Pre GE2025 Kauli ya Lissu kuwa CHADEMA siyo mama yake anaweza kuhama ni kiashiria cha uwezekano wa kuhama CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Haya mambo ya Lissu mbona yanatesa sana watu? akihama, ahame, akianzisha chama, aanzishe, akifanya chochote, afanye. Dunia haita acha kuzunguka- itaendelea tu na sisi kama wapangaji wake tuaendelea kupata uroda wa mzunguko huo...Kumbuka kwamba Dunia (Sayari yetu) 1.3 million ndio zinaweza kujaza ujazo wa Jua moja. Tanzania ni Kubwa kuliko mtu mmoja mmoja... akiondoka Lissu ( Kwa kifo au kwa ku-staafu) ... Vyama na nchi vitaendelea kuwepo tu... sasa acheni kumukuza sana bila maana yeyote ile... leo ma thread ya Lissu kuhama yamezidi sana humu ndani ...munatumalizia tu bando/data kusoma haya mambo ya kijinga jinga.
 
Wewe manka tangu lini ukawa na uhusiano wa kihisia na CCM kama siyo maslahi yako binafsi?
 
Kum.anina wewe watu wamemfatilia lissu ITV kafafanua kila ktu we unaleta usengerema humu hv huko ccm watu akili huwa mnapeleka wp yan mnaona watz n mambumbu sn hata miaka hii ya utandawaz taarifa znavyopatkana kila mahali tena kwa uharaka bado mnaamin propaganda znaweza wapotosha watu ujinga huu tafuta wazee wazee huko vijijin ndo uwaambie haya mala.ya wewe.
 
Kwahiyo Nyerere aliposema hivyo alihama? Tumia muda wako vizuri hata kwa kuuza mchunga.
 
Je Uwenyekiti wa Mh. Mbowe mmeukatia tamaa? Maana sasa nguvu ni Lissu kwenda CCM.
 
Mbona alieleza vizuri tu na akaeleweka na alidondoa (quote) maneno ya Mwalimu Nyerere, ambaye naye alisema vivyo hivyo, na hakuwahi kukihama chama chake licha ya kwamba alikuwa akikikosoa? Labda ujenge hoja yako kivingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…