Kauli ya Mbowe huenda tukaona mengi zaidi ya Viti Maalum

Kauli ya Mbowe huenda tukaona mengi zaidi ya Viti Maalum

Huo ndio mwisho wa watanzania wajinga yaani CCM CHADEMA CCM CHADEMA full ufala. Low brains
 
Acha siasa za vijiwe kijana! mimi nimehesabu kura Arumeru, kura alizopata Lissu ilikua ni aibu ni basi tu ile kubalance. Kwa sasa hata CCM ikisema inaconduct free and fair election i am 100% confident to tell you hata mkiungana vyama vyote vya upinzani bado kuitoa CCM haiwezekani, inshort hakuna chama kinaweza kuitoa CCM! ukiachana na figisu zilizofanyika baadhi ya sehemu lakini hata nnaowafaham waliohesabu sehemu nyingi zingine mfano Hai hakukuwa hata na sababu ya kubisha maaana mlishindwa vibaya!

- ndo maaana lissu saaahv amebaki anagombania haki za binadam badala ya kura zake
Tutajie fact za kituo chako!
 
Huo ndio mwisho wa watanzania wajinga yaani CCM CHADEMA CCM CHADEMA full ufala. Low brains

Hahaha unakwama wap kwan mkuu, mbna ccm mambo yamenyooka tu kila baada ya miaka 10 anakuja mwenyekiti mpya!
 
Acha siasa za vijiwe kijana! mimi nimehesabu kura Arumeru, kura alizopata Lissu ilikua ni aibu ni basi tu ile kubalance. Kwa sasa hata CCM ikisema inaconduct free and fair election i am 100% confident to tell you hata mkiungana vyama vyote vya upinzani bado kuitoa CCM haiwezekani, inshort hakuna chama kinaweza kuitoa CCM! ukiachana na figisu zilizofanyika baadhi ya sehemu lakini hata nnaowafaham waliohesabu sehemu nyingi zingine mfano Hai hakukuwa hata na sababu ya kubisha maaana mlishindwa vibaya!

- ndo maaana lissu saaahv amebaki anagombania haki za binadam badala ya kura zake
Ccm hiyo inayojiamini kushinda kwa kishindo. Mbona inatumia hila kupitia vyombo vya dola na vya maamuzi . Haiwezi kushinda bila msaada wa dola.
 
Back
Top Bottom