka kutumda kifungu cha katibi kuwa hawa wawili hawana maadili ya kuaminika katika jamii kisha iwaengue.
 
Kauli iliyotolewa jana na Jaji Kaijage ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ya kuvitaka vyama kuteua Wagombea makini ili baadaye Tume isilaumiwe siyo ya bahati mbaya.

Taarifa za uhakika nilizopata toka ndani ya NEC ni kuwaengua Lissu na Membe kwa technicalities. CHADEMA NA ACT waangalie hizo technicalities mapema wajiandae kisaikolojia.

Uongozi wa juu uliopo hautaki kabisa kampeni hasa kwenye nafasi ya juu ya uongozi. Wangependa kubaki na akina shibuda na lipumba ili kampeni zisiwe na msisimko.

LISSU ana hoja ya maadili ya kuvuliwa ubunge, NYALANDU na MEMBE wana hoja za kufukuzwa uanachama wa chama chao. Wanasheria wanahaha kutafsiri hoja hizo katika misingi ya kikatiba ili kuwaengua ulingoni na malaika mkuu apite kimya.

Tahadhari kubwa ifanyike na sauti zipazwe.
Nyalandu hakufukuzwa..
 
Kauli iliyotolewa jana na Jaji Kaijage ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ya kuvitaka vyama kuteua Wagombea makini ili baadaye Tume isilaumiwe siyo ya bahati mbaya.

Taarifa za uhakika nilizopata toka ndani ya NEC ni kuwaengua Lissu na Membe kwa technicalities. CHADEMA NA ACT Wazalendo waangalie hizo technicalities mapema wajiandae kisaikolojia.

Uongozi wa juu uliopo hautaki kabisa kampeni hasa kwenye nafasi ya juu ya uongozi. Wangependa kubaki na akina shibuda na lipumba ili kampeni zisiwe na msisimko.

Lissu ana hoja ya maadili ya kuvuliwa ubunge, Nyalandu na Membe wana hoja za kufukuzwa uanachama wa chama chao. Wanasheria wanahaha kutafsiri hoja hizo katika misingi ya kikatiba ili kuwaengua ulingoni na malaika mkuu apite kimya.

Tahadhari kubwa ifanyike na sauti zipazwe.
Nyalandu alifukuzwa uanachama?
 
Uraisi siyo ubunge. One mistake you perish. Watu kama Nyalandu na Lisu hawawezi kuvaa viatu vya Uraisi hata wakipata kura 100%
Hawana sifa kuu zifuatazo
1. Uzalendo (wanajiuza kwa maadui wa nchi mfano MIGA etc)
2. Misimamo ( wepesi kununulika na kuhamishwa )
3. Wasaliti wa maadili na mila za mtanzania (mfano Ushoga)
4. Hawana economic plan zaidi ya kujaza watu huruma
5. Record zao ni mbaya.
Magu ni mwoga mno wa kitu kinachoitwa demokrasia. Na kwa hili ataleta vurugu kubwa nchini.
 
Uraisi siyo ubunge. One mistake you perish. Watu kama Nyalandu na Lisu hawawezi kuvaa viatu vya Uraisi hata wakipata kura 100%
Hawana sifa kuu zifuatazo
1. Uzalendo (wanajiuza kwa maadui wa nchi mfano MIGA etc)
2. Misimamo ( wepesi kununulika na kuhamishwa )
3. Wasaliti wa maadili na mila za mtanzania (mfano Ushoga)
4. Hawana economic plan zaidi ya kujaza watu huruma
5. Record zao ni mbaya.
Huo Ujinga Umenunua Duka Gani?
 
Hili jambo waachane nalo kwa maslahi mapana ya taifa.
 
Mathayo : Mlango 12
29 Ama awezaje mtu kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuviteka vyombo vyake, asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu? Ndipo atakapoiteka nyumba yake.
Mkuu unaweza kuitafsiri hii katika mukutadha wa mada hii?
 
Uraisi siyo ubunge. One mistake you perish. Watu kama Nyalandu na Lisu hawawezi kuvaa viatu vya Uraisi hata wakipata kura 100%
Hawana sifa kuu zifuatazo
1. Uzalendo (wanajiuza kwa maadui wa nchi mfano MIGA etc)
2. Misimamo ( wepesi kununulika na kuhamishwa )
3. Wasaliti wa maadili na mila za mtanzania (mfano Ushoga)
4. Hawana economic plan zaidi ya kujaza watu huruma
5. Record zao ni mbaya.
Kama Magufuli kawa rais nchi hii, hata Dk Shika anaweza kuwa rais pia.
 
Kauli iliyotolewa jana na Jaji Kaijage ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ya kuvitaka vyama kuteua Wagombea makini ili baadaye Tume isilaumiwe siyo ya bahati mbaya.

Taarifa za uhakika nilizopata toka ndani ya NEC ni kuwaengua Lissu na Membe kwa technicalities. CHADEMA NA ACT Wazalendo waangalie hizo technicalities mapema wajiandae kisaikolojia.

Uongozi wa juu uliopo hautaki kabisa kampeni hasa kwenye nafasi ya juu ya uongozi. Wangependa kubaki na akina shibuda na lipumba ili kampeni zisiwe na msisimko.

Lissu ana hoja ya maadili ya kuvuliwa ubunge, Nyalandu na Membe wana hoja za kufukuzwa uanachama wa chama chao. Wanasheria wanahaha kutafsiri hoja hizo katika misingi ya kikatiba ili kuwaengua ulingoni na malaika mkuu apite kimya.

Tahadhari kubwa ifanyike na sauti zipazwe.


Acha wajaze fomu zao hao watakiona walichopanda
 
Kama hizo loopholes zipo kweli na zinatambulika kikatiba kwanini unahisi wakienguliwa itakuwa sio fair? Upinzani acheni ujunga fanyieni kazi mapungufu mliyonayo sio kuwachukia wanaoyatumia mapungufu mliyonayo on their advantage. Hii ni vita adui anatumia kila anachoweza kukurushia, kutegemea huruma ya adui yako ili utoboe ni utoto na ukichaa
 
Kama haya ni ya kweli, hivi hii tume ni kuengua au kusimamia uchaguzi? Wanataka kuwa chanzo cha machafuko huko mbeleni maana vijana wa 1980 kwao jambo la kuchomoa betri ni rahisi sana.

Mataifa ya nje sijui yanaionaje nchi yetu na democrasia ya kuengua watu.

Chondechonde tume, msigeuke kuwa mahakama na kuanza kutafsiri sheria... kuwa na mkuu wenu ex judge hakuwapi legitimacy ya kuchukua nafasi ya mahakama...acheni.

inajulikana wazi huko chato, JPM tangu akiwa mbuge anapenda sana hizi mambo za kupita bila kupingwa... kuwatoa watu kwa technicalities..ifike mwisho sasa.

Ingefaa pia kuwepo na mapingamizi ya wanaoanza kampeni kabla ya Muda au kuwachafuwa wabunge... mf chagueni ccm Iwaletee maendeleo... tume kuweni fair play tafadharini sana.
Kwani kaijage alichaguliwa na nani?
 
Back
Top Bottom