Kauli ya mwisho ya marehemu rafiki yangu ilikuwa tusi la nguoni. Je, ataenda mbinguni?

Kauli ya mwisho ya marehemu rafiki yangu ilikuwa tusi la nguoni. Je, ataenda mbinguni?

Mwaka jana rafiki yangu akiwa amepakiza familia yake kwenye gari binafsi alipata ajali ba kufariki hapohapo.

Kwa ufupi ni kwamba kuna lori lilifeli break likawa linakuja kasi upande wake yeye akidhani ni mbwembwe za dereva wa lori

Lori lilipomkaribia akatoa tusi ile anamalizia herufi o tu, lori likamgonga upande wake na kufariki hapohapo.

Mimi sikuwepo niliadithiwa na waliokuwemo kwenye gari.

Sasa wale wafia dini huyu mtu siku ya kiana atakuwa upande upi?

Ni amri ipi ya Mungu inasema usitukane?

Mwenye kuijua kauli ya mwisho kabla ya kufa ni mola peke yake tu!
 
Mwaka jana rafiki yangu akiwa amepakiza familia yake kwenye gari binafsi alipata ajali ba kufariki hapohapo.

Kwa ufupi ni kwamba kuna lori lilifeli break likawa linakuja kasi upande wake yeye akidhani ni mbwembwe za dereva wa lori

Lori lilipomkaribia akatoa tusi ile anamalizia herufi o tu, lori likamgonga upande wake na kufariki hapohapo.

Mimi sikuwepo niliadithiwa na waliokuwemo kwenye gari.

Sasa wale wafia dini huyu mtu siku ya kiana atakuwa upande upi?

Ni amri ipi ya Mungu inasema usitukane?
Siku ya Mwisho ndo utaiona hekima ya MUNGU...
 
Hapo bado sijakuelewa, wakisema "hivi" ndiyo vipi? Au "tukitenda hivoi" ndiyo vipi? Sijakuelewa.

Kiislam, tunaamini kuwa Mwenyezi Mungu ndiye mwenye kukubali toba zetu, siyo Sheikh wala binadam mwengine yeyote.

Qur'an ipo "crystal clear" kwenye mafundisho yake.

Ukiuliza maswali yanayohusu Uislam, Kuwa "specific" ili tukuelewe na tukupe jibu litalokufanya uuelewe Uislam. Hakuna kukisia katika Uislam.
Jamaa anakuuliza uliza hajui kuwa wewe ni saa mbovu 0 IQ🤪
 
Mtu hunena yaujazao moyo wake maanake yeye matusi ndio yaliyomjaa hata kama asingetamka lakini moyoni mwake yalikuepo hivyo atahukumiwa katika hayo

Lakini sasa yawekeni mbali nanyi haya yote, hasira, na ghadhabu, na uovu, na matukano, na matusi vinywani mwenu.

Wakolosai 3:8
Mara paap unafika mbinguni ishu ya moto kumbe ilikua tishia nyau tu...kama nawaona extremist mtakavo nuna
 
Mwaka jana rafiki yangu akiwa amepakiza familia yake kwenye gari binafsi alipata ajali ba kufariki hapohapo.

Kwa ufupi ni kwamba kuna lori lilifeli break likawa linakuja kasi upande wake yeye akidhani ni mbwembwe za dereva wa lori

Lori lilipomkaribia akatoa tusi ile anamalizia herufi o tu, lori likamgonga upande wake na kufariki hapohapo.

Mimi sikuwepo nilihadithiwa na waliokuwemo kwenye gari.

Sasa wale wafia dini huyu mtu siku ya kiana atakuwa upande upi?

Ni amri ipi ya Mungu inasema usitukane?
Atakuwa upande wa watukanaji.
Maana Biblia imesema " watukanaji, wazinzi, walawiti, wafilaji, waongo, wabudu sanamu zehemu yao Jehanamu ya moto.
 
Kwa Waislam, hukumu zetu ni Allah ajuwaye, hakuna binadam ajuwaye. Wajibu wetu ni kufanya toba.
Sasa kwa nini huwa mnawaombea watu msamaha dhidi ya adhabu ya kaburi??
 
Hakuna kiama
Hakuna mbinguni
Hakuna jehanam
They are all myth..
 
Back
Top Bottom