Kauli ya Magufuli kuwa Kabudi na Lukuvi hawatagombea Urais haikuwa ya ghafla, ilipangwa siku nyingi na ndio mwanzo wa mgogoro ndani ya CCM

Kauli ya Magufuli kuwa Kabudi na Lukuvi hawatagombea Urais haikuwa ya ghafla, ilipangwa siku nyingi na ndio mwanzo wa mgogoro ndani ya CCM

Exactly! Kama ambavyo Kikwete alijua wazi Mwandosya akimrithi uraisi hatakaa amsikilize kamwe, ndivyo Magufuli anajua kamba Kabudi au Lukuvi wakimrithi uraisi hawatakaa wamsikilize kamwe! Kwa hiyo kama vile Kikwete alijua Member ndie atamwezesha ku-prolong enzi yake, ndivyo ambavyo Magufuli anatafuta kijana wa ku-prolong enzi zake, ila jina bado kaliweka mfukoni.
Majaliwa Kassim Majaliwa kubwa la maadui....bandika bandua, mboga ya moto Ugali wa moto, anatoka Jiwe aningia chuma cha reli, wapenzi wa kuishi kwa mazoea wakahamie Mogadishu. Kosa la Kikwete haliwezi kutokea tena kwa Magu!
 
Very sad. Wamekosa sifa gani? Kwani katiba inasema anayezidi umri gani ndio asigombee urais?
Inasikitisha sana rais wa nchi badala ya kuchaguliwa na wananchi, tunachaguliwa na Mwenyekiti wa CCM
Haijaandikwa popote ila si busara mtu mwenye miaka 80 kupewa nafasi za kugombea Urais kwa nchi haza za afrika wengi wanakua wameshaanza kushambuliwa na Magonjwa na Urais ni kazi kubwa sanaaa inahitaji mtu ambaye anajiweza kiafya
 
Haijaandikwa popote ila si busara mtu mwenye miaka 80 kupewa nafasi za kugombea Urais kwa nchi haza za afrika wengi wanakua wameshaanza kushambuliwa na Magonjwa na Urais ni kazi kubwa sanaaa inahitaji mtu ambaye anajiweza kiafya
Cellina combani na 6 walikuwa na afya mbovu?
 
Mkuu,

Kwa hiyo ndio wamekutuma kuwasemea Kabudi na Lukuvi?

Tangu lini wewe mwenye itikadi kinzani na haumo kwenye mfumo wao hao CCM tamko la Mh Dkt Magufuli likakuumiza sana?
Wewe bwana acha ushamba wako hapa. Suala la kufanya analysis ya mambo yanayotokea ni la kawaida sana. Kama huna exposure hiyo kaa kimya. Hata unapoangalia news kama CNN, BBC, nk, watu kuhojiwa na kufanya analysis ni kitu cha kawaida, na hilo ndilo ninalofanya hapa.

Watu wanapofanya analysis juu ya Trump, Biden nk, wanatumwa na kina Trump kuwasemea?

Mie nimetoa maoni yangu, analysis yangu, sasa eidha jibu hoja kwa hoja au toa upuuzi wako hapa kwamba Kabudi na Lukuvi hawajanituma kuwasemea. Kama hujui mambo ya political analysis nenda kacheze mdundiko huko tuachia uwanja tunaoyaelewa.
 
Haijaandikwa popote ila si busara mtu mwenye miaka 80 kupewa nafasi za kugombea Urais kwa nchi haza za afrika wengi wanakua wameshaanza kushambuliwa na Magonjwa na Urais ni kazi kubwa sanaaa inahitaji mtu ambaye anajiweza kiafya
Acha kututukana Waafrika. Kwanza Kabudi na Lukuvi watakuwa na umri gani baada ya miaka minne? Mandela je, alikuwa na umri gani alipoacha? Na Nyerere?
 
