Kauli ya mbunge Sugu kwamba CCM inachukua watu "Wajinga wajinga" kutoka CHADEMA siyo ya kiungwana

Kauli ya mbunge Sugu kwamba CCM inachukua watu "Wajinga wajinga" kutoka CHADEMA siyo ya kiungwana

Kwani ujinga ni tusi? Mjinga nimtu asiyeelewa Jambo Ila akieleweshwa anaelewa,kuwa shabiki wasimba hakukufanyi usitambue uwezo bora wayanga lakini kuhama Simba kwenda yanga ndiohoja kuu ulizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
johnthebaptist, Mjinga ni yule anashawishi ujinga kufanyika, katika hili KK hakwepi sifa hii. Nenda Tanzania Visiwani nenda sehemu yoyote ile kwenye siasa makini za ushindani, huwezi kukuta ujinga kama huu wa kuwanunua wapinzani wako ili waunge juhudi.

Upuuzi huu umeandikwa kwa wino wa "kinyesi cha kitimoto" ambao watoto na wajukuu wao watakuja kuwadharau daima, upuuzi ambao waasisi wa taifa letu ijapokuwa walikuwa ndio waasisi wa CCM, lkn katu wasingelithubutu kuutenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa. Ni kama historia ya Sultani Mangungo! Kama tunavyosoma historia ya vyama kama TANU, ASP nk, hayo pia yatasomwa na vizazi vyetu, hata kama watafanikiwa kuuwa kabisa upinzani. Kilangila.
 
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Acha ujinga na dharau, Haji Manara hazungumzi ujinga. Mama yako ndio anazungumza ujinga.
 
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Sugu bangi hazijamuisha kichwani, mjinga utampa ukatibu mkuu wa Chama? Utampa kugombea Urais wa nchi? Utampa kugombea Ubunge?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Sio wajinga tu ni malofa wakubwa.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni zaidi ya wajinga wajinga, yani kiongozi wa upinzani kashinda kwa shida kasababisha mpaka kuna watu wamekua vilema kwa kulinda kura ila mwisho wa siku anakubali kuachia jimbo au kata kwa kuunga mkono juhudi tena kipindi hichi tunachokaribia uchaguzi mkuu. Sasa huyu aitweje zaidi ya mjinga mjinga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Hivi ukiitwa mjinga na lofa lipi kwako utalifurahia ?
 
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Lini sugu alikuwa na uungwana
 
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Kumbe Hajji Manara ni MHUNI???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani bora angesema ccm inanunua wapumbavu maana hakuna maneno mazuri ya kusifia huu uchafu
 
Ni hapo tuu ndipo Chadema, viongozi wake, wanachama wake na manazi wa Chadema they got it wrong, hawana uwezo wa kutafakari na kuchukua hatua!.

Tangu ule waraka wa mabadiliko, ulikuwa na hoja za msingi sana, Chadema haina watu wenye uwezo huo.

Kati ya wanaondoka Chadema, ni kweli kuna malaya wa kisiasa ambao wanaondoka kwa umalaya malaya baada ya kutongozwa, lakini pia kuna wanaoondoka Chadema kwa kujitambua. Hawa wanaoondoka Chadema kwa kujitambua, kwanza huwaaga rasmi na kuwaambia makosa yenu, mmoja wao ni Dr. Slaa, mpaka sasa hajajiunga CCM, labda awe amerudi kwa siri. Na baada ya kuwaeleza ukweli, hutakaa uwasikie wakiibeza tena Chadema kwa lolote.

Mfano Lawrence Masha alipoondoka, aliwaandikia barua rasmi ya kuaga na akaeleza hoja zake, nami nikawasisitiza humu

P
Neno “kujitambua”, umelitumia sehemu isiyostahili kwa maoni. Labda kutoka ccm ndo kujitambuwa.

Kwani walipoingia chadema walikuwa “hawajitambui”?

Pia sidhani kama ni sahihi kuwajumuisha Dr Slaa na Masha kwenye umalaya malaya huu unaondelea mkuu.
 
Sugu bangi hazijamuisha kichwani, mjinga utampa ukatibu mkuu wa Chama? Utampa kugombea Urais wa nchi? Utampa kugombea Ubunge?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjinga huwezi kumwelewa mpaka pale anapofanya mambobya kijinga. Unaweza kumpa mtu uongozi ukiamini ana uelewa lakini atakavyotenda, ndiyo utajua kama ana uelewa au ni mjinga.

Kuchaguliwa kuwa mbunge, Rais, diwani, Mwenyekiti, Katibu, n.k. haimaanishi kuwa ni mtu mwenye weledi. Bali atakavyotenda ndipo utajua kama mliyemchagua ni mwerevu au ni mjinga, mnafiki, fisadi au mwongo.
 
Huyu mbunge si ndio yule aliyefanya vurugu bungeni akatolewa nje na askari wa Bunge??

Kauli yake ni mbovu mno.

Mbeya wanahasara.
 
Back
Top Bottom