de98
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 737
- 759
Sawa wewe si ulishushwaMbinguni ndo wapi.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa wewe si ulishushwaMbinguni ndo wapi.....
We ulifanywa nini bro.....Sawa wewe si ulishushwa
Huko nako kina Kibatala wapo kusaidia.Kmmk sio tusi. Ataweza kushinda hii kesi siku ya kiama vizuri tu. Kmmk ni sawa na kusema m*t*k* yake au kichwa chake
Unazungumziaje swala la mtu kongonoka? Je ni dhambi au siyo dhambi maana wote wanasikia rahaAfter all, hakumtukana mtu. Yaani hakuna aliyeathirika kwa tusi lake na dhambi kwa kawaida inakuwa na madhara kwa mtu au watu wengine au hata kwa mtu mwenyewe.
Wote na kina MwabukusiHuko nako kina Kibatala wapo kusaidia.
Ila honestly hivi vitu tunafundishwa sio poa.....
Muda si mrefu kijana wangu kaja ananiambia "mama siku ya mwisho ya kiama watu wote tutasimama kutakua na moto, ambae haji moto utamfata na hapo tutasimama kwa miaka elf tano"
nikamjibu tu "mwanangu nenda kaoge sasa"
Ni nini hiki lakini
Ndio maana kuna siku ya hukumu, yatapimwa mema yako na mabaya yakoMwaka jana rafiki yangu akiwa amepakiza familia yake kwenye gari binafsi alipata ajali ba kufariki hapohapo.
Kwa ufupi ni kwamba kuna lori lilifeli break likawa linakuja kasi upande wake yeye akidhani ni mbwembwe za dereva wa lori
Lori lilipomkaribia akatoa tusi ile anamalizia herufi o tu, lori likamgonga upande wake na kufariki hapohapo.
Mimi sikuwepo niliadithiwa na waliokuwemo kwenye gari.
Sasa wale wafia dini huyu mtu siku ya kiana atakuwa upande upi?
Ni amri ipi ya Mungu inasema usitukane?
KAma hakuna safari tutahukumiwa tukiwa wapoHukumu na siku ya hukumu ipo inakuja na haiepukiki.
Lakini, safari ya kwenda Mbinguni hiyo haipo. Asikudanganye mtu, hakuna safari ya kwenda Mbinguni!
Kuhusu hukumu ya huyo rafiki yako ajuaye ni YEYE mwenye mamlaka ya kuhukumu.
Ukumu ndio Nini ?Kwa Waislam, ukumu zetu ni Allah ajuwaye, hakuna binadam ajuwaye. Wajibu wetu ni kufanya toba.
Pata picha ndio unaingia hapa halafu unasikia "komasava komasava" 🔥🔥🔥Ila honestly hivi vitu tunafundishwa sio poa.....
Muda si mrefu kijana wangu kaja ananiambia "mama siku ya mwisho ya kiama watu wote tutasimama kutakua na moto, ambae haji moto utamfata na hapo tutasimama kwa miaka elf tano"
nikamjibu tu "mwanangu nenda kaoge sasa"
Ni nini hiki lakini
Uko wapiiiiikumbe una mtoto😲😲
Pengine hicho kitu alichokitamka ndio urithi pekee aliouachaMwaka jana rafiki yangu akiwa amepakiza familia yake kwenye gari binafsi alipata ajali ba kufariki hapohapo.
Kwa ufupi ni kwamba kuna lori lilifeli break likawa linakuja kasi upande wake yeye akidhani ni mbwembwe za dereva wa lori
Lori lilipomkaribia akatoa tusi ile anamalizia herufi o tu, lori likamgonga upande wake na kufariki hapohapo.
Mimi sikuwepo niliadithiwa na waliokuwemo kwenye gari.
Sasa wale wafia dini huyu mtu siku ya kiana atakuwa upande upi?
Ni amri ipi ya Mungu inasema usitukane?
Ameen mtumishi umenena vyemaMtu hunena yaujazao moyo wake maanake yeye matusi ndio yaliyomjaa hata kama asingetamka lakini moyoni mwake yalikuepo hivyo atahukumiwa katika hayo
Lakini sasa yawekeni mbali nanyi haya yote, hasira, na ghadhabu, na uovu, na matukano, na matusi vinywani mwenu.
Wakolosai 3:8