Kauli ya mwisho ya marehemu rafiki yangu ilikuwa tusi la nguoni. Je, ataenda mbinguni?

Kauli ya mwisho ya marehemu rafiki yangu ilikuwa tusi la nguoni. Je, ataenda mbinguni?

Hukumu na siku ya hukumu ipo inakuja na haiepukiki.

Lakini, safari ya kwenda Mbinguni hiyo haipo. Asikudanganye mtu, hakuna safari ya kwenda Mbinguni!

Kuhusu hukumu ya huyo rafiki yako ajuaye ni YEYE mwenye mamlaka ya kuhukumu.
 
Mwaka jana rafiki yangu akiwa amepakiza familia yake kwenye gari binafsi alipata ajali ba kufariki hapohapo.

Kwa ufupi ni kwamba kuna lori lilifeli break likawa linakuja kasi upande wake yeye akidhani ni mbwembwe za dereva wa lori

Lori lilipomkaribia akatoa tusi ile anamalizia herufi o tu, lori likamgonga upande wake na kufariki hapohapo.

Mimi sikuwepo niliadithiwa na waliokuwemo kwenye gari.

Sasa wale wafia dini huyu mtu siku ya kiana atakuwa upande upi?

Ni amri ipi ya Mungu inasema usitukane?
Ndio maana kuna siku ya hukumu, yatapimwa mema yako na mabaya yako
 
Hukumu na siku ya hukumu ipo inakuja na haiepukiki.

Lakini, safari ya kwenda Mbinguni hiyo haipo. Asikudanganye mtu, hakuna safari ya kwenda Mbinguni!

Kuhusu hukumu ya huyo rafiki yako ajuaye ni YEYE mwenye mamlaka ya kuhukumu.
KAma hakuna safari tutahukumiwa tukiwa wapo
 
Ila honestly hivi vitu tunafundishwa sio poa.....

Muda si mrefu kijana wangu kaja ananiambia "mama siku ya mwisho ya kiama watu wote tutasimama kutakua na moto, ambae haji moto utamfata na hapo tutasimama kwa miaka elf tano"

nikamjibu tu "mwanangu nenda kaoge sasa"

Ni nini hiki lakini
Pata picha ndio unaingia hapa halafu unasikia "komasava komasava" 🔥🔥🔥

1000011332.jpg
 
Mwaka jana rafiki yangu akiwa amepakiza familia yake kwenye gari binafsi alipata ajali ba kufariki hapohapo.

Kwa ufupi ni kwamba kuna lori lilifeli break likawa linakuja kasi upande wake yeye akidhani ni mbwembwe za dereva wa lori

Lori lilipomkaribia akatoa tusi ile anamalizia herufi o tu, lori likamgonga upande wake na kufariki hapohapo.

Mimi sikuwepo niliadithiwa na waliokuwemo kwenye gari.

Sasa wale wafia dini huyu mtu siku ya kiana atakuwa upande upi?

Ni amri ipi ya Mungu inasema usitukane?
Pengine hicho kitu alichokitamka ndio urithi pekee aliouacha
Cc: ephen_
 
Mtu hunena yaujazao moyo wake maanake yeye matusi ndio yaliyomjaa hata kama asingetamka lakini moyoni mwake yalikuepo hivyo atahukumiwa katika hayo

Lakini sasa yawekeni mbali nanyi haya yote, hasira, na ghadhabu, na uovu, na matukano, na matusi vinywani mwenu.

Wakolosai 3:8
Ameen mtumishi umenena vyema
 
Back
Top Bottom