Uchaguzi 2020 Kauli ya Membe leo imedhihirisha kuwa Tundu Lissu hatunaye tena kwenye uchaguzi ujao

Kama unafuatilia vizuri, Magufuli, Membe, Lissu... wote wamekusanya watu kwa degree tofauti kipindi hiki. Labda sasa uniambie tu kwamba sheria inasema ukiwakusanya mara moja ama mbili siyo kosa.
mchezo huu hapa ndio sisi tunasubiri kwa hamu sababu ya kumuengua hatukatai kuenguliwa ila sababu basii
 
amezingua nini ambacho wengine hawajafanya?
 
..kaka unalazimisha.

..Nimemsikiliza Katibu wa Tume anasema yanayofanyika sasa hivi yanatakiwa kushughulikiwa na vyombo vingine, siyo tume.
Upande wa ulinzi ndio NEC walisema ni ya polisi; na polisi nao ungewauliza mbona Lissu kaanza campaign wangekwambia hayo ni ya tume ya uchaguzi.

NEC wao wanafanya yao ukisharudisha form kama ulicheza ndani ya kanuni.
 
Nachojua baada ya sanduku la kura mbelgiji atarudi kwao Belgiji na mtanzania ataendeleza safari ya maendeleo ya nchi.




MAGUFULI4LIFE.
 
Nyie upinzani mnajiona nyingi tuuu...ndio mpo..kwann ni nyinyi tuu mnalalama mbona vyama vingine havilalamiki..mna matatizo gani..it means mna matatizo Sana subirini matokeo
Acheni MATENDO ya KISHETANI nyinyi CCM
 
Kwani shughuli za kisiasa na mikutano zinazuiliwa? Ni kutojua sharia zinataka nini.... Magufuli amefanya kampeni miaka 5, ngoja tuone
 
Wanajua sana wanachofanya na haya ni kwa maelekezo ya akina Amsterdam wakidhani Serikali ya Tanzania inawaogopa na eti itawaacha wavunje sheria kwa vitisho vya mabeberu. Haita wezekana kwetu hapa Tanzania, atakaye vunja sheria atakiona tu. Baada ya hapo aende popote.
 
akija kututembelea analeta hela kwa kila mwananchi? Zaidi ya kusababisha foleni tu zisizo na mpango mkitoka hapo kila mtu kuhangaika na familia yake
 
Ni
Ni kweli na tulikula zile hela balaa
 
Sasa utasemaje ni kufanya kampeni kama hujateuliwa na tume kuwa mgombea?

Kampeni ni kujinadi kwa namna yoyote ile mara utakapokuwa umepitishwa kuwa mgombea wa uchaguzi. Kabla ya hapo ni siasa tu. Na kila mgombea wa urais mwaka huu amezifanya katika mtindo tofauti. Na hilo limekuwa likifanyika toka mwaka 1995.

Fomu ya uchaguzi hauchukuliwi kimya kimya na wadhamini hawatafutwi kimya kimya vile vile.
 
Uoga wa ccm utaingiza nchi kwenye machafuko, lissu alikuwa anawasalimia wadhamini waliomuuliza habari ya afya yake, baada ya Kurudi akiwa mzima,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…