Kauli ya mbunge Sugu kwamba CCM inachukua watu "Wajinga wajinga" kutoka CHADEMA siyo ya kiungwana

Kauli ya mbunge Sugu kwamba CCM inachukua watu "Wajinga wajinga" kutoka CHADEMA siyo ya kiungwana

Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
yaani hata yeye anatamani muda wowote ahamie ccm ila tu tatizo habakishagi akiba ya maneno ndiyo maana hana chakusema siku ya kuhamia ccm na ukizingatia na jimbo tayari ni la dadayetu sijui atyarudi kuimba?
 
wanyakyusa kwa maneno ya karaha hawajambo. Unaweza tolewa neno zito yeye anaona ni lepesi, hapo shughuri kwa mpokeaji sasa 😛
 
yaani hata yeye anatamani muda wowote ahamie ccm ila tu tatizo habakishagi akiba ya maneno ndiyo maana hana chakusema siku ya kuhamia ccm na ukizingatia na jimbo tayari ni la dadayetu sijui atyarudi kuimba?
Atahamiaje wakati yeye siyo mjinga? Huko wanahamia wajinga tu,huelewi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1582810713979.png
1582810713979.png
 
Neno “kujitambua”, umelitumia sehemu isiyostahili kwa maoni. Labda kutoka ccm ndo kujitambuwa.

Kwani walipoingia chadema walikuwa “hawajitambui”?

Pia sidhani kama ni sahihi kuwajumuisha Dr Slaa na Masha kwenye umalaya malaya huu unaondelea mkuu.
Kama umenisoma vizuri, nimesema kuna wahamaji Chadema wa aina mbili,
1. Wanasiasa malaya malaya wanaohama Chadema kwa kutongozwa, hivyo kuhamia CCM kwa umalaya malaya.
2. Kuna wanasiasa ambao wamejitambua, hawa are men of principles, wamekaa Chadema wakaiona Chadema inakwenda mrama, wakataka kuisaidia haisaidiki, wakajiondokea tena kwa kuaga rasmi na kamwe huwawasikia waiitukana Chadema au kuibeza. Hili ndlo kundi la Dr. Slaa na Masha

Naendelea kusisitiza
P
 
Kama umenisoma vizuri, nimesema kuna wahamaji Chadema wa aina mbili,
1. Wanasiasa malaya malaya wanaohama Chadema kwa kutongozwa, hivyo kuhamia CCM kwa umalaya malaya.
2. Kuna wanasiasa ambao wamejitambua, hawa are men of principles, wamekaa Chadema wakaiona Chadema inakwenda mrama, wakataka kuisaidia haisaidiki, wakajiondokea tena kwa kuaga rasmi na kamwe huwawasikia waiitukana Chadema au kuibeza. Hili ndlo kundi la Dr. Slaa na Masha

Naendelea kusisitiza
P

Ukweli unauma Brather
 
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu Yohane Mbatizaji, kwa ruhusa yako, naomba kutumia bandiko lako hili kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.
P
 
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Ukiona vipi nawe ni mjinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo.mbona lipo wazi kabisa. nani mwenye akili katoka CDM...taja
 
We mtoa mada una wadhalilisha wamatengo wenzako wa mbinga kwa kua unaandika vitu vya hovyo
 
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Pia nimemsikia akisema bashiru anachukua wanaopigiwa kura sio wapiga kura! Nimemuelewa sana. Ronaldo alipoondoka madrid kwenda Juventus alienda yy kama yy. Fans walibaki madrid.
Maendeleo hayana vyama ila bila kujali maendleo ya watu na kujali vitu ni ujuha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa jamaa hawana huruma wala roho ya ubinadam ndg zao wameumizwa kuuwawa,kuteswa lkn bado wanaenda kuunga juhud hata kwa akili ya kuku haingii akilin inamaana kuna viongoz wa cdm walienda cdm kufuata maslahi na sio kuwapigania watanzania wenzao. Inasikitisha kuona mmepambana miaka mingi hafu mnakuja kuunga juhud mwishon kabisa kisa ugum wa maisha wkt kunawenzenu wamekuwa vilema,kufa lkn waliosalimika wanapambana lkn sio wa kuwalaum hata yesu alisalitiwa njian ktk ukomboz
 
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Kuwaita wajinga amewastahi sana neno linaloendana nao ni "malaya wa kisiasa"
Mijitu ikiaminiwa na wananchi wa maeneo yao kumbe sii yakuaminiwa hata kidogo. Yamewasaliti waliowachagua kwa mlo wa dengu wakijificha kwenye kivuli cha kipumbavu cha kuunga juhudi.
Kwani wale waliowapa dhamana mlioiuza sasa kwa njaa zenu binafsi hawakuiona hiyo juhudi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kweli,ndio maana bado kuna wajinga alafu mnaendelea kuwachekea toeni wajinga wote ili werevu wabaki.
Haiwezekani kila siku mnasumbuliwa na wajinga,LA sivyo mtaonekana na ninyi ni wajinga kukaa na wajinga.
Sio wajinga tu,bali ni zaidi ya wajinga.
a
 
Back
Top Bottom