Uchaguzi 2020 Kauli ya Jaji Kaijage na yanayopangwa kufanywa na NEC kwa wagombea Urais

Uchaguzi 2020 Kauli ya Jaji Kaijage na yanayopangwa kufanywa na NEC kwa wagombea Urais

Hii kwangu ni tetesi kama tetesi nyingine. Lakini ukweli usiobadilika kwangu ni kuwa Magufuli hayuko tayari kwa namna yoyote ile, kuingia katika uchaguzi huu huku mshindani wake akiwa Tundu Lissu. Atahakikisha anatumia madaraka yake kuepuka ushindani ambao anajua fika utaanika madhaifu yake yote. Simply sio muumini wa ushindani kwa njia ya box la kura.
 
Kauli iliyotolewa jana na Jaji Kaijage ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ya kuvitaka vyama kuteua Wagombea makini ili baadaye Tume isilaumiwe siyo ya bahati mbaya.

Taarifa za uhakika nilizopata toka ndani ya NEC ni kuwaengua Lissu na Membe kwa technicalities. CHADEMA NA ACT Wazalendo waangalie hizo technicalities mapema wajiandae kisaikolojia.

Uongozi wa juu uliopo hautaki kabisa kampeni hasa kwenye nafasi ya juu ya uongozi. Wangependa kubaki na akina shibuda na lipumba ili kampeni zisiwe na msisimko.

Lissu ana hoja ya maadili ya kuvuliwa ubunge, Nyalandu na Membe wana hoja za kufukuzwa uanachama wa chama chao. Wanasheria wanahaha kutafsiri hoja hizo katika misingi ya kikatiba ili kuwaengua ulingoni na malaika mkuu apite kimya.

Tahadhari kubwa ifanyike na sauti zipazwe.
Tuache kutafuta huruma, Jana Kuna mtu kaleta uzi humu akitahadhalisha juu ya Lissu kuvunja sheria ya viongozi wa umma endapo atateuliwa kugombea urais, japo sijaisoma hiyo sheria lakin siamin Kama wenyewe Chadema hawajui juuu ya Hilo kwaiyo iija siku akaenguliwa kwa kuto kukidhi sifa msitafute mchawi!, Ni mistake zenu wenyewe....

Majuz akitakiwa kuwepo mahakaman mkasingizia yuko karantin ila Jana kaonekana kwenye vikao alafu mnataka sheria iwaonee huruma!
 
Uraisi siyo ubunge. One mistake you perish. Watu kama Nyalandu na Lisu hawawezi kuvaa viatu vya Uraisi hata wakipata kura 100%
Hawana sifa kuu zifuatazo
1. Uzalendo (wanajiuza kwa maadui wa nchi mfano MIGA etc)
2. Misimamo ( wepesi kununulika na kuhamishwa )
3. Wasaliti wa maadili na mila za mtanzania (mfano Ushoga)
4. Hawana economic plan zaidi ya kujaza watu huruma
5. Record zao ni mbaya.
Hivi nchi huongozwa na Katiba au Mawazo ya mtu binafsi??
 
Tuache kutafuta huruma, Jana Kuna mtu kaleta uzi humu akitahadhalisha juu ya Lissu kuvunja sheria ya viongozi wa umma endapo atateuliwa kugombea urais, japo sijaisoma hiyo sheria lakin siamin Kama wenyewe Chadema hawajui juuu ya Hilo kwaiyo iija siku akaenguliwa kwa kuto kukidhi sifa msitafute mchawi!, Ni mistake zenu wenyewe....

Majuz akitakiwa kuwepo mahakaman mkasingizia yuko karantin ila Jana kaonekana kwenye vikao alafu mnataka sheria iwaonee huruma!
Kwahio na wewe unaamini kwa akili yako Lisu, kavunja sheria ya viongozi uma?. Kweli CCM hamna kitu
 
Uraisi siyo ubunge. One mistake you perish. Watu kama Nyalandu na Lisu hawawezi kuvaa viatu vya Uraisi hata wakipata kura 100%
Hawana sifa kuu zifuatazo
1. Uzalendo (wanajiuza kwa maadui wa nchi mfano MIGA etc)
2. Misimamo ( wepesi kununulika na kuhamishwa )
3. Wasaliti wa maadili na mila za mtanzania (mfano Ushoga)
4. Hawana economic plan zaidi ya kujaza watu huruma
5. Record zao ni mbaya.
Wewe na kina Jdg Kaijange hamuitakii amani nchi hii, sioni sababu ya kutuletea vurugu ndani ya nchi yetu!!
Hayo mambo ya technicalities yalifanyika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Tunahitaji uchaguzi wa uhuru na haki watu wapambane kwenye majukwaa sio sababu za kijinga kuwafuta wagombea!!
 
