Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuitetea Serikali hii ya Wala rushwa dhidi ya kudorora kwa Umeme pamoja na maji.Mna visingizio sana tulieni dawa iwaingie maana mlitamba sana mama anaupiga mwingi.
Mkome kabisa tabia ya kuingilia mahakama.
Wewe na mmeo mlikenua sana Sabaya alipofungwa, sheria ni msumeno tulieni dawa iwaingieOle wenu mchekao sasa maana siku yenu yaja mtalia na kusaga meno.
Hivi najiuliza ilikuwaje makomandoo wa jesh kuninginizwa kirahisi rahis hivi na polisi kama si udhalilishaji wa jeshi la wananchi hasa hawa makomandoo wa 92kj?Komandoo wa JWTZ wamefunzwa vyema mafunzoni jinsi ya kuongoza, kutoa amri, ukamataji, movement orders, chain of command na wanazizingatia sana wawapo kazini na kuziota usiku kiasi wanazifahamu kwa ufasaha hata wawapo katika misheni za ulinzi wa amani kimataifa askari na maofisa wa JWTZ / TPDF wanazifuata kwa umakini na ndiyo maana wanatambulika na Umoja wa Mataifa kwa kuzingatia kanuni, sheria vizuri .
Tofauti na polisi ambao hata PGO inayowaelekeza watende kazi vipi kipolisi tumeona hazifuatwi ndani ya jeshi hilo la Polisi. Hakuna movement orders, kuandika kumbukumbu vizuri ktk shajara za kipolisi n.k
Hivyo mtu yeyote pamoja na Jaji inatakiwa watambue nidhamu iliyopo ktk JWTZ / TPDF wa utendaji kazi ukiotukuka na wa kufuata kanuni na sheria .
07 October 2021
Source : Mashariki TV
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna muda jaji anajisahau anahisi kama nae ni mwanasheria wa serikali ivo anataka kuweka pingamizi
Hivi najiuliza ilikuwaje makomandoo wa jesh kuninginizwa kirahisi rahis hivi polisi kama, si udhalilishaji wa jeshi la wananchi hasa hawa makomandoo wa 92kj?
Hii Kesi mbona Siuoni Ugaidi? MBOnA HAIENDI STRaIGHT KWeNYe KOSa? KOSA MBONA HALIFIKIWI?Nadhani ameshangazwa na umakini wa shahidi mshitakiwa. Kama shahidi mashitakiwa kaamua kusema ukweli anaoujua yeye, ni lazima wenye hila wajiulize kwanini yuko na mtiririko huo!!
Kinachoshangaza kwa sisi maamuma wa sheria ni kama kuna ushahidi usiokuwa na mashaka kuwa mashitaka yatathibishwa - kina haja gani ya mshitaki kuweka pingamizi la kutaka mshitakiwa asijieleze??!!
Ajabu zaidi sababu wanazotumia kupinga upatikanaji wa document ya shahidi wa mashitaka (mpaka ikapelekea kuhoji kama mahakama imewasiliana na mshitaki kinyume cha taratibu) ndio wanazotumumia kuhoji barua anayotaka kuwasilishwa imemfikiaje mahabusu asiyekuwa huru!! Wanasisitiza hata kuhusu chain of custody ni shida, jambo ambalo hawakuonesha ni shida upande wao.
Leo wanasema Kibatala ni wakili wa mshitakiwa wa nne (Mbowe) hivo hakupaswa kuandika barua. Anasahau mawakili hawa hawajiwakilishi bali kampuni zao kama wao wasiviwakilisha isipokuwa serikali! Wanasahau hawajapinga Kibatala kuhoji mashahidi wao ambao walikuwa wanatoa ushahidi kuhusu walivowakata washitakiwa 1-2 na wala sio hata 3.
Mawakili wa serikali wameshindwa hata kutambua kuwa hata wao hawana mawakili dhidi ya mshitakiwa mmoja mmoja. Wamesahau washitakiwa wote wako katika kesi moja 16/2020 na wote wanashitakiwa kwa makosa yanayofanana isipokuwa mmoja kuhusu silaha na risasa!!
Wee una uzima gan.mnatabia ya ujuaji kweli kuwa kila kitu manjua ninyiSidhani kama una akili timamu , na kwa kweli kuna haja sana ya JF kutumia ujasusi wake kutambua kama baadhi ya wachangiaji wake ni wazima kichwani au La
kama sikosea huyo ni jaji wa tatu kwenye hii kesi.... na kila Jaji akija malalamiko ni yaleyale... sasa muafaka ni nini?.....wafuasi wetu uelekeo upi wafuate..., tunaendeleaje kufuatilia kesi na kusubiri matokeo yake ilihali tunaamini jaji yupo kimkakati.... Je tutasemaje mwishoni jaji huyu akimuachia mtu wetu?...
Wale watu walikuwa hawajajiandaa kwa lolote wao walikuwa wameenda pale ili wapate ajira walishtukizwa, lakini hata ukiwa komandoo ukifungwa pingu na ukawekewa silaha utafanywa chochote.Hivi najiuliza ilikuwaje makomandoo wa jesh kuninginizwa kirahisi rahis hivi na polisi kama si udhalilishaji wa jeshi la wananchi hasa hawa makomandoo wa 92kj?
Jaji na yeye anataka asifiwe kifuahuyo jaji achunguzwe mawasiliano take isijekuwa anavizia penzi la mama Samia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huyo jaji achunguzwe mawasiliano take isijekuwa anavizia penzi la mama Samia
Mambo kama haya unapomwachia Mungu, Mungu mwenyewe anakupuuza.Huyu jaji ameahidiwa kupandishwa cheo lakini sisi hatujali afanye atakacholifanya Mungu atoaye haki atupa hukumu yake
POLE KWA KUFIWA NA MUME WAKO KIPENZI.Usipo acha roho mbaya na watoto wako wataingia kaburini soon ili ujifunze zaidiKwanini shahidi afundishwe majibu?huu ndio ushamba wa kina Kibatala