Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
Uchaguzi huu umechangamka sana, sheria hakusomea Jaji Mitungi tu. inawezekana uchaguzi ukaairishwa.
Kwa dalili zipi unawaza kuwa inawezekana uchaguzi kuahirishwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchaguzi huu umechangamka sana, sheria hakusomea Jaji Mitungi tu. inawezekana uchaguzi ukaairishwa.
Hatutaki rais asiye na akili timamu ndio maana tunamtaka nabii Tundu Lissu sio huyo mharibu nchiUraisi siyo ubunge. One mistake you perish. Watu kama Nyalandu na Lisu hawawezi kuvaa viatu vya Uraisi hata wakipata kura 100%
Hawana sifa kuu zifuatazo
1. Uzalendo (wanajiuza kwa maadui wa nchi mfano MIGA etc)
2. Misimamo ( wepesi kununulika na kuhamishwa )
3. Wasaliti wa maadili na mila za mtanzania (mfano Ushoga)
4. Hawana economic plan zaidi ya kujaza watu huruma
5. Record zao ni mbaya.
Kama ni ivo hata uyo ccm ndo hafai kabisa kwani amevunja katiba mara nyingi mnoUraisi siyo ubunge. One mistake you perish. Watu kama Nyalandu na Lisu hawawezi kuvaa viatu vya Uraisi hata wakipata kura 100%
Hawana sifa kuu zifuatazo
1. Uzalendo (wanajiuza kwa maadui wa nchi mfano MIGA etc)
2. Misimamo ( wepesi kununulika na kuhamishwa )
3. Wasaliti wa maadili na mila za mtanzania (mfano Ushoga)
4. Hawana economic plan zaidi ya kujaza watu huruma
5. Record zao ni mbaya.
Hawa NEC watambue kuwa kitendo cha kumwuengua Tundu Lissu kwa hicho wanachokiita Technicalities, kitaleta machafuko makubwa hapa nchini.Kauli iliyotolewa jana na Jaji Kaijage ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ya kuvitaka vyama kuteua Wagombea makini ili baadaye Tume isilaumiwe siyo ya bahati mbaya.
Taarifa za uhakika nilizopata toka ndani ya NEC ni kuwaengua Lissu na Membe kwa technicalities. CHADEMA NA ACT waangalie hizo technicalities mapema wajiandae kisaikolojia.
Uongozi wa juu uliopo hautaki kabisa kampeni hasa kwenye nafasi ya juu ya uongozi. Wangependa kubaki na akina shibuda na lipumba ili kampeni zisiwe na msisimko.
LISSU ana hoja ya maadili ya kuvuliwa ubunge, NYALANDU na MEMBE wana hoja za kufukuzwa uanachama wa chama chao. Wanasheria wanahaha kutafsiri hoja hizo katika misingi ya kikatiba ili kuwaengua ulingoni na malaika mkuu apite kimya.
Tahadhari kubwa ifanyike na sauti zipazwe.
Ccm haishwindi kuandika barua ikionyesha ilimfukuza Nyalandu kama ilivyofanya kwa Meya wa UbungoKwa Nyalandu umechemka Hajafukuzwa na Chama
Kuwa na kumbukumbu sahihi, Nyalandu aliandikiwa barua ya kufukuzwa uanachama the same day ambayo na yeye aligundua na kuamua kujiuzulu. Hoja ya mtoa mada ina mantiki kubwa , both nyalandu na membe walifukuzwa uanachama hive tume inataka kutumda kifungu cha katibi kuwa hawa wawili hawana maadili ya kuaminika katika jamii kisha iwaengue.Kwa Nyalandu umechemka Hajafukuzwa na Chama
Nyalandu hakufukuzwa..Kauli iliyotolewa jana na Jaji Kaijage ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ya kuvitaka vyama kuteua Wagombea makini ili baadaye Tume isilaumiwe siyo ya bahati mbaya.
Taarifa za uhakika nilizopata toka ndani ya NEC ni kuwaengua Lissu na Membe kwa technicalities. CHADEMA NA ACT waangalie hizo technicalities mapema wajiandae kisaikolojia.
Uongozi wa juu uliopo hautaki kabisa kampeni hasa kwenye nafasi ya juu ya uongozi. Wangependa kubaki na akina shibuda na lipumba ili kampeni zisiwe na msisimko.
LISSU ana hoja ya maadili ya kuvuliwa ubunge, NYALANDU na MEMBE wana hoja za kufukuzwa uanachama wa chama chao. Wanasheria wanahaha kutafsiri hoja hizo katika misingi ya kikatiba ili kuwaengua ulingoni na malaika mkuu apite kimya.
Tahadhari kubwa ifanyike na sauti zipazwe.
Hili ndio mwarobainDawa ya Utopolo huu ni katiba ya Warioba full stop
Nyalandu alifukuzwa uanachama?Kauli iliyotolewa jana na Jaji Kaijage ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ya kuvitaka vyama kuteua Wagombea makini ili baadaye Tume isilaumiwe siyo ya bahati mbaya.
Taarifa za uhakika nilizopata toka ndani ya NEC ni kuwaengua Lissu na Membe kwa technicalities. CHADEMA NA ACT Wazalendo waangalie hizo technicalities mapema wajiandae kisaikolojia.
