gTurn
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 2,651
- 4,151
mchezo huu hapa ndio sisi tunasubiri kwa hamu sababu ya kumuengua hatukatai kuenguliwa ila sababu basiiKama unafuatilia vizuri, Magufuli, Membe, Lissu... wote wamekusanya watu kwa degree tofauti kipindi hiki. Labda sasa uniambie tu kwamba sheria inasema ukiwakusanya mara moja ama mbili siyo kosa.