Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malema sio ANC.Haya majitu ya ANC yote ni Marxists watupu. Najuta siku zote kuyapigania yajitawale. Yamerithi nchi tajiri kupita zote Latin America na bara la Africa lakini kuna ziki sana huko kwao S Africa kwa sababu ya vinyongo vyao kwa Ulaya na Marekani.
uko sahihi kabisa 100% ndiyo maana historia yako itakuhukumu kama ulifanya mabaya tutakukumbuka kwa ubaya wako kama umefanya mema tutakukumbuka kwa wema WAKO , ndiyo maana jino la Patrick Lumumba lilizikwa kwa heshima zoote DRC......Siyo suala la kufurahia kifo chake, bali kuonesha uhalisia wa historia aliyoitengeneza yeye mwenyewe.
Julius Malema hana hadhi ya kuwa hata diwani. Akipewa Urais yule hakai hata mwaka kwa S.A ilivyo, ni mwehu kwa vitu vingi sanaAlichoandika ni ukweli ila kwakuwa tunapenda unafiki basi sawa.
Ila Julius Malema anafaa kuendelea kuwa mwanaharakati siku akipewa uraisi ataiua S.A kabisa.
Una fahamu SA imepata Uhuru mwaka gani ?Ukimuuliza umezaliwa mwaka gani anakwambia 1981
Nitarudi wakuu ngoja nije...
Jamaa sio mnafiki wala mpigania tumbo lake kama hawa, jamaa haendekezi siasa za majitaka kuchafua wenzake ili apate umaarufu kama walivyofanya hawa kwa Lowasa.Amewaza kama mimi kwa asilimia 100.
Mkuu umepotea?!mawazo yake sio lazima ukubaliane nae.
Wakati waafrika wakinyanyaswa kama mbwa kwenye nchi zao Zimbabwe na Afrika kusini Uingereza iliunga mkono tawala zile katili.Wadau hamjamboni nyote?
Alichoandika Malema muda mfupi uliopita kinahuzunisha sana hususani wakati huu wa msiba mzito wa Mkuu wa Taifa la Uingereza na Jumuiya ya Madola
Hebu someni wenyewe alichoandika:
"We do not mourn the death of Elizabeth, because to us her death is a reminder of a very tragic period in this country and Africa's history.... If there is really life and justice after death, may Elizabeth and her ancestors get what they deserve."
Binafsi sijafurahishwa na kauli yake ambayo kimsingi inatakiwa kulaaniwa dunia nzima.
Namuombea kwa Mungu apumzike kwa amani kiongozi wetu wa Jumuiya ya Madola.
Vita amevipiga na mwendo ameumaliza.
View attachment 2350759
Tanzania hatuna wanasiasa, tunayo matapeli.Jamaa sio mnafiki wala mpigania tumbo lake kama hawa, jamaa haendekezi siasa za majitaka kuchafua wenzake ili apate umaarufu kama walivyofanya hawa kwa Lowasa.
Hakuna mazuri yanayoweza kuhalalisha uovu dhidi ya wengine.Mazuri yzo mbona huyasemi? Wa.mewaletea shule hospitali na teknolojia kibao zinazowanufaisha lakini kutokana na upambqvu wenu bado mko kwenye lindi la umaskini wa kutupwa halafu unasinguzia wazungu!
Hao watumwq, mlikuwa mnakamatana wenyewe . Mikataba mibovu .mnayoingia inatokana na ujinga wenu halafu mnalaumu wazungu.
Hata leo hii ikipigwa kura kwa uwazi waafrika wengi watachagua kurudi kutawaliwa na wazungu.. wakoloni wameondoka zaidi ya miaka sitini lakini failure zenu bado mnawatupia wazungu.
Nimesema Julius Malema amezaliwa 1981 ila anavyojinadi km kazaliwa 1502Una fahamu SA imepata Uhuru mwaka gani ?
Nakazia," kupiga teke maiti ni upungufu wa akili"Mawazo ya sampuli yake ni sawa mtu kuwa nayo, lakini kuyaleta wakati huu ni kutafuta umaarufu usiokuwa na maana, kwangu siku zote kuipiga teke maiti ni upungufu wa akili kwa yule anayeipiga.
Yaani beberu akutake useme kuna mtu atakuwekea ulinzi, aisee...Julius aongezewe ulinzi.
Sawa mkuu je Mr.Malema alitoa tamko kama hilo baada ya King wa wazulu kufariki dunia?,maana naye hakua clean kwenye maisha yake, alitoa kauli iliyosababisha wageni wa kiafrika kuuawa,afriphobia yenye mchanganyiko wa xenophobic, King wa wazulu amehodhi almost ardhi yote ya Ile province but malema amefyata mkia wake, reason wazulu sio target rahisi ila queens!,malema haishi manzese au tandale au kinondoni shamba, anapiga kelele na mwisho wa siku anakimbilia kwenye makazi ya wazungu yaliyo chini ya opposition party, DA maana kuko smart na safe, why assisting kule seshogo, alex?Kwenye Nchi za Watu wanaojitambua, hiyo statement ya EFF ipo on point. Anapofariki Mtu kama queen Elizabeth ambaye alikuwa kiongozi kila kilichofanyika kwa macho yake kinaanikwa hadharani, hakuna haja ya ku-sugarcote. Wanaopaswa angalau kufunika kombe labda ni statement ya Serikali. Watu kama Malema wanatakiwa kuwepo ili kukikumbusha kizazi kuwa kuna wakati tulipitia kipindi kigumu sana. Ukisoma historia ya Kenya kuhusu ukoloni wa Waingereza inasikitisha sana. Nafikiri Tanzania hatukupata uzoefu wa aina hiyo kutoka kwa Waingereza ndiyo maana tunashangaa statement ya EFF.
Historia huwa haina kulemba kwa sababu yalitokea, na wanayoyaeleza yaliyotokea hawana uwezo wa kutia mkono kueleza vinginevyo
Roho mbaya wamekufanya Nini au wamewafanyia mabaya Gani hao unawajua?Sio ANC yule ana Chama chake ila ulichoongea ni sahihi ni mabinafsi sana na roho mbaya...