Pre GE2025 Kauli ya Lissu kuwa CHADEMA siyo mama yake anaweza kuhama ni kiashiria cha uwezekano wa kuhama CHADEMA

Pre GE2025 Kauli ya Lissu kuwa CHADEMA siyo mama yake anaweza kuhama ni kiashiria cha uwezekano wa kuhama CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

PendoLyimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2014
Posts
969
Reaction score
1,055
Kauli ya Tundu Lissu kwamba "CHADEMA sio baba yake wala mama yake, hivyo ikitokea kuhama anaweza kuhama tu," inatoa ishara ya kuwa uhusiano wake na chama sio wa kihisia, bali ni wa kimaslahi na maamuzi yake yanaweza kubadilika kwa urahisi.

Hii inaweza kuwaudhi wanachama wa CHADEMA ambao wanaona chama hicho kama sehemu muhimu ya maisha yao ya kisiasa na wanatilia mkazo uaminifu na kujitolea kwa chama.

Pia soma: Lissu: CHADEMA ikiondoka kwenye misingi iliyonifanya nijiunge nacho, nitaondoka. CHADEMA siyo mama yangu wala dini yangu

Kauli hiyo pia inaweza kuchukuliwa kama ishara ya kutokuwa na imani thabiti na chama au kukosa uthabiti katika dhamira yake ya kisiasa.

 
Kauli ya Tundu Lissu kwamba "Chadema sio baba yake wala mama yake, hivyo ikitokea kuhama anaweza kuhama tu," inatoa ishara ya kuwa uhusiano wake na chama sio wa kihisia, bali ni wa kimaslahi na maamuzi yake yanaweza kubadilika kwa urahisi. Hii inaweza kuwaudhi wanachama wa Chadema ambao wanaona chama hicho kama sehemu muhimu ya maisha yao ya kisiasa na wanatilia mkazo uaminifu na kujitolea kwa chama. Kauli hiyo pia inaweza kuchukuliwa kama ishara ya kutokuwa na imani thabiti na chama au kukosa uthabiti katika dhamira yake ya kisiasa.
View attachment 3081917
Mchagga kilazza wewe🤣🤣
 
Kauli ya Tundu Lissu kwamba "Chadema sio baba yake wala mama yake, hivyo ikitokea kuhama anaweza kuhama tu," inatoa ishara ya kuwa uhusiano wake na chama sio wa kihisia, bali ni wa kimaslahi na maamuzi yake yanaweza kubadilika kwa urahisi. Hii inaweza kuwaudhi wanachama wa Chadema ambao wanaona chama hicho kama sehemu muhimu ya maisha yao ya kisiasa na wanatilia mkazo uaminifu na kujitolea kwa chama. Kauli hiyo pia inaweza kuchukuliwa kama ishara ya kutokuwa na imani thabiti na chama au kukosa uthabiti katika dhamira yake ya kisiasa.
View attachment 3081917
Nadhani Lissu kuna mambo ndani ya Chadema anayajua ndio maana amekuwa akitoa kauli zenye kukibomoa chama chake Gazeti la Nipashe la 28 August 2024 liliandika LISSU AHOFU PESA CHAFU KUPENYEZWA CHADEMA
 

Attachments

  • IMG-20240829-WA0748.jpg
    IMG-20240829-WA0748.jpg
    72.1 KB · Views: 4
Nadhani Lissu kuna mambo ndani ya Chadema anayajua ndio maana amekuwa akitoa kauli zenye kukibomoa chama chake Gazeti la Nipashe la 28 August 2024 liliandika LISSU AHOFU PESA CHAFU KUPENYEZWA CHADEMA
hakika chama kinaenda kufa hiki
 
Chadema Kwa Sasa inajiendesha nje ya misingi iliyokianzisha, mbowe kaifanya saccoss ya kujinufaisha yeye na babamkwe wake, lissu anabuy time tu muda wowote anatemana na chadema.
 
Kauli ya Tundu Lissu kwamba "Chadema sio baba yake wala mama yake, hivyo ikitokea kuhama anaweza kuhama tu," inatoa ishara ya kuwa uhusiano wake na chama sio wa kihisia, bali ni wa kimaslahi na maamuzi yake yanaweza kubadilika kwa urahisi. Hii inaweza kuwaudhi wanachama wa Chadema ambao wanaona chama hicho kama sehemu muhimu ya maisha yao ya kisiasa na wanatilia mkazo uaminifu na kujitolea kwa chama. Kauli hiyo pia inaweza kuchukuliwa kama ishara ya kutokuwa na imani thabiti na chama au kukosa uthabiti katika dhamira yake ya kisiasa.
View attachment 3081917
Muasisi wa maneno hayo ni Hayati baba wa Taifa Mwl. Nyerere na wala hakuwahi kuhama,
 
Kauli ya Tundu Lissu kwamba "Chadema sio baba yake wala mama yake, hivyo ikitokea kuhama anaweza kuhama tu," inatoa ishara ya kuwa uhusiano wake na chama sio wa kihisia, bali ni wa kimaslahi na maamuzi yake yanaweza kubadilika kwa urahisi. Hii inaweza kuwaudhi wanachama wa Chadema ambao wanaona chama hicho kama sehemu muhimu ya maisha yao ya kisiasa na wanatilia mkazo uaminifu na kujitolea kwa chama. Kauli hiyo pia inaweza kuchukuliwa kama ishara ya kutokuwa na imani thabiti na chama au kukosa uthabiti katika dhamira yake ya kisiasa.
View attachment 3081917
Kama chama kinaacja malengo ya kuanzishwa kwake ni sahihi kuachana nacho
 
Back
Top Bottom