Kauli ya Mbowe huenda tukaona mengi zaidi ya Viti Maalum


we nawe acha shudu, kwan unadhan before tulikua ccm? si tulianza upinzani kama nyie tu ila tukabadilisha maamuzi! sasa wewe kaama hauna mada pita kule
 
Sema ukweli ulihesabu kura Arumeru ipi mbinu zote za Arumeru tunazijua Nini kilifanyika
 
Katika pita pita zangu nikakutana na hii kauli ya Mbowe ambayo inachukuliwa kawaida sana ila ina kufikirisha ndani yake, huenda ikatoa majibu mengi kuhusu swala la viti maalum.

si mmeshinda asilimia 100 mnacho angaika kuwa weka kina mzee mdee ni nn hasa si mlitaka muwe watupu bungeni ni nini kinawaangaisha saizi??
naona hamlali saizi et?? Ndio mmeshtuka mlicho kifanya ni upumbavu et?
 
Sema ukweli ulihesabu kura Arumeru ipi mbinu zote za Arumeru tunazijua Nini kilifanyika

in simple tone, there was no way huu uchaguzi mngeshinda, hata mngeungana vyama vyote vya upinzani for what i saw bado hakuna hata % yoyote mlikua mshinde
 
si mmeshinda asilimia 100 mnacho angaika kuwa weka kina mzee mdee ni nn hasa si mlitaka muwe watupu bungeni ni nini kinawaangaisha saizi??
naona hamlali saizi et?? Ndio mmeshtuka mlicho kifanya ni upumbavu et?

chadema bana! huu utopolo wako unahusiana vp na thread hii? hujui kusoma ama
 
msaidieni maji kijana huyu
 
Kama umesoma utakuwa hujafanya research kwa kiwango chochote ulichosoma.
 
Mlianza kuharibu yangu serikali za mitaa.kwenye mizizi
 
Umenikumbusha bwashee. Si nyie mliopewa order na wakurugenzi watendaji wa halmashauri muwaongezee ma "0" wagombea wa ccm kwa malipo ya Tsh. 70,000/=
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…