Mkuu, hiyo ndio thamani ya ukweli. Haihitaji kufikiria sana, ni kuusema tu!
Unaweza kuona hata wasiwasi wa Jaji kuwa mhutumiwa anafundishwa majibu. Hivi kweli jambo hilo lingewezekana? Jaji aligundua maandalizi. Advantage pekee aliyokuwa nayo mtuhumiwa ni kuwa aliwasikia kwa masikio yake mashahidi wa mashtaka na maana yake siku zote amekuwa akijipanga kuzungungimzia hiyo story. Unlike mashahidi wengine ambao hawakuwa mahakamani siku zote. Ilinishangaza Jaji kutotambua hili!
Cross examination and re-examination za leo zitavutia sana. Utetezi utakusudia kutia matundu katika ushahidi woooote ulitolewa mpaka sasa. Na ni bahati nzuri mpaka sasa mashahidi wamekuwa ni wa ukamataji, usafirishaji, upelelezi, Central na Mbweni!! Na mshitakiwa mhusika!
Unaweza kuona hata wasiwasi wa Jaji kuwa mhutumiwa anafundishwa majibu. Hivi kweli jambo hilo lingewezekana? Jaji aligundua maandalizi. Advantage pekee aliyokuwa nayo mtuhumiwa ni kuwa aliwasikia kwa masikio yake mashahidi wa mashtaka na maana yake siku zote amekuwa akijipanga kuzungungimzia hiyo story. Unlike mashahidi wengine ambao hawakuwa mahakamani siku zote. Ilinishangaza Jaji kutotambua hili!
Cross examination and re-examination za leo zitavutia sana. Utetezi utakusudia kutia matundu katika ushahidi woooote ulitolewa mpaka sasa. Na ni bahati nzuri mpaka sasa mashahidi wamekuwa ni wa ukamataji, usafirishaji, upelelezi, Central na Mbweni!! Na mshitakiwa mhusika!