Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Mandela alifungwa kidhuluma, isivyo haki, kwa miaka 27. Elizabeth amsaidie kwani Mandelea alikuwa jambazi? Usikute mmeanza kuugua vichwa na akili nyie!Hiyu Malema hajui Malkia alivyomsaidia Rais wa kwanza Bw Mandela,tatizo huyu aliye msaidia Mandela ni adui
Nchi haikuwa tajiri. Makaburu ndiyo walikuwa matajiri.Haya majitu ya ANC yote ni Marxists watupu. Najuta siku zote kuyapigania yajitawale. Yamerithi nchi tajiri kupita zote Latin America na bara la Africa lakini kuna ziki sana huko kwao S Africa kwa sababu ya vinyongo vyao kwa Ulaya na Marekani.
Tatizo ni kwamba ile minyororo ya kale bado imeunganika hadi leo; ndiyo kusema lazima ikatwe. 🙂kutumia standards za civilization ya leo kuhukumu killichotokea miaka 100 iliopita ni aina flani ya ujinga, ndio maana tuko busy kulalamika kuwa wakoloni walitubia walitunyonya wakati mabara mengine ambayo yalitendewa hivyohivyo walishamove on wakapiga maendeleo, kila mtu anajua wakoloni walchofanya kwa mataifa mengine sio africa tu, asia america kote
Watu Kama wewe wanafanya Taifa hili na Bara kwa ujumla kutoendelea [emoji706][emoji706][emoji706]Wadau hamjamboni nyote?
Alichoandika Malema muda mfupi uliopita kinahuzunisha sana hususani wakati huu wa msiba mzito wa Mkuu wa Taifa la Uingereza na Jumuiya ya Madola
Hebu someni wenyewe alichoandika:
"We do not mourn the death of Elizabeth, because to us her death is a reminder of a very tragic period in this country and Africa's history.... If there is really life and justice after death, may Elizabeth and her ancestors get what they deserve."
Binafsi sijafurahishwa na kauli yake ambayo kimsingi inatakiwa kulaaniwa dunia nzima.
Namuombea kwa Mungu apumzike kwa amani kiongozi wetu wa Jumuiya ya Madola.
Vita amevipiga na mwendo ameumaliza.
View attachment 2351179
View attachment 2351180
Hakuna ubaya hapo! Amemuombea apate kile anachostahili..Wadau hamjamboni nyote?
Alichoandika Malema muda mfupi uliopita kinahuzunisha sana hususani wakati huu wa msiba mzito wa Mkuu wa Taifa la Uingereza na Jumuiya ya Madola
Hebu someni wenyewe alichoandika:
"We do not mourn the death of Elizabeth, because to us her death is a reminder of a very tragic period in this country and Africa's history.... If there is really life and justice after death, may Elizabeth and her ancestors get what they deserve."
Binafsi sijafurahishwa na kauli yake ambayo kimsingi inatakiwa kulaaniwa dunia nzima.
Namuombea kwa Mungu apumzike kwa amani kiongozi wetu wa Jumuiya ya Madola.
Vita amevipiga na mwendo ameumaliza.
View attachment 2351179
View attachment 2351180
Hawa niliwaamini nikidhani wanaweza kuleta change in AfricaWadau hamjamboni nyote?
Alichoandika Malema muda mfupi uliopita kinahuzunisha sana hususani wakati huu wa msiba mzito wa Mkuu wa Taifa la Uingereza na Jumuiya ya Madola
Hebu someni wenyewe alichoandika:
"We do not mourn the death of Elizabeth, because to us her death is a reminder of a very tragic period in this country and Africa's history.... If there is really life and justice after death, may Elizabeth and her ancestors get what they deserve."
Binafsi sijafurahishwa na kauli yake ambayo kimsingi inatakiwa kulaaniwa dunia nzima.
Namuombea kwa Mungu apumzike kwa amani kiongozi wetu wa Jumuiya ya Madola.
