KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Mbona Magufuli anaipenda CCM hadi kajitaifishia. Utampenda vipi halafu usipende anachokipenda yeye!Huo ndo ukweli sio mada ya mtu anaependa CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Magufuli anaipenda CCM hadi kajitaifishia. Utampenda vipi halafu usipende anachokipenda yeye!Huo ndo ukweli sio mada ya mtu anaependa CCM
Since when?
Mlishafanya maamuzi ya kiCCM humo kwenye vikao vyenu kuhusu wanachama wenu mwanachadema yeyote akafatilia kwa ushabiki wowote?
Ila CCM sasa,kila saa all over Chadema's business...
Halafu mnajifanya eti mnaishauri Chadema mnaipenda sana,y'all niggas are crazy!
Sema ukweli ulihesabu kura Arumeru ipi mbinu zote za Arumeru tunazijua Nini kilifanyikaAcha siasa za vijiwe kijana! mimi nimehesabu kura Arumeru, kura alizopata Lissu ilikua ni aibu ni basi tu ile kubalance. Kwa sasa hata CCM ikisema inaconduct free and fair election i am 100% confident to tell you hata mkiungana vyama vyote vya upinzani bado kuitoa CCM haiwezekani, inshort hakuna chama kinaweza kuitoa CCM! ukiachana na figisu zilizofanyika baadhi ya sehemu lakini hata nnaowafaham waliohesabu sehemu nyingi zingine mfano Hai hakukuwa hata na sababu ya kubisha maaana mlishindwa vibaya!
- ndo maaana lissu saaahv amebaki anagombania haki za binadam badala ya kura zake
Fun au fan?Aiseee mimi ni mwanachi wa kawaida, ni fun wa Magufuli zaidi ya chama sasa tukiwapa ushauri unaanza tena siasa
Kila anayepingana na huu utawala mbovu ni CHADEMA?hahaha chadema mnajionaga sjui ndo mna akili peke yenu hii nchi, nyie ni madosho tu kama hamjijui!
Aliyeleta ni mpuuzi wa CCM kama wewe mkuutumuwaze kwa lipi sasa mkuu, mada apo ni matamko ya mbowe hayahsiani chochote na ccm
si mmeshinda asilimia 100 mnacho angaika kuwa weka kina mzee mdee ni nn hasa si mlitaka muwe watupu bungeni ni nini kinawaangaisha saizi??Katika pita pita zangu nikakutana na hii kauli ya Mbowe ambayo inachukuliwa kawaida sana ila ina kufikirisha ndani yake, huenda ikatoa majibu mengi kuhusu swala la viti maalum.
chama cha bamkwe atakihujumu vp,mzee mtei kule ushirombo anaona washavuruga mahesabu tunduka katundulika kaharibu katoka baru sa hii wanataftana uchawi.Mbowe huyo!
Sema ukweli ulihesabu kura Arumeru ipi mbinu zote za Arumeru tunazijua Nini kilifanyika
si mmeshinda asilimia 100 mnacho angaika kuwa weka kina mzee mdee ni nn hasa si mlitaka muwe watupu bungeni ni nini kinawaangaisha saizi??
naona hamlali saizi et?? Ndio mmeshtuka mlicho kifanya ni upumbavu et?
msaidieni maji kijana huyuMtu akikupinga ni shudu?
Kwahiyo mtu akikubaliana na wewe kila kitu ndio sio shudu?
What a convenience aisee!
Wewe kua upinzania zamani has got nothing to do with today mzee
Ulikua upinzani zamani kama Dr Mkumbo au Mashinji and other stupid motherfvckers,they were but not now!
Nasemea leo,wewe leo ni mwana Magufuli,you have no or zero interest in making Chadema any good!
Kujifaragua hapa eti unaipenda Chadema the same time wewe ni bwana Magufuli ni kutukana our inteligence na uongo wa mchana peupe!
Kua mkweli na uache unafiki wewe...
Sina mada wewe ndio una mada?What do you have?Mada za kinafiki kujifanya kuishauri Chadema nonsenses?Ndio mada mufilisi hizo?
Mkuu, hiyo ni sawa na mtu kusema anampenda lissu lakini hapendi ushoga, haiwezekani. Huwezi tenganisha hao wawili 🤣🤣🤣Mpenda Magufuli ni mpenda CCM...huwezi tenganisha mambo hayo mawili
Kama umesoma utakuwa hujafanya research kwa kiwango chochote ulichosoma.Acha siasa za vijiwe kijana! mimi nimehesabu kura Arumeru, kura alizopata Lissu ilikua ni aibu ni basi tu ile kubalance. Kwa sasa hata CCM ikisema inaconduct free and fair election i am 100% confident to tell you hata mkiungana vyama vyote vya upinzani bado kuitoa CCM haiwezekani, inshort hakuna chama kinaweza kuitoa CCM! ukiachana na figisu zilizofanyika baadhi ya sehemu lakini hata nnaowafaham waliohesabu sehemu nyingi zingine mfano Hai hakukuwa hata na sababu ya kubisha maaana mlishindwa vibaya!
- ndo maaana lissu saaahv amebaki anagombania haki za binadam badala ya kura zake
Mlianza kuharibu yangu serikali za mitaa.kwenye miziziAcha siasa za vijiwe kijana! mimi nimehesabu kura Arumeru, kura alizopata Lissu ilikua ni aibu ni basi tu ile kubalance. Kwa sasa hata CCM ikisema inaconduct free and fair election i am 100% confident to tell you hata mkiungana vyama vyote vya upinzani bado kuitoa CCM haiwezekani, inshort hakuna chama kinaweza kuitoa CCM! ukiachana na figisu zilizofanyika baadhi ya sehemu lakini hata nnaowafaham waliohesabu sehemu nyingi zingine mfano Hai hakukuwa hata na sababu ya kubisha maaana mlishindwa vibaya!
- ndo maaana lissu saaahv amebaki anagombania haki za binadam badala ya kura zake
Umenikumbusha bwashee. Si nyie mliopewa order na wakurugenzi watendaji wa halmashauri muwaongezee ma "0" wagombea wa ccm kwa malipo ya Tsh. 70,000/=Acha siasa za vijiwe kijana! mimi nimehesabu kura Arumeru, kura alizopata Lissu ilikua ni aibu ni basi tu ile kubalance. Kwa sasa hata CCM ikisema inaconduct free and fair election i am 100% confident to tell you hata mkiungana vyama vyote vya upinzani bado kuitoa CCM haiwezekani, inshort hakuna chama kinaweza kuitoa CCM! ukiachana na figisu zilizofanyika baadhi ya sehemu lakini hata nnaowafaham waliohesabu sehemu nyingi zingine mfano Hai hakukuwa hata na sababu ya kubisha maaana mlishindwa vibaya!
- ndo maaana lissu saaahv amebaki anagombania haki za binadam badala ya kura zake
Famba hizofor security reasons i wont!
Huyo kasema ukweli, hakuna chama cha kukishinda ccmMaandishi kutoka kwa mtu anayejiita si mwanaccm!!