The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,967
- 4,267
hongera zaoTundu Lissu - Mwenyekiti mpya CHADEMA 2025 - 2029
View: https://youtu.be/c1WMFrCsoDA?si=lDioTV1e9qpNNVj5
John Heche Makamu Makamu Mwenyekiti mpya 2025 - 2029
View: https://youtu.be/PL-pbA2VreI?si=-0XAGIJNG3qF147J
Hongereni sana ndugu zetu Tundu Lissu na John Heche...
Kwa ushindi wenu huu, hamwezi kujua ni kwa kiasi gani mmeamusha ARI na HAMASA mpya kabisa ya kukiunga mkono chama chenu kwa HALI NA MALI ZETU...
Tupo pamoja..
Lilikuwa suala la muda tuTundu Lissu - Mwenyekiti mpya CHADEMA 2025 - 2029
View attachment 3209932
John Heche Makamu Makamu Mwenyekiti mpya 2025 - 2029
View: https://youtu.be/PL-pbA2VreI?si=-0XAGIJNG3qF147J
Hongereni sana ndugu zetu Tundu Lissu na John Heche...
Kwa ushindi wenu huu, hamwezi kujua ni kwa kiasi gani mmeamusha ARI na HAMASA mpya kabisa ya kukiunga mkono chama chenu kwa HALI NA MALI ZETU...
Tupo pamoja..
Tunashukuru tumejifunzaLilikuwa suala la muda tu
Nawaona ccm wanavyohara, maana Lissu na Heche wote ni motoTundu Lissu - Mwenyekiti mpya CHADEMA 2025 - 2029
John Heche Makamu Makamu Mwenyekiti mpya 2025 - 2029
Hongereni sana ndugu zetu Tundu Lissu na John Heche...
Kwa ushindi wenu huu, hamwezi kujua ni kwa kiasi gani mmeamusha ARI na HAMASA mpya kabisa ya kukiunga mkono chama chenu kwa HALI NA MALI ZETU...
Tupo pamoja..
Yaani combination ya Lissu na Heche sio mchezoImeamsha morali kubwa sana kwa wapenzi na wanachama. Aluta continua..
ugali moto mboga motoNawaona ccm wanavyohara, maana Lissu na Heche wote ni moto
Mnoo, sasa chama kimerudi kwa wenyeweugali moto mboga moto
kama atakuwa rais itabidi hao maofisa vipenyo wamlinde tuLisu analindwa na maafsa vipenyo?
Hongereni sana ndugu zetu Tundu Lissu na John Heche...Tundu Lissu - Mwenyekiti mpya CHADEMA 2025 - 2029
John Heche Makamu Makamu Mwenyekiti mpya 2025 - 2029
Hongereni sana ndugu zetu Tundu Lissu na John Heche.
Pia soma Pre GE2025 - Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi
Kwa ushindi wenu huu, hamwezi kujua ni kwa kiasi gani mmeamusha ARI na HAMASA mpya kabisa ya kukiunga mkono chama chenu kwa HALI NA MALI ZETU...
Tupo pamoja..