Vita amevipiga na mwendo ameumaliza.
View attachment 2351179
View attachment 2351180
ANC au EFF?Haya majitu ya ANC yote ni Marxists watupu. Najuta siku zote kuyapigania yajitawale. Yamerithi nchi tajiri kupita zote Latin America na bara la Africa lakini kuna ziki sana huko kwao S Africa kwa sababu ya vinyongo vyao kwa Ulaya na Marekani.
hujapenda ulitakaje malezi mabaya toka lumumba ukweli mnauzungumzia vyumbani nje mnamung'unyaWadau hamjamboni nyote?
Alichoandika Malema muda mfupi uliopita kinahuzunisha sana hususani wakati huu wa msiba mzito wa Mkuu wa Taifa la Uingereza na Jumuiya ya Madola
Hebu someni wenyewe alichoandika:
"We do not mourn the death of Elizabeth, because to us her death is a reminder of a very tragic period in this country and Africa's history.... If there is really life and justice after death, may Elizabeth and her ancestors get what they deserve."
Binafsi sijafurahishwa na kauli yake ambayo kimsingi inatakiwa kulaaniwa dunia nzima.
Namuombea kwa Mungu apumzike kwa amani kiongozi wetu wa Jumuiya ya Madola.
Vita amevipiga na mwendo ameumaliza.
View attachment 2351179
View attachment 2351180
Bwana Malema ana haki zote na sababu zote Kuandika alichokiandika.Wadau hamjamboni nyote?
Alichoandika Malema muda mfupi uliopita kinahuzunisha sana hususani wakati huu wa msiba mzito wa Mkuu wa Taifa la Uingereza na Jumuiya ya Madola
Hebu someni wenyewe alichoandika:
"We do not mourn the death of Elizabeth, because to us her death is a reminder of a very tragic period in this country and Africa's history.... If there is really life and justice after death, may Elizabeth and her ancestors get what they deserve."
Binafsi sijafurahishwa na kauli yake ambayo kimsingi inatakiwa kulaaniwa dunia nzima.
Namuombea kwa Mungu apumzike kwa amani kiongozi wetu wa Jumuiya ya Madola.
Vita amevipiga na mwendo ameumaliza.
View attachment 2351179
View attachment 2351180
ila kuipiga maiti teke kwa upande wangu itapunguza hasiraMawazo ya sampuli yake ni sawa mtu kuwa nayo, lakini kuyaleta wakati huu ni kutafuta umaarufu usiokuwa na maana, kwangu siku zote kuipiga teke maiti ni upungufu wa akili kwa yule anayeipiga.
Mkuu, rekebisha short kwenye mpangilio wa mawazo yako.Haya majitu ya ANC yote ni Marxists watupu. Najuta siku zote kuyapigania yajitawale. Yamerithi nchi tajiri kupita zote Latin America na bara la Africa lakini kuna ziki sana huko kwao S Africa kwa sababu ya vinyongo vyao kwa Ulaya na Marekani.
Amenufaika na makosa ya babu zake. Mpaka anakitoa hakuwahi kurudisha mali walizoiba babu zake ai kuomba msamaha juu ya maovu waliyotenda baba na babu zakeEliza hakuwepo wakati hayo yanafanyika.Eliza ndiye alikuwa kiongozi wakati wa kupata uhuru.Makosa ya Babu zake siyo yake.
Ulijuaje kama ni kichaa?Huyu ni kichaa! Anasapoti vichaa wengi Afrika!
Unashauri aikimbie nchi yake?South Africa itself is under neocolonialism and imperialism by his own fellow blacks! and he is himself in SA!
Hakuna!kiongozi wetu wa Jumuiya ya Madola.
View attachment 2350759
Da historia ya huo umoja inaleta ukakasi. Hivi kuna kipengere kinachorusu Rais wetu wa Tanzania au Kiongozi mwingine nje ya uingereza kuwa Kiongozi Mkuu wa jumuiya ya madola.