Uongozi wa juu uliopo hautaki kabisa kampeni hasa kwenye nafasi ya juu ya uongozi. Wangependa kubaki na akina shibuda na lipumba ili kampeni zisiwe na msisimko.
Lissu ana hoja ya maadili ya kuvuliwa ubunge, Nyalandu na Membe wana hoja za kufukuzwa uanachama wa chama chao. Wanasheria wanahaha kutafsiri hoja hizo katika misingi ya kikatiba ili kuwaengua ulingoni na malaika mkuu apite kimya.
Tahadhari kubwa ifanyike na sauti zipazwe.
Magu ni mwoga mno wa kitu kinachoitwa demokrasia. Na kwa hili ataleta vurugu kubwa nchini.Uraisi siyo ubunge. One mistake you perish. Watu kama Nyalandu na Lisu hawawezi kuvaa viatu vya Uraisi hata wakipata kura 100%
Hawana sifa kuu zifuatazo
1. Uzalendo (wanajiuza kwa maadui wa nchi mfano MIGA etc)
2. Misimamo ( wepesi kununulika na kuhamishwa )
3. Wasaliti wa maadili na mila za mtanzania (mfano Ushoga)
4. Hawana economic plan zaidi ya kujaza watu huruma
5. Record zao ni mbaya.
Anatuhuma ya kutorosha Nyara za Serikali TwigaKwa Nyalandu umechemka Hajafukuzwa na Chama
Na kutumia vibaya madaraka kwa kuacha Ofisi na Kwenda kula bata USA akitumia ofa ya TwigaAnatuhuma ya kutorosha Nyara za Serikali Twiga
Huo Ujinga Umenunua Duka Gani?Uraisi siyo ubunge. One mistake you perish. Watu kama Nyalandu na Lisu hawawezi kuvaa viatu vya Uraisi hata wakipata kura 100%
Hawana sifa kuu zifuatazo
1. Uzalendo (wanajiuza kwa maadui wa nchi mfano MIGA etc)
2. Misimamo ( wepesi kununulika na kuhamishwa )
3. Wasaliti wa maadili na mila za mtanzania (mfano Ushoga)
4. Hawana economic plan zaidi ya kujaza watu huruma
5. Record zao ni mbaya.
Mkuu unaweza kuitafsiri hii katika mukutadha wa mada hii?Mathayo : Mlango 12
29 Ama awezaje mtu kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuviteka vyombo vyake, asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu? Ndipo atakapoiteka nyumba yake.
Kama Magufuli kawa rais nchi hii, hata Dk Shika anaweza kuwa rais pia.Uraisi siyo ubunge. One mistake you perish. Watu kama Nyalandu na Lisu hawawezi kuvaa viatu vya Uraisi hata wakipata kura 100%
Hawana sifa kuu zifuatazo
1. Uzalendo (wanajiuza kwa maadui wa nchi mfano MIGA etc)
2. Misimamo ( wepesi kununulika na kuhamishwa )
3. Wasaliti wa maadili na mila za mtanzania (mfano Ushoga)
4. Hawana economic plan zaidi ya kujaza watu huruma
5. Record zao ni mbaya.
Kauli iliyotolewa jana na Jaji Kaijage ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ya kuvitaka vyama kuteua Wagombea makini ili baadaye Tume isilaumiwe siyo ya bahati mbaya.
Taarifa za uhakika nilizopata toka ndani ya NEC ni kuwaengua Lissu na Membe kwa technicalities. CHADEMA NA ACT Wazalendo waangalie hizo technicalities mapema wajiandae kisaikolojia.
Uongozi wa juu uliopo hautaki kabisa kampeni hasa kwenye nafasi ya juu ya uongozi. Wangependa kubaki na akina shibuda na lipumba ili kampeni zisiwe na msisimko.
Lissu ana hoja ya maadili ya kuvuliwa ubunge, Nyalandu na Membe wana hoja za kufukuzwa uanachama wa chama chao. Wanasheria wanahaha kutafsiri hoja hizo katika misingi ya kikatiba ili kuwaengua ulingoni na malaika mkuu apite kimya.
Tahadhari kubwa ifanyike na sauti zipazwe.
Kwani kaijage alichaguliwa na nani?Kama haya ni ya kweli, hivi hii tume ni kuengua au kusimamia uchaguzi? Wanataka kuwa chanzo cha machafuko huko mbeleni maana vijana wa 1980 kwao jambo la kuchomoa betri ni rahisi sana.
Mataifa ya nje sijui yanaionaje nchi yetu na democrasia ya kuengua watu.
Chondechonde tume, msigeuke kuwa mahakama na kuanza kutafsiri sheria... kuwa na mkuu wenu ex judge hakuwapi legitimacy ya kuchukua nafasi ya mahakama...acheni.
inajulikana wazi huko chato, JPM tangu akiwa mbuge anapenda sana hizi mambo za kupita bila kupingwa... kuwatoa watu kwa technicalities..ifike mwisho sasa.
Ingefaa pia kuwepo na mapingamizi ya wanaoanza kampeni kabla ya Muda au kuwachafuwa wabunge... mf chagueni ccm Iwaletee maendeleo... tume kuweni fair play tafadharini sana.