Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Safi hayo ndio majibu sahihi.Hakutukana ila alitaja kiugo cha mwili tu sawa na kusema mkono wako ,kidole chako mguu wako sio tusiš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi hayo ndio majibu sahihi.Hakutukana ila alitaja kiugo cha mwili tu sawa na kusema mkono wako ,kidole chako mguu wako sio tusiš
Mwaka jana rafiki yangu akiwa amepakiza familia yake kwenye gari binafsi alipata ajali ba kufariki hapohapo.
Kwa ufupi ni kwamba kuna lori lilifeli break likawa linakuja kasi upande wake yeye akidhani ni mbwembwe za dereva wa lori
Lori lilipomkaribia akatoa tusi ile anamalizia herufi o tu, lori likamgonga upande wake na kufariki hapohapo.
Mimi sikuwepo niliadithiwa na waliokuwemo kwenye gari.
Sasa wale wafia dini huyu mtu siku ya kiana atakuwa upande upi?
Ni amri ipi ya Mungu inasema usitukane?
Siku ya Mwisho ndo utaiona hekima ya MUNGU...Mwaka jana rafiki yangu akiwa amepakiza familia yake kwenye gari binafsi alipata ajali ba kufariki hapohapo.
Kwa ufupi ni kwamba kuna lori lilifeli break likawa linakuja kasi upande wake yeye akidhani ni mbwembwe za dereva wa lori
Lori lilipomkaribia akatoa tusi ile anamalizia herufi o tu, lori likamgonga upande wake na kufariki hapohapo.
Mimi sikuwepo niliadithiwa na waliokuwemo kwenye gari.
Sasa wale wafia dini huyu mtu siku ya kiana atakuwa upande upi?
Ni amri ipi ya Mungu inasema usitukane?
Jamaa anakuuliza uliza hajui kuwa wewe ni saa mbovu 0 IQš¤ŖHapo bado sijakuelewa, wakisema "hivi" ndiyo vipi? Au "tukitenda hivoi" ndiyo vipi? Sijakuelewa.
Kiislam, tunaamini kuwa Mwenyezi Mungu ndiye mwenye kukubali toba zetu, siyo Sheikh wala binadam mwengine yeyote.
Qur'an ipo "crystal clear" kwenye mafundisho yake.
Ukiuliza maswali yanayohusu Uislam, Kuwa "specific" ili tukuelewe na tukupe jibu litalokufanya uuelewe Uislam. Hakuna kukisia katika Uislam.
Mola hapo hausiki kauli ya mwisho ilisikika na akafa papo hapo
Ataenda mortuary baadae ataenda kaburiniMfano mtu amekufa akitenda dhambi mfano yuko anazini akapata presha akafa ghafla bila kupata wasaa wa kuomba toba,mtu huyu ataenda wapi
Umeshapitwa na dunia poleNimewaza ni tusi gani la nguoni linaishia na "o" nimeshindwa kubaini, itabidi niongeze juhudi kwenye kujifunza haya Mambo
DuuhhKuhusu hukumu ya huyo rafiki yako ajuaye ni YEYE mwenye mamlaka ya kuhukumu.
Kwa kukusaidia nenda kwa wa vuta bangi ,wanajeshi,wale watu wa TANESCO wanao chomeka nguzo za umeme hapo ukitoka hujajuaWajameni tusi gani linaishia na O
Kwa sababu huku shuhudia uwezekano wakutudanganya ni 90%Mimi sikuwepo nilihadithiwa na waliokuwemo kwenye gari.
Mara paap unafika mbinguni ishu ya moto kumbe ilikua tishia nyau tu...kama nawaona extremist mtakavo nunaMtu hunena yaujazao moyo wake maanake yeye matusi ndio yaliyomjaa hata kama asingetamka lakini moyoni mwake yalikuepo hivyo atahukumiwa katika hayo
Lakini sasa yawekeni mbali nanyi haya yote, hasira, na ghadhabu, na uovu, na matukano, na matusi vinywani mwenu.
Wakolosai 3:8
Atakuwa upande wa watukanaji.Mwaka jana rafiki yangu akiwa amepakiza familia yake kwenye gari binafsi alipata ajali ba kufariki hapohapo.
Kwa ufupi ni kwamba kuna lori lilifeli break likawa linakuja kasi upande wake yeye akidhani ni mbwembwe za dereva wa lori
Lori lilipomkaribia akatoa tusi ile anamalizia herufi o tu, lori likamgonga upande wake na kufariki hapohapo.
Mimi sikuwepo nilihadithiwa na waliokuwemo kwenye gari.
Sasa wale wafia dini huyu mtu siku ya kiana atakuwa upande upi?
Ni amri ipi ya Mungu inasema usitukane?
Sasa kwa nini huwa mnawaombea watu msamaha dhidi ya adhabu ya kaburi??Kwa Waislam, hukumu zetu ni Allah ajuwaye, hakuna binadam ajuwaye. Wajibu wetu ni kufanya toba.
Dua nzuri ni kujiombea mwenyewe pamoja unaowaombea.Sasa kwa nini huwa mnawaombea watu msamaha dhidi ya adhabu ya kaburi??
exactly.Huyo ni mbinguni straighHakutukana ila alitaja kiugo cha mwili tu sawa na kusema mkono wako ,kidole chako mguu wako sio tusiš