Kauli ya mwisho ya marehemu rafiki yangu ilikuwa tusi la nguoni. Je, ataenda mbinguni?

Kauli ya mwisho ya marehemu rafiki yangu ilikuwa tusi la nguoni. Je, ataenda mbinguni?

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Mwaka jana rafiki yangu akiwa amepakiza familia yake kwenye gari binafsi alipata ajali ba kufariki hapohapo.

Kwa ufupi ni kwamba kuna lori lilifeli break likawa linakuja kasi upande wake yeye akidhani ni mbwembwe za dereva wa lori

Lori lilipomkaribia akatoa tusi ile anamalizia herufi o tu, lori likamgonga upande wake na kufariki hapohapo.

Mimi sikuwepo nilihadithiwa na waliokuwemo kwenye gari.

Sasa wale wafia dini huyu mtu siku ya kiana atakuwa upande upi?

Ni amri ipi ya Mungu inasema usitukane?
 
Back
Top Bottom