Hii kwangu ni tetesi kama tetesi nyingine. Lakini ukweli usiobadilika kwangu ni kuwa Magufuli hayuko tayari kwa namna yoyote ile, kuingia katika uchaguzi huu huku mshindani wake akiwa Tundu Lissu. Atahakikisha anatumia madaraka yake kuepuka ushindani ambao anajua fika utaanika madhaifu yake yote. Simply sio muumini wa ushindani kwa njia ya box la kura.
Hivi akietaka uchaguzi uhailishwe alikuwa Nani? Na Mh Raid ndiyo alisema kipindi Korona amebamba Tanzania kuwa uchaguzi lazima ufanyike na Chadema ndiyo hamkutaka uchaguzi ufanyike
 
Tuache kutafuta huruma, Jana Kuna mtu kaleta uzi humu akitahadhalisha juu ya Lissu kuvunja sheria ya viongozi wa umma endapo atateuliwa kugombea urais, japo sijaisoma hiyo sheria lakin siamin Kama wenyewe Chadema hawajui juuu ya Hilo kwaiyo iija siku akaenguliwa kwa kuto kukidhi sifa msitafute mchawi!, Ni mistake zenu wenyewe....

Majuz akitakiwa kuwepo mahakaman mkasingizia yuko karantin ila Jana kaonekana kwenye vikao alafu mnataka sheria iwaonee huruma!
Mkuu chadema huendeshwa na mihemuko
 
Tahadhali tu Bwa Shee
Magufuli tunafaham tangu akiwa mbunge anataka apite bila kupingwa, lakini awamu hii hata akipita apite lakini dunia nzima itafaham amepitaje na inawezekana ikawa ndio mwisho wa ccm. Tundulisu msifikiri ni kondoo kama LOWASA.
 
Kwahio na wewe unaamini kwa akili yako Lisu, kavunja sheria ya viongozi uma?. Kweli CCM hamna akili.
Watu kama nyie ndio mtaji wa akina Mbowe pale chadema!

Kuna hoja katika hii mada! Lakini yakitokea utasikia mmeonewa
 
Magufuli tunafaham tangu akiwa mbunge anataka apite bila kupingwa, lakini awamu hii hata akipita apite lakini dunia nzima itafaham amepitaje na inawezekana ikawa ndio mwisho wa ccm. Tundulisu msifikiri ni kondoo kama LOWASA.
Sasa unamtisha nani?..

Wenzenu watawapiga kwa uzembe wenu wa kutotafsiri sheria, wakati huo wewe unafikiri utaishinda ccm kwa kuleta vurugu
 
Watu kama nyie ndio mtaji wa akina Mbowe pale chadema!

Kuna hoja katika hii mada! Lakini yakitokea utasikia mmeonewa
Kwahio wewe unamzidi Lisu kuifaham sheria?. CDM ndio chama chenye mawakili Bora nchi hii tatizo kama hilo wangekuwa walishaliona, na nikufahamishe tu hio nipropaganda inayopigwa ili hata wakimuonea ionekane walionywa mapema. Nikutahadharishe tu Lisu sio kondoo Kama LOWASA.
 
Sasa unamtisha nani?..

Wenzenu watawapiga kwa uzembe wenu wa kutotafsiri sheria, wakati huo wewe unafikiri utaishinda ccm kwa kuleta vurugu
Kuna sheria ipi iliyotumika kumrudisha MWAMBE bungeni?. Kuna sheria ipi iliyoshindwa watoa wakina Silinde/Lijuakali bungeni baada yakuvuliwa uanachama?. Nakueleza tu Lisu sio kondoo kama Lowasa.
 
Kama haya ni ya kweli, hivi hii tume ni kuengua au kusimamia uchaguzi? Wanataka kuwa chanzo cha machafuko huko mbeleni maana vijana wa 1980 kwao jambo la kuchomoa betri ni rahisi sana.

Mataifa ya nje sijui yanaionaje nchi yetu na democrasia ya kuengua watu.

Chondechonde tume, msigeuke kuwa mahakama na kuanza kutafsiri sheria... kuwa na mkuu wenu ex judge hakuwapi legitimacy ya kuchukua nafasi ya mahakama...acheni.

inajulikana wazi huko chato, JPM tangu akiwa mbuge anapenda sana hizi mambo za kupita bila kupingwa... kuwatoa watu kwa technicalities..ifike mwisho sasa.

Ingefaa pia kuwepo na mapingamizi ya wanaoanza kampeni kabla ya Muda au kuwachafuwa wabunge... mf chagueni ccm Iwaletee maendeleo... tume kuweni fair play tafadharini sana.
Hakuna haja yakurisha watu. Uchaguzi ni mchakato wa kisheria na kanuni. Ukikiuka sheria zinakuondoa tu, wala si Tume. Vyama inapaswa kufuata sheria na kanuni sio hisia.
 
Kauli iliyotolewa jana na Jaji Kaijage ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ya kuvitaka vyama kuteua Wagombea makini ili baadaye Tume isilaumiwe siyo ya bahati mbaya.

Taarifa za uhakika nilizopata toka ndani ya NEC ni kuwaengua Lissu na Membe kwa technicalities. CHADEMA NA ACT Wazalendo waangalie hizo technicalities mapema wajiandae kisaikolojia.

Uongozi wa juu uliopo hautaki kabisa kampeni hasa kwenye nafasi ya juu ya uongozi. Wangependa kubaki na akina shibuda na lipumba ili kampeni zisiwe na msisimko.

Lissu ana hoja ya maadili ya kuvuliwa ubunge, Nyalandu na Membe wana hoja za kufukuzwa uanachama wa chama chao. Wanasheria wanahaha kutafsiri hoja hizo katika misingi ya kikatiba ili kuwaengua ulingoni na malaika mkuu apite kimya.

Tahadhari kubwa ifanyike na sauti zipazwe.
Watakuwa wanawatafuta Watanzania ubaya bila sababu za msingi.Yaani wanapanga kuharibu uchaguzi kwa hila za kidhalimu.
NEC ijihadhari na kujiepusha na siasa chafu.Weka uwanja sawa,simamieni uchaguzi na mtangaze matokeo halali bila kuangalia chama.Vinginevyo mtaliingiza Taifa letu tulipendalo LA Tanzania kwenye majonzi.
 
Kama hizo loopholes zipo kweli na zinatambulika kikatiba kwanini unahisi wakienguliwa itakuwa sio fair? Upinzani acheni ujunga fanyieni kazi mapungufu mliyonayo sio kuwachukia wanaoyatumia mapungufu mliyonayo on their advantage. Hii ni vita adui anatumia kila anachoweza kukurushia, kutegemea huruma ya adui yako ili utoboe ni utoto na ukichaa

Kwahiyo NEC ndio adui wa upinzani! Unaongea nini dogo?
 
Uraisi siyo ubunge. One mistake you perish. Watu kama Nyalandu na Lisu hawawezi kuvaa viatu vya Uraisi hata wakipata kura 100%
Hawana sifa kuu zifuatazo
1. Uzalendo (wanajiuza kwa maadui wa nchi mfano MIGA etc)
2. Misimamo ( wepesi kununulika na kuhamishwa )
3. Wasaliti wa maadili na mila za mtanzania (mfano Ushoga)
4. Hawana economic plan zaidi ya kujaza watu huruma
5. Record zao ni mbaya.
Yote kwa Yote- kazi ya kutafsiri sheria ni ya mahakama- hayo mengine tume iwapeleke mahakamani kama ina ushahidi kwamba hawafai ; vinginenyo itakuwa Ina act utra vires-
Katiba haisemi kwamba tume ya uchaguzi ni ni mhimiri wa nne ... hilo halipo...
 
Back
Top Bottom