Lukuvi hana alikotoka maana hana taaluma yoyote, hakuna taaluma ya ukuu wa mkoa, kwa hiyo hana pa kurudi. Hawa wawili inabidi wawe watiifu tu, hakuna namna.
Kabudi ni Prof. wa Sheria, alipata first class ya LLB pale UDSM, kaenda hadi PhD sheria za kimataifa. Lukuvi "anasema" ana MBA - labda MBA za mtandaoni kama sikosei maana nilisikia sio MBA halisi. Magufuli ana PhD ya chemistry (mambo ya kubangua korosho au kutumia mafuta ya mabangulio ya korosho)

Sasa niambie, yupi kati ya hawa angalau taaluma yake ingempa sifa za kuwa Rais?
 
Kabudi ni Prof. wa Sheria, alipata first class ya LLB pale UDSM, kaenda hadi PhD sheria za kimataifa. Lukuvi "anasema" ana MBA - labda MBA za mtandaoni kama sikosei maana nilisikia sio MBA halisi. Magufuli ana PhD ya chemistry (mambo ya kubangua korosho au kutumia mafuta ya mabangulio ya korosho)

Sasa niambie, yupi kati ya hawa ngalau taaluma yake ingempa sifa za kuwa raisi?
Labda ndio maana Magufuli alisema tutabangua korosho za Mtwara hata kwa meno, naona ana utalaamu sana wa hii shughuli, PhD! Na hata wananchi anatubangua kama korosho!😀
 
Kabudi is very very intelligent. Anajua kujishusha ili akwezwe. Hivyo hiyo yote ni strategy. Nimewahi kuwa na Kabudi. He is very calculating. Hivi unaona mtu kama Kabudi kusema yeye ni mtu wa jalalani inaendana na profiling yake ya kuwa cocky na pompous? Anasema hivyo ili kujijenga. Ni strategy ili kumpa confidence Magufuli kuwa ni kitwana wake na pia kuwafanya watu waone ni mneyeyekevu sana. Ndio maana nikasema Kabudi anaweza kujitoa akili na maarifa (wisdom and intelligence) kwa muda mfupi ili kutimiza lengo la muda mrefu.
Hakuna intelligent yoyote pale kwa Kabudi. Ni mjinga wa kawaida sana mwenye utitiri wa vyeti vya darasani. Kwenye siasa na maisha, IQ ya Kabudi huenda hata iko below the average.

Acha kufananisha Ujinga na Unyenyekevu. Kumnyenyekea mtu asiyeweza kujali utu na uhalisia ni ujinga mkubwa.

Kabudi amekubali kutumika na mwisho wa siku atatupwa jalalani.
 
Hakuna intelligent yoyote pale kwa Kabudi. Ni mjinga wa kawaida sana mwenye utitiri wa vyeti vya darasani. Kwenye siasa na maisha, IQ ya Kabudi huenda hata iko below the average.

Acha kufananisha Ujinga na Unyenyekevu. Kumnyenyekea mtu asiyeweza kujali utu na uhalisia ni ujinga mkubwa.

Kabudi amekubali kutumika na mwisho wa siku atatupwa jalalani.
Mmmh, Mkuu, una sifa kweli za kum-judge Kabudi kuwa mjinga ikiwa unasema hakuna intelligent yoyote pale kwa Kabudi?
 
Mmmh, Mkuu, una sifa kweli za kum-judge Kabudi kuwa mjinga ikiwa unasema hakuna intelligent yoyote pale kwa Kabudi?
Kabudi ni mjinga hasa, labda kama na wewe ni mjinga pia huwezi kujuwa wajinga wanafananaje.

Hata Lipumba ni profesa na mchumi.
 
Mkuu Bujibuji, sio kwamba wamekosa sifa. Kama ni umri angalia Ali Hassan Mwinyi alikuwa na umri gani alipokuwa Raisi wa Tanzania. Kina Joe Bidden wana umri gani?

Haki ya umri aliyo nayo Magufuli ni katika kuunda baraza lake la mawaziri. Ana uhuru wote hapo, hata kuchagua mawaziri wanaovalia suruali matakoni. Lakini suala la raisi ajae atakuwa na umri gani sio lake kabisa, ni la CCM na wananchi kwa ujumla.

Suala la umri Magufuli anatumia kama kisingizio tu cha kutaka kuwaondoa Kabudi na Lukuvi mapema kwenye kinyang'aniro cha raisi ajae ili amtengenezee njia mtu wake. Sasa utaona reaction ya chini chini ndani ya CCM, na pia reaction ya Kabudi na Lukuvi. Ni vita!

Uko sahihi kabisa Mkuu.! Mzee baba kazingua kulitamka hadharani. Kama alikuwa na mpango huo toka mwanzo angenyamaza na akamaliza kazi mapema kwa muandaa kijana anayetaka awe Rais baada ya yeye.
 
Kwa huyu Sidhani kama kuna fisi itakurupuka.

Kwanza wanaochagua Rais ni wasiojulikana,huu mgogoro CCM unatoka wapi?
Very sad. Wamekosa sifa gani? Kwani katiba inasema anayezidi umri gani ndio asigombee urais?
Inasikitisha sana rais wa nchi badala ya kuchaguliwa na wananchi, tunachaguliwa na Mwenyekiti wa CCM
 
Kwa huyu Sidhani kama kuna fisi itakurupuka.

Kwanza wanaochagua rais ni wasiojulikana,huu mgogoro CCM unatoka wapi?
Mkuu usisahau Magufuli alikuja kuwa Rais kutokana na mgogoro ndani ya CCM katika kumtafuta mrithi wa Kikwete!
 
Kabudi ni mjinga hasa, labda kama na wewe ni mjinga pia huwezi kujuwa wajinga wanafananaje.

Hata Lipumba ni profesa na mchumi.
Mkuu, sasa wewe hata kiswahili kinakushinda bado unawasifia wenzako ujinga. Mtu anawezaje kuwa professor na mjinga?
 
Hahaha kwanini asiwe Angela Kairuki?! Ni mweupe na mzigo wa haja pia!
Watu walimpigia kura Magufuli kwa push up to, mie jamani aje kwenye kampeni atikise tu ule mzigo kidogo akiuliza wapinzani taarabu imo, sio kura yangu tu, hata za kukopa kwa wengine nitampa!!!!!
 
Exactly! Kama ambavyo Kikwete alijua wazi Mwandosya akimrithi uraisi hatakaa amsikilize kamwe, ndivyo Magufuli anajua kamba Kabudi au Lukuvi wakimrithi uraisi hawatakaa wamsikilize kamwe! Kwa hiyo kama vile Kikwete alijua Membe ndie atamwezesha ku-prolong enzi yake, ndivyo ambavyo Magufuli anatafuta kijana wa ku-prolong enzi zake, ila jina bado kaliweka mfukoni.

Kijana atakaye mrithi mzee baba ni Suleiman Jafo au Hussein Mwinyi

Hao wawili ndio talk in town.
 
Hahahah! I say siasa bwana, acha tu. Unanikumbusha enzi za zamani wafalme kulazimisha binti zao kuolewa na mtoto wa ufalme fulani ili kutafuta kuungwa mkono! Yaani, kama Alfu Lela Ulela vile!
Yeah ndio siasa ilivyo maisha ya siasa ni kizungumkuti sana 😂
 
Hahahah! I say siasa bwana, acha tu. Unanikumbusha enzi za zamani wafalme kulazimisha binti zao kuolewa na mtoto wa ufalme fulani ili kutafuta kuungwa mkono! Yaani, kama Alfu Lela Ulela vile!
Yeah ndio siasa ilivyo maisha ya siasa ni kizungumkuti sana 😂
 
Back
Top Bottom