Pre GE2025 Kauli ya kwanza ya Tundu Lissu na John Heche baada ya Freeman Mbowe kukubali matokeo ya Uchaguzi

Pre GE2025 Kauli ya kwanza ya Tundu Lissu na John Heche baada ya Freeman Mbowe kukubali matokeo ya Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
1,967
Reaction score
4,267
Tundu Lissu - Mwenyekiti mpya CHADEMA 2025 - 2029


John Heche Makamu Makamu Mwenyekiti mpya 2025 - 2029


Hongereni sana ndugu zetu Tundu Lissu na John Heche.

Pia soma Pre GE2025 - Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi

Kwa ushindi wenu huu, hamwezi kujua ni kwa kiasi gani mmeamusha ARI na HAMASA mpya kabisa ya kukiunga mkono chama chenu kwa HALI NA MALI ZETU...

Tupo pamoja..
 
Tundu Lissu - Mwenyekiti mpya CHADEMA 2025 - 2029


John Heche Makamu Makamu Mwenyekiti mpya 2025 - 2029


Hongereni sana ndugu zetu Tundu Lissu na John Heche...

Kwa ushindi wenu huu, hamwezi kujua ni kwa kiasi gani mmeamusha ARI na HAMASA mpya kabisa ya kukiunga mkono chama chenu kwa HALI NA MALI ZETU...

Tupo pamoja..
Nawaona ccm wanavyohara, maana Lissu na Heche wote ni moto
 
Nawaona chichiemu wakitengua maamuzi waliyoyafanya juzi ya kumpiticha namba 1 ya bara na 1 ya visiwani kuwa wagombea.

Hesabu zimekataa
 
Tundu Lissu - Mwenyekiti mpya CHADEMA 2025 - 2029


John Heche Makamu Makamu Mwenyekiti mpya 2025 - 2029


Hongereni sana ndugu zetu Tundu Lissu na John Heche.

Pia soma Pre GE2025 - Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi

Kwa ushindi wenu huu, hamwezi kujua ni kwa kiasi gani mmeamusha ARI na HAMASA mpya kabisa ya kukiunga mkono chama chenu kwa HALI NA MALI ZETU...

Tupo pamoja..
Hongereni sana ndugu zetu Tundu Lissu na John Heche...

Kwa ushindi wenu huu, hamwezi kujua ni kwa kiasi gani mmeamusha ARI na HAMASA mpya kabisa ya kukiunga mkono chama chenu kwa HALI NA MALI ZETU...
 
Back
Top Bottom