PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 969
- 1,055
- Thread starter
-
- #41
maneno haya wambie wenye chama chao nadhani watakuelewa sanaHaya mambo ya Lissu mbona yanatesa sana watu? akihama, ahame, akianzisha chama, aanzishe, akifanya chochote, afanye. Dunia haita acha kuzunguka- itaendelea tu na sisi kama wapangaji wake tuaendelea kupata uroda wa mzunguko huo...Kumbuka kwamba Dunia (Sayari yetu) 1.3 million ndio zinaweza kujaza ujazo wa Jua moja. Tanzania ni Kubwa kuliko mtu mmoja mmoja... akiondoka Lissu ( Kwa kifo au kwa ku-staafu) ... Vyama na nchi vitaendelea kuwepo tu... sasa acheni kumukuza sana bila maana yeyote ile... leo ma thread ya Lissu kuhama yamezidi sana humu ndani ...munatumalizia tu bando/data kusoma haya mambo ya kijinga jinga.
Tafsir yake ni kwamba chadema ni chama cha wachagaHili jina ni lako au umekopi mahali?
Duh! Aisei Lissu kiboko! ๐๐๐Kauli ya Tundu Lissu kwamba "CHADEMA sio baba yake wala mama yake, hivyo ikitokea kuhama anaweza kuhama tu," inatoa ishara ya kuwa uhusiano wake na chama sio wa kihisia, bali ni wa kimaslahi na maamuzi yake yanaweza kubadilika kwa urahisi.
Hii inaweza kuwaudhi wanachama wa CHADEMA ambao wanaona chama hicho kama sehemu muhimu ya maisha yao ya kisiasa na wanatilia mkazo uaminifu na kujitolea kwa chama.
Pia soma: Lissu: CHADEMA ikiondoka kwenye misingi iliyonifanya nijiunge nacho, nitaondoka. CHADEMA siyo mama yangu wala dini yangu
Kauli hiyo pia inaweza kuchukuliwa kama ishara ya kutokuwa na imani thabiti na chama au kukosa uthabiti katika dhamira yake ya kisiasa.
wewe ndio unasema ila chama kina mpasuko mkubwa tuAkili yako haina akili๐
Una siasa za maji taka. Lissu amenyooka sana tu
kichwa chako kimejaa maji kama jina lako.Unadhihirisha ulivyo mbwa kwa maana zote mbili: yaani mbwa mnyama anayegawa uroda kwa kila anayempanda na mbwa mtu usiye na maadili!
Una uelewa mdogo sana. Lisu alishafafanua hilo. Hizi shule za kata hiziKauli ya Tundu Lissu kwamba "CHADEMA sio baba yake wala mama yake, hivyo ikitokea kuhama anaweza kuhama tu," inatoa ishara ya kuwa uhusiano wake na chama sio wa kihisia, bali ni wa kimaslahi na maamuzi yake yanaweza kubadilika kwa urahisi.
Hii inaweza kuwaudhi wanachama wa CHADEMA ambao wanaona chama hicho kama sehemu muhimu ya maisha yao ya kisiasa na wanatilia mkazo uaminifu na kujitolea kwa chama.
Pia soma: Lissu: CHADEMA ikiondoka kwenye misingi iliyonifanya nijiunge nacho, nitaondoka. CHADEMA siyo mama yangu wala dini yangu
Kauli hiyo pia inaweza kuchukuliwa kama ishara ya kutokuwa na imani thabiti na chama au kukosa uthabiti katika dhamira yake ya kisiasa.
sio Mbowe???Tanzania hii humpati mtu hasa mwanasiasa mkweli kama